Baada Rais Samia kunila kichwa nimeamua kuokoka

Baada Rais Samia kunila kichwa nimeamua kuokoka

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Najutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.

Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.

Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.

Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.

Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.

Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.

Ila MUNGU atanisaidia.

FB_IMG_16419792708357462.jpg
 
Ni kutukumbusha tuendelee kukariri shairi lile la ..."Karudi baba mmoja,toka safari ya mbali.
Kavimba yote mapaja,na kutetemeka mwili"...!😂😂😂
majuto ni mjukuu lakn sisi tuna kosa gan kwa yanayotokea?
 
Najutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.

Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.

Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.

Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.

Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.

Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.

Ila MUNGU atanisaidia.

View attachment 2078009
Ni wewe kwenye picha?
 
Unafiki haukuachi salama ni swala la muda tu tutaendelea kushuhudia mengi.
 
Back
Top Bottom