Bila kumtaja LISSU huna amani moyoni ....katibiwe umeshaharibikaKumbuka Azam wako na Mzanzibar mwenzao Samia so pale nakwenda kuwa CCM B kama lisu na barvicha wote
USSR
Mleta mada hujui chochote.
Sote tumemjua Aloyce Nyanda kupitia Star Tv (Sahara Media) ambayo ni mali binafsi ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza (Antony Diallo). Tangu 2015 mpaka leo hii, Sahara Media iliamua kuwa upande wa CCM na serikali yake.
Nyanda ni rafiki mkubwa wa Lengai Ole SabayaUsimsagie mwenzako kunguni ,Alloyce hana uchadema wowote ,kama ukiangalia Agenda alikuwa anawaleta watu wengi wa CCM na anaonyesha mafanikio ya ccm.
Nimefurahi sana kwa Mtozi kujiunga na Chama Kubwa Azam TV 108.
Nyanda ni rafiki mkubwa wa Lengai Ole Sabaya