Baada ya Azam TV kumuajiri Aloyce Nyanda, je watakubali aigeuze kijiwe cha porojo za CHADEMA?

Baada ya Azam TV kumuajiri Aloyce Nyanda, je watakubali aigeuze kijiwe cha porojo za CHADEMA?

Huyu Aloyce nyanda !

Ni mpuuzi fulani hivi....

Nyuma ya Pazia ni mpenda bahasha toka kwa wanasiasa ili kuwapa Promo kupitia kile kipindi chake alichokuwa nacho Star Tv!

Kiuhalisia hata familia ilikwisha mshinda kitambo...

Akamtelekeza mkewe,waliyoana na kuzaa nae watoto wawili.

Aloyemuachisha Masomo chuo kikuu!

Aliyemuachisha ajira ya ualimu.

Kisha akamuacha baada ya kupata dada mwingine mwenye visenti kidogo!

Ninalo faili lake na akibisha mimi nitalifumua lote!

Sio kioo cha jamii kama anavyojinasibu.
Wewe kama sio huyo mkewe basi ficha ujinga wako, mambo ya familia yaache kabisa kwani hujui kilichopo ndani nyumba ya watu wawili. Na hilo file unalojifanya unalo unafikiri hayo yaliyopo ni ya siri? Kamuacha mkewe inajulikana na kuhusu kupata mke mwingine mwenye vijisenti kuna sheria amevunja? Akikuambia usiyoyajua utakuwa tayar kuomba radhi hapa?
 
Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.

Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
Wewe unapenda awe chawa mwenzio wa kusifia hata ujinga wa viongozi wa CCM
 
Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.

Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
azam tv ina sera zake na sheria zake hatoweza kufanya hivyo
 
Kwani huwa anatukana au anatoa maoni yake?
Nyanda ninamuona kama mwandishi huru,mwenye uwezo na uthubutu wa kuhoji ninamuona akiwa mbali sana siku za usoni.
Mwandishi mwingine ni Farhia Middle ninamkubali maana anaouthubutu wa kuhoji

Hao sio makanjanja
 
Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.

Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.
View attachment 2522695View attachment 2522696
Kama hoja yake ni hii ndo unaita matusi na uchadema uchadema,
Basi mtoa mada una uwezo mdogo sana wa kufikiria , badilika
 
Kenya Wana katiba mpya, na wana tozo kuliko sisi
Kwahiyo so far unataka kuifananisha Kenya na Tanzania

Labda kidogo kwenye Bongoflavour kwa sababu ya advantage ya lugha ya Kiswahili the rest we are very far away behind them

Hata kwa hiyo Bongoflavour ni vocals tu, still organisation nzima ya music Industry they are more better kuliko sisi
 
Una chuki binafsi naye, mimi namuelewa sana huyo jamaa. Nilikuwa gizani maana sikumuona kwenye big agenda na kwenye vipindi vya dini asubuhi star tv.. kila siku namtafuta sioni kumbe kahama. Kijana sura yake inaonyesha ni mpambanaji wala si mpaka poda, anafanya mambo yake kinyoofu wala sijaona unafki wake, shida ilikuwa alikokuwa startv maana mwenye startv yake naye kapanda ngazi ndani ya CCM. Maisha ndio haya haya tutafute pesa. Kijana anacheza na fursa za mbele yake. Abarikiwe huko alikoenda
Star Tv mbona naona alikuwa na uhuru mkubwa tu wa kufanya mahojiano yake licha ya mmiliki wake kuwa mwenyekiti wa CCM mwanza

Diallo hana shida na mtu
 
Azam TV ni ya wanaccm , karibu nusu ya watangazaji wake waligombea ubunge kupitia ccm 2020 , akiwemo mtu niliyewahi kusoma naye mahali fulani Baruani Abdallah ( Muhuza ) , huyu aligombea Kigoma Mjini .

Hawawezi kumpa nafasi Nyanda , nadhani ni mkakati wa kuua kipaji chake ulioratibiwa na ccm
Mbona hata Star Tv ni ya mwana CCM tena kiongozi na ndipo watu walipomfahamu?
 
Back
Top Bottom