Baada Rais Samia kunila kichwa nimeamua kuokoka

[emoji23][emoji23]kumekucha
 
Aaah rudia Kazi yako ya awali ya kuuza mayai mjini mbona inalipa tu
 
Hiyo picha ni ya 2020, wakati anagombea ubunge wa segerea, na mumi nilikuwepo kanisani hapo siku hiyo!!wala haihusiani na sasa.
 
Sijaelewa bado huu uzi unamaanisha nini ,kwa alie elewa naomba anieleweshe !!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…