Baada Rais Samia kunila kichwa nimeamua kuokoka

Baada Rais Samia kunila kichwa nimeamua kuokoka

Mama kala kichwa
200 (13).gif
 
CHADEMA NI KITOVU CHA VISASI NCHINI.

NYINYI SIASA MBAIFANYA KAMA FURSA YA KIPATO, NA SIO KUWATUMIKIA WANANCHI KAMA MNAVYOJINADI.

YAANI NYINYI UADUI WA KISIASA KWENU MKO RADHI KUOMBEANA VIFO.

NYINYI MNA ROHO ZA KIS**TANI HAMFAI HATA KUPEWA KIJIJI KUONGOZA.

JAMII INAPASWA KUWAOGOPA MITHILI YA UKOMA.

SIO KWA ROHO HIZI ZA VISASI UTADHANI GENGE LA WAHALIFU, HAO NDIO HUWA TUNAONA KWENYE MOVIE WAKIUWANA KISA MMOJA AMEJITOA HIVYO WANAMHUKUMU KIFO....

ACHENI HIZO, WANANCHI WANAWAPIMIA TU.
 
CHADEMA NI KITOVU CHA VISASI NCHINI.

NYINYI SIASA MNAIFANYA KAMA FURSA YA KIPATO, NA SIO KUWATUMIKIA WANANCHI KAMA MNAVYOJINADI.

YAANI NYINYI UADUI WA KISIASA KWENU MKO RADHI KUOMBEANA VIFO.UTADHANI MAJAMBAZI WALIODHULUMIANA PESA.

NYINYI MNA ROHO ZA KIS**TANI HAMFAI HATA KUPEWA KIJIJI KUONGOZA.

JAMII INAPASWA KUWAOGOPA MITHILI YA UKOMA.

SIO KWA ROHO HIZI ZA VISASI UTADHANI GENGE LA WAHALIFU, HAO NDIO HUWA TUNAONA KWENYE MOVIE WAKIUWANA KISA MMOJA AMEJITOA HIVYO WANAMHUKUMU KIFO....

ACHENI HIZO, WANANCHI WANAWAPIMIA TU.
 
Najutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.

Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.

Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.

Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.

Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.

Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.

Ila MUNGU atanisaidia.

View attachment 2078009
 
Najutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.

Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.

Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.

Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.

Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.

Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.

Ila MUNGU atanisaidia.

View attachment 2078009
Wewe ni Mwita WAITARA?
 
Kuna Kale kawimbo ka Jeniffer mgendi nafikiri kama sikosei kanaimbwa:;

Naliaaaa...polee
Naliaaaa...pole sanaa

Naliaaaa... Polee
Naliaaaaaa...Polee sanaa

Niliidhani nimepataaaa..
Kuuumbe nimepatikanaa yoooh
Naliaaaa.... Polee
Naliaaaaaa...Polee saanaa

Niliidhanii nimeWin..
Kuumbee nimepoteaa Yooh..
Naliaaaa...polee
Naliiaaa pole sanaaa..

Kakufariji popote ulipo ndugu Msaliti wa chama,na msaliti wa watanzania na taifa kwa ujumla.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA NI KITOVU CHA VISASI NCHINI.

NYINYI SIASA MNAIFANYA KAMA FURSA YA KIPATO, NA SIO KUWATUMIKIA WANANCHI KAMA MNAVYOJINADI.

YAANI NYINYI UADUI WA KISIASA KWENU MKO RADHI KUOMBEANA VIFO.UTADHANI MAJAMBAZI WALIODHULUMIANA PESA.

NYINYI MNA ROHO ZA KIS**TANI HAMFAI HATA KUPEWA KIJIJI KUONGOZA.

JAMII INAPASWA KUWAOGOPA MITHILI YA UKOMA.

SIO KWA ROHO HIZI ZA VISASI UTADHANI GENGE LA WAHALIFU, HAO NDIO HUWA TUNAONA KWENYE MOVIE WAKIUWANA KISA MMOJA AMEJITOA HIVYO WANAMHUKUMU KIFO....

ACHENI HIZO, WANANCHI WANAWAPIMIA TU.
daaa na wewe unajiona una akili kweli kweli,kiufupi umeandika takataka ambayo hata akija mwanao siku za usoni kusoma hapa atakiri wazi alikua na baba juha!
 
Back
Top Bottom