Acha ujinga.Ni kutukumbusha tuendelee kukariri shairi lile la ..."Karudi baba mmoja,toka safari ya mbali.
Kavimba yote mapaja,na kutetemeka mwili"...!πππ
[emoji23][emoji23]kumekuchaNajutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.
Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.
Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.
Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.
Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.
Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.
Ila MUNGU atanisaidia.
View attachment 2078009
Utapata tabu sana.Unajinunisha kila uzi utadhani mimi nahusika na umasikini wako wa akili.ππππAcha ujinga.
Pambio zimegoma siku hizi na zimewageuka mbaya, wanabisha wamuulize Lema kuwa hatma yao ni nini waanze kimujipanga kabla hawaja chelewaπ€.Utapata tabu sana.Unajinunisha kila uzi utadhani mimi nahusika na umasikini wako wa akili.ππππ
Huwa nampa nondo za utosi huyo kimbwenerehi wa LB7.Kila akiiona id yangu anashikwa uchungu wa kutaka kutaga.ππππPambio zimegoma siku hizi za zimewageuka mbaya, wanabisha wamuulize Lema kuwa hatma yao ni nini waanze kimujipanga kabla hawaja chelewaπ€.
Msamehe mtanzania mwenzako tumwelekeze taratibu, anaomsongo mwingi. π€.Huwa nampa nondo za utosi huyo kimbwenerehi wa LB7.Kila akiiona id yangu anashikwa uchungu wa kutaka kutaga.ππππ
Ana mkebehi huyo wa kwenye picha. Binafsi sioni lingine analoliwaza mleta mada.Lengo la uzi ni nini?
Usimchekee ngedere anayecheza karibu na shamba lako boss wangu.πππMsamehe mtanzania mwenzako tumwelekeze taratibu, anaomsongo mwingi. π€.
KujutaLengo la uzi ni nini?
Usiteme big G kwa karanga za kuonja.Dr Mihogo karejea kimyakimya.Lengo la uzi ni nini?
Ila yule bwana mkubwa alitufunga kamba kuhusu umemenaji wa mihogo.Burger za mihogo?ππππUsiteme big G kwa karanga za kuonja.Dr Mihogo karejea kimyakimya.
Hiyo picha ni ya 2020, wakati anagombea ubunge wa segerea, na mumi nilikuwepo kanisani hapo siku hiyo!!wala haihusiani na sasa.Najutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.
Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.
Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.
Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.
Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.
Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.
Ila MUNGU atanisaidia.
View attachment 2078009
Sijaelewa bado huu uzi unamaanisha nini ,kwa alie elewa naomba anieleweshe !!!Najutia usaliti wangu kwa upinzani.Nimeamua kukabidhi maisha yangu kwa Mungu huenda mama akanikumbuka tena.
Natamani kurudi CHADEMA lakini hawatanielewa.
Nawasihi wasaliti wezangu akina Bashiru,Kitila, Dk.Slaa na wengine watubu kwa Mungu kama mimi kwa usaliti wa hali ya juu waliowafanyia Watanzania.
Kipindi cha Hayati JPM tulibebwa sana na kupata teuzi mbalimbali baada ya kuhamia CCM tukikimbia upinzani hali hii iliwachukiza makada wengi wa CCM sisi kupata teuzi muda mfupi baada ya kuingia CCM tukiwaacha wanachama wa CCM wakongwe wakisaga rami.
Nina hakika my.Rais Samia alikuwa miongoni mean makada wa CCM waliochukizwa sisi wafia matumbo kutoka upinzani kupata teuzi haraka wakiachwa makada wa CCM was muda mrefu, katika uongozi wa JPM mama hakuweza kufanya lolote, leo kapata rungu ndo yametokea haya.
Nina mashaka na hata na Ubunge wangu 2025. Sijui ntaishije, ualimu nao nimeukimbia.
Ila MUNGU atanisaidia.
View attachment 2078009
Huna akili mpuuziUtapata tabu sana.Unajinunisha kila uzi utadhani mimi nahusika na umasikini wako wa akili.ππππ