Baada ya Apple Music kuwa launched Tanzania, Ali Kiba, Harmonize hawamo kwenye Africa Now playlist

Baada ya Apple Music kuwa launched Tanzania, Ali Kiba, Harmonize hawamo kwenye Africa Now playlist

KITINDIKITAMU

Senior Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
189
Reaction score
356
Kwa wale hater's utasikia Ooh wasafi wamewahonga Apple Music.

Lakini kiuhalisia huko nje ya nchi ukizungumzia mziki wa bongo fleva basi unazungumzia Diamond Platnumz na his own team WCB Wasafi.

Sijui kwanini wasanii wengine wapo nyuma nyuma katika kila kitu na mwishowe wanaishia kulalamika tu,na kuwalamba miguu wamiliki wa viredio uchwara wakati hela ziko huku kwenye streaming platforms.

Hapo wamemtaja diamond platinumz kama king wa bongo fleva kwa mujibu wa statistics zao huko kwenye streaming platforms mbalimbali, lakini kuna wanafiki wa hapa bongo wanamfalme wao huko Kariakoo.

Inatakiwa ifike kipindi kile msanii apewe heshima na sifa anayostahili na si sifa za ki team.

Anyway I hope soon na Bongo fleva artists wengine wapambanaji kama V. Money, Konde Boy na Kiba wataingia pia.

But kwasasa Wasafi wameshachonga barabara kwa wengine.

Ingekuwa ni ametangulia mzee wa Konde Gang kuwa launched au Kiba, humu JF msingetosha.

By the way Apple wameongeza mlango wa Bongo Fleva ku-make more money, so wasanii wachangamkie fursa hii.

Screenshot_20200422-082012.jpeg
Screenshot_20200422-082126.jpeg
Screenshot_20200422-082152.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20200422-082152.jpeg
    Screenshot_20200422-082152.jpeg
    40.3 KB · Views: 1
Aisee, shinski instead of khaligraph Jones! DAMN!!!? Enewei, wote hao no one ananipa ugali,lemme mind my own fckn business....🚶
 
Sometimes hata watu wakiponda ila ziache number ziongee.Dogo wa juzi lkn Boomplay wiki mbili anakimbiza yy,wiki hii kaangiza nyimbo 7 kati ya kumi.Apple wanajua potential ya Diamond na Rayvanny kwenye biashara yao ndio maana wameanza nao.
Screenshot_20200422-084255.png


Audiomack 1 week.
93988127_1231153373892603_538475133067395035_n.jpg
 
Simuoni Kaligraph pia namuona shinsk..Harmonize angekuwa kwenu bado nadhani post ingekuwa tofaut anyways kama wameingia TZ kwa mguu huo tunawakaribisha ila waambie WCB walikuwa wanauza ngoma zao wenyewe 300 wakafeli wakasepa kimya kimya unless otherwise kama wameanza na hao wengine baadae naakaje bila kumskiza KING KIBA, nakaaje bila G NAKO,MARIOO,MAUASAMA,RUBY watuache kidogo mwanangu BEKABOY kama kawa kaka sisi huko huko maana tunapata vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni ujinga aisee.

Ali K. aliombwa na hao Apple Music awe included kwny hayo mambo yao,amekataa kabisa amesema yeye mziki wake ni wa kizalendo na anataka uwe unakua downloaded huko huko Google na kwny blogs za kibongo for free na sababu nyingine amesema yeye hana makuu yaani hapendi kujionyesha kabisaaa.

Mbona hamtaki kumuelewa aiseeee.
 
Acheni ujinga aisee.

Ali K. aliombwa na hao Apple Music awe included kwny hayo mambo yao,amekataa kabisa amesema yeye mziki wake ni wa kizalendo na anataka uwe unakua downloaded huko huko Google na kwny blogs za kibongo for free na sababu nyingine amesema yeye hana makuu yaani hapendi kujionyesha kabisaaa.

Mbona hamtaki kumuelewa aiseeee.
Aisee Kwaio yeye anajionyesha TV-E na cloudsfmtz tu,sawa.
 
Write your reply...alikiba alishapiga marufuku miziki yake kwenye hizo platforms iwekwe yeye ni mfalme bado atapendwa na atapiganiwa bila kuwepo huko pia alikataa kabisa YouTube kuhesabu viewers wake


anasema hapendi show off ndo maana anawakatalia wasanii wa kimataifa wanaopenda kufanya nao collaboration kama kina wizkidayo
 
Simuoni Kaligraph pia namuona shinsk..Harmonize angekuwa kwenu bado nadhani post ingekuwa tofaut anyways kama wameingia TZ kwa mguu huo tunawakaribisha ila waambie WCB walikuwa wanauza ngoma zao wenyewe 300 wakafeli wakasepa kimya kimya unless otherwise kama wameanza na hao wengine baadae naakaje bila kumskiza KING KIBA, nakaaje bila G NAKO,MARIOO,MAUASAMA,RUBY watuache kidogo mwanangu BEKABOY kama kawa kaka sisi huko huko maana tunapata vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Konde angekuwa bado yupo kule wcb am sure angemake it kwenye hii list,sema management yake hii mpya bado iko loaded na mambo mengi mno,hawajui waanzie wapi.
 
Kwa wale hater's utasikia Ooh wasafi wamewahonga Apple Music.

Lakini kiuhalisia huko nje ya nchi ukizungumzia mziki wa bongo fleva basi unazungumzia Diamond Platnumz na his own team WCB Wasafi.

Sijui kwanini wasanii wengine wapo nyuma nyuma katika kila kitu na mwishowe wanaishia kulalamika tu,na kuwalamba miguu wamiliki wa viredio uchwara wakati hela ziko huku kwenye streaming platforms.

Hapo wamemtaja diamond platinumz kama king wa bongo fleva kwa mujibu wa statistics zao huko kwenye streaming platforms mbalimbali, lakini kuna wanafiki wa hapa bongo wanamfalme wao huko Kariakoo.

Inatakiwa ifike kipindi kile msanii apewe heshima na sifa anayostahili na si sifa za ki team.

Anyway I hope soon na Bongo fleva artists wengine wapambanaji kama V. Money, Konde Boy na Kiba wataingia pia.

But kwasasa Wasafi wameshachonga barabara kwa wengine.

Ingekuwa ni ametangulia mzee wa Konde Gang kuwa launched au Kiba, humu JF msingetosha.

By the way Apple wameongeza mlango wa Bongo Fleva ku-make more money, so wasanii wachangamkie fursa hii.

Kichwa Cha habari sio kizuri kiivo mfano Alikiba na Harmonize sio wasanii wakushangaa wao kutokuwepo sio wasanii wanaofanya vizuri international market labda angekosa diamond labda tungeshangaa.
 
Simuoni Kaligraph pia namuona shinsk..Harmonize angekuwa kwenu bado nadhani post ingekuwa tofaut anyways kama wameingia TZ kwa mguu huo tunawakaribisha ila waambie WCB walikuwa wanauza ngoma zao wenyewe 300 wakafeli wakasepa kimya kimya unless otherwise kama wameanza na hao wengine baadae naakaje bila kumskiza KING KIBA, nakaaje bila G NAKO,MARIOO,MAUASAMA,RUBY watuache kidogo mwanangu BEKABOY kama kawa kaka sisi huko huko maana tunapata vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
kiba100 mnampoteza bure....nafikiri hata yeye moyoni mwake anashangaa hizo sifa mnazompa ambazo kwa sasa hana ....tuseme ukweli ..mimi sipo upande wowote...Konde boy yupo more focused na juu zaidi ya huyo mfalme wa kariakoo, kwa sasa.........hapa naongelea ubunifu , kibiashara na mambo kama hizo.....kiba100 inambeba sauti yake tu....hakuna cha ziada
 
Kichwa Cha habari sio kizuri kiivo mfano Alikiba na Harmonize sio wasanii wakushangaa wao kutokuwepo sio wasanii wanaofanya vizuri international market labda angekosa diamond labda tungeshangaa.
jitahidi siku moja umtafute diamond mpige hata picha aise mana sio.kwa mahaba haya ya dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni ujinga aisee.

Ali K. aliombwa na hao Apple Music awe included kwny hayo mambo yao,amekataa kabisa amesema yeye mziki wake ni wa kizalendo na anataka uwe unakua downloaded huko huko Google na kwny blogs za kibongo for free na sababu nyingine amesema yeye hana makuu yaani hapendi kujionyesha kabisaaa.

Mbona hamtaki kumuelewa aiseeee.
Kichekesho cha kaRNE
 
Back
Top Bottom