Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Azam tv bebeni na chief odemba yule kijana ni wa moto
Kabisa, wamchukue na Doto Bulendu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam tv bebeni na chief odemba yule kijana ni wa moto
Yes na huyo yupo vizuri sanaKabisa, wamchukue na Doto Bulendu.
Kampuni Imeyumba Imekuwa Kama Ya Mtaani Tu, Wafanyakazi Wanaondoka Kutafuta Wapi Wakale Mchele Wa Plastic Wasife NjaaDiallo anapoteza wanafanyakazi wazuri kila kukicha.
Azam TV ni ya wanaccm , karibu nusu ya watangazaji wake waligombea ubunge kupitia ccm 2020 , akiwemo mtu niliyewahi kusoma naye mahali fulani Baruani Abdallah ( Muhuza ) , huyu aligombea Kigoma Mjini .Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
Huyu Aloyce nyanda !Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
Anajifanyaga mjuaji sana huyu Sasa sijui watampa kipindi Cha Siasa au laa..Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
Samia anakufanya vibaya [emoji2957][emoji2957]Tunataka katiba itakayo Unda taasisi sio mtu kama Samia tozooo
Samia anakufanya vibaya [emoji2957][emoji2957]Tunataka katiba itakayo Unda taasisi sio mtu kama Samia tozooo
Wewe binti akili zako zina shida sanaKumbuka Azam wako na Mzanzibar mwenzao Samia so pale nakwenda kuwa CCM B kama lisu na barvicha wote
USSR
Hayo machadema hayanaga akiliKenya Wana katiba mpya, na wana tozo kuliko sisi
Kiufupi Nyanda ni sukuma gang na muumini wa MwendazakeNyanda ni rafiki mkubwa wa Lengai Ole Sabaya
Hana swaga,yule aende tbcAzam tv bebeni na chief odemba yule kijana ni wa moto
Sasa akale wapi zaidi ya kwenye kalamu yake?Huyu Aloyce nyanda !
Ni mpuuzi fulani hivi....
Nyuma ya Pazia ni mpenda bahasha toka kwa wanasiasa ili kuwapa Promo kupitia kile kipindi chake alichokuwa nacho Star Tv!
Kiuhalisia hata familia ilikwisha mshinda kitambo...
Akamtelekeza mkewe,waliyoana na kuzaa nae watoto wawili.
Aloyemuachisha Masomo chuo kikuu!
Aliyemuachisha ajira ya ualimu.
Kisha akamuacha baada ya kupata dada mwingine mwenye visenti kidogo!
Ninalo faili lake na akibisha mimi nitalifumua lote!
Sio kioo cha jamii kama anavyojinasibu.
Azam tv bebeni na chief odemba yule kijana ni wa moto
Kalamu ipi ?Sasa akale wapi zaidi ya kwenye kalamu yake?
Post ya yako imejaa chuki na fitna, caption uliyoweka kama ushahidi wa madai yako haihusiani kabisa na CHADEMA.Kuna fitna hapo mkuu?
Tatizo lenu MWENDAZAKE MASALIO bado mnafikiria tupo ktk zama zile za kila kitu ni kumsifia jiwe tu,sasa mnapoona mama hana muda huo tv sasa hivi zinarusha vipindi bila woganaumia sana!!siku hizi hata ITV vipindi kama malumbano ya hoja ,kipimajoto vimerudi kwenye ubora wao!Kama dialo mwenye startv tena alikuwa mwenyekiti wa ccm mkoa aliruhusu mijadala mizuri kwenye BIG AGENDA baada ya jiwe kutwaliwa!Tena NYANDA inabidi atafutiwe kipindi kama kile cha HARD TALK cha bbc!!MUNGU FUNDI.Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696