Kwani kilichoandikwa hapo ni uongo?jitahidi siku moja umtafute diamond mpige hata picha aise mana sio.kwa mahaba haya ya dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kilichoandikwa hapo ni uongo?jitahidi siku moja umtafute diamond mpige hata picha aise mana sio.kwa mahaba haya ya dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapozungumzia apple music tz,ina maanisha ina include Tanzanian artists na si international figures tu.Kichwa Cha habari sio kizuri kiivo mfano Alikiba na Harmonize sio wasanii wakushangaa wao kutokuwepo sio wasanii wanaofanya vizuri international market labda angekosa diamond labda tungeshangaa.
Huyo sio mwanaume ni slay queen flani hiviWewe mbona umenishobokea Mimi mwanaume mwenzio so unataka nikuwezane?
Yupi uyo anaeotwa?
Wanaangalia wasanii potential watakaouza Sana Alikiba na harmo sio wanauza Sana especially kwenye digital platform Nandy Ni msanii ni miongoni mean wasanii wanaouza Sana kwa wasanii wa bongo nafikiri atakuwa ni sehemu ya apple musicTunapozungumzia apple music tz,ina maanisha ina include Tanzanian artists na si international figures tu.
Ok aisee Kumbe ni demu, basi andelee kunishobokea nitawezana nae tu.Huyo sio mwanaume ni slay queen flani hivi
UKWELI MCHUNGU SANA HUU, WENGI WENYE ROHO YA KWANINI WANAUMIA SANAHapo wamemtaja diamond platinumz kama king wa bongo fleva kwa mujibu wa statistics zao huko kwenye streaming platforms mbalimbali, lakini kuna wanafiki wa hapa bongo wanamfalme wao huko Kariakoo
Naomba nili'copy' hili jibu lako kwa matumizi ya baadae mkuu 🤣🤣🤣Wewe mbona umenishobokea Mimi mwanaume mwenzio so unataka nikuwezane?
Alisikika mlevi mmoja akisema kiba100 Na kigagula,ni mambo yanayoondelea mitandaoni kigagula akasema'hii twenty twent hatofanya mapenzi kabisa mpaka eti naniliiooooAcheni ujinga aisee.
Ali K. aliombwa na hao Apple Music awe included kwny hayo mambo yao,amekataa kabisa amesema yeye mziki wake ni wa kizalendo na anataka uwe unakua downloaded huko huko Google na kwny blogs za kibongo for free na sababu nyingine amesema yeye hana makuu yaani hapendi kujionyesha kabisaaa.
Mbona hamtaki kumuelewa aiseeee.
Kabisaaa.UKWELI MCHUNGU SANA HUU, WENGI WENYE ROHO YA KWANINI WANAUMIA SANA
Kwani taarabu ni dhambi.
Ni kweli mkuu.Diamond amekamilisha misemo yote ya King and Queen of vaccines Melinda and Bill Gates kwamba ukipambana kwenye kile unachokifanya lazima utoboe tu.
nadhani hili swala la kuumia mnalo kisaikologia zaidi.UKWELI MCHUNGU SANA HUU, WENGI WENYE ROHO YA KWANINI WANAUMIA SANA
Acheni ujinga aisee.
Ali K. aliombwa na hao Apple Music awe included kwny hayo mambo yao,amekataa kabisa amesema yeye mziki wake ni wa kizalendo na anataka uwe unakua downloaded huko huko Google na kwny blogs za kibongo for free na sababu nyingine amesema yeye hana makuu yaani hapendi kujionyesha kabisaaa.
Mbona hamtaki kumuelewa aiseeee.
[mi napenda kukua kwa mziki wa tANZANIA ILA HII NI POST YA KIJINGA SIJAPATA ONA...msanii anapenda kua pirated
Mkuu naomba nikuulize swali, unampenda Diamond Platnumz?Kwa wale hater's utasikia Ooh wasafi wamewahonga Apple Music.
Lakini kiuhalisia huko nje ya nchi ukizungumzia mziki wa bongo fleva basi unazungumzia Diamond Platnumz na his own team WCB Wasafi.
Sijui kwanini wasanii wengine wapo nyuma nyuma katika kila kitu na mwishowe wanaishia kulalamika tu,na kuwalamba miguu wamiliki wa viredio uchwara wakati hela ziko huku kwenye streaming platforms.
Hapo wamemtaja diamond platinumz kama king wa bongo fleva kwa mujibu wa statistics zao huko kwenye streaming platforms mbalimbali, lakini kuna wanafiki wa hapa bongo wanamfalme wao huko Kariakoo.
Inatakiwa ifike kipindi kile msanii apewe heshima na sifa anayostahili na si sifa za ki team.
Anyway I hope soon na Bongo fleva artists wengine wapambanaji kama V. Money, Konde Boy na Kiba wataingia pia.
But kwasasa Wasafi wameshachonga barabara kwa wengine.
Ingekuwa ni ametangulia mzee wa Konde Gang kuwa launched au Kiba, humu JF msingetosha.
By the way Apple wameongeza mlango wa Bongo Fleva ku-make more money, so wasanii wachangamkie fursa hii.
HILI POVU NIMEFULIA NGUO NA LIMEBAKInadhani hili swala la kuumia mnalo kisaikologia zaidi.
hivi huwezi kumsifia demu wako kwamba ni mzuri mpaka umtaje na wa jirani yako,nini kinakusumbua!!!!
mond kuuza kwenye platform za apple zaidi ya msanii mwingine kwanini wewe linakufurahisha!!!!kwanini uhisi mwingine linamkwaza!!!
mbona mnaogopa mpaka kivuli chenu!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uje nikuwezane kwanza halafu nitakwambia kama nampenda yeye tu au nawapenda binadamu wenzangu wote.