Baada ya Apple Music kuwa launched Tanzania, Ali Kiba, Harmonize hawamo kwenye Africa Now playlist

Baada ya Apple Music kuwa launched Tanzania, Ali Kiba, Harmonize hawamo kwenye Africa Now playlist

Simuoni Kaligraph pia namuona shinsk..Harmonize angekuwa kwenu bado nadhani post ingekuwa tofaut anyways kama wameingia TZ kwa mguu huo tunawakaribisha ila waambie WCB walikuwa wanauza ngoma zao wenyewe 300 wakafeli wakasepa kimya kimya unless otherwise kama wameanza na hao wengine baadae naakaje bila kumskiza KING KIBA, nakaaje bila G NAKO,MARIOO,MAUASAMA,RUBY watuache kidogo mwanangu BEKABOY kama kawa kaka sisi huko huko maana tunapata vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uta usemeje ndo ujue Internationally wasanii wanaosikilizwa zaidi bongo ni Simba na Rayvanny kachungulie tu spotfy.

Hapa ushabiki pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni ujinga aisee.

Ali K. aliombwa na hao Apple Music awe included kwny hayo mambo yao,amekataa kabisa amesema yeye mziki wake ni wa kizalendo na anataka uwe unakua downloaded huko huko Google na kwny blogs za kibongo for free na sababu nyingine amesema yeye hana makuu yaani hapendi kujionyesha kabisaaa.

Mbona hamtaki kumuelewa aiseeee.
Hapendi show off kabisa hahhaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupi uyo anaeotwa?
Unaelewa nini kuhusu celebrities forum?
Na umefuata nini kwenye jukwaa la celebrities?
Au ulitaka kwenye jukwaa hili ujue news za nani?
Hapa hatujadili infortainment za bibi zenu
Tunajadili vitu vinavyotrend katika muziki, movie nk.
mahaba ya dhati yamekushukia kwa mwaanaume mwenzio , mgeuzie nyuma akukune

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiba100 mnampoteza bure....nafikiri hata yeye moyoni mwake anashangaa hizo sifa mnazompa ambazo kwa sasa hana ....tuseme ukweli ..mimi sipo upande wowote...Konde boy yupo more focused na juu zaidi ya huyo mfalme wa kariakoo, kwa sasa.........hapa naongelea ubunifu , kibiashara na mambo kama hizo.....kiba100 inambeba sauti yake tu....hakuna cha ziada
Ok so MMAKONDE yupo kwenye hiyo list?..baada ya kuwa focused kinomanoma yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaangalia wasanii potential watakaouza Sana Alikiba na harmo sio wanauza Sana especially kwenye digital platform Nandy Ni msanii ni miongoni mean wasanii wanaouza Sana kwa wasanii wa bongo nafikiri atakuwa ni sehemu ya apple music
Alikiba anawama sana me naenjoy sana...haya wasimuweke wamuweke best naso maana anauza sana, unazungumzia potentiality kwenye bongofleva industry halafu unajitahiiiiidi kum isolate ALI KIBA hayo mahaba kwa msanii wako ni ya kike hakuna mwanaume anaependa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom