Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unabatuliwa wewe.Samia anakufanya vibaya [emoji2957][emoji2957]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabatuliwa wewe.Samia anakufanya vibaya [emoji2957][emoji2957]
Wewe kama sio huyo mkewe basi ficha ujinga wako, mambo ya familia yaache kabisa kwani hujui kilichopo ndani nyumba ya watu wawili. Na hilo file unalojifanya unalo unafikiri hayo yaliyopo ni ya siri? Kamuacha mkewe inajulikana na kuhusu kupata mke mwingine mwenye vijisenti kuna sheria amevunja? Akikuambia usiyoyajua utakuwa tayar kuomba radhi hapa?Huyu Aloyce nyanda !
Ni mpuuzi fulani hivi....
Nyuma ya Pazia ni mpenda bahasha toka kwa wanasiasa ili kuwapa Promo kupitia kile kipindi chake alichokuwa nacho Star Tv!
Kiuhalisia hata familia ilikwisha mshinda kitambo...
Akamtelekeza mkewe,waliyoana na kuzaa nae watoto wawili.
Aloyemuachisha Masomo chuo kikuu!
Aliyemuachisha ajira ya ualimu.
Kisha akamuacha baada ya kupata dada mwingine mwenye visenti kidogo!
Ninalo faili lake na akibisha mimi nitalifumua lote!
Sio kioo cha jamii kama anavyojinasibu.
Wewe unapenda awe chawa mwenzio wa kusifia hata ujinga wa viongozi wa CCMAloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
azam tv ina sera zake na sheria zake hatoweza kufanya hivyoAloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.View attachment 2522695View attachment 2522696
Kama hoja yake ni hii ndo unaita matusi na uchadema uchadema,Aloyce Nyanda, mwanachadema kindakindani ameajiriwa Azam Tv, katika kurasa mbalimbali za kijamii anazomiliki, amekuwa akitukana serikali na viongozi wake.
Tunasubiri uongozi wa AzamTv kama watakubali awafitinishe na Serikali kwa maslahi yake binafsi na ya chama chake Cha Chadema.
View attachment 2522695View attachment 2522696
Kwahiyo so far unataka kuifananisha Kenya na TanzaniaKenya Wana katiba mpya, na wana tozo kuliko sisi
Star Tv mbona naona alikuwa na uhuru mkubwa tu wa kufanya mahojiano yake licha ya mmiliki wake kuwa mwenyekiti wa CCM mwanzaUna chuki binafsi naye, mimi namuelewa sana huyo jamaa. Nilikuwa gizani maana sikumuona kwenye big agenda na kwenye vipindi vya dini asubuhi star tv.. kila siku namtafuta sioni kumbe kahama. Kijana sura yake inaonyesha ni mpambanaji wala si mpaka poda, anafanya mambo yake kinyoofu wala sijaona unafki wake, shida ilikuwa alikokuwa startv maana mwenye startv yake naye kapanda ngazi ndani ya CCM. Maisha ndio haya haya tutafute pesa. Kijana anacheza na fursa za mbele yake. Abarikiwe huko alikoenda
Mbona hata Star Tv ni ya mwana CCM tena kiongozi na ndipo watu walipomfahamu?Azam TV ni ya wanaccm , karibu nusu ya watangazaji wake waligombea ubunge kupitia ccm 2020 , akiwemo mtu niliyewahi kusoma naye mahali fulani Baruani Abdallah ( Muhuza ) , huyu aligombea Kigoma Mjini .
Hawawezi kumpa nafasi Nyanda , nadhani ni mkakati wa kuua kipaji chake ulioratibiwa na ccm
Kwa hiyo ni mzalendo sio?Nyanda ni rafiki mkubwa wa Lengai Ole Sabaya
Watu mbona mna chuki kiasi hiki? Ni sababu ya siasa tu ?Anajifanyaga mjuaji sana huyu Sasa sijui watampa kipindi Cha Siasa au laa..
Saizi kachakaa baada ya upepo wa Dar na pesa ya Azam soon utamuona anawaka
Mara Chadema, mara Sukuma Gang,Kiufupi Nyanda ni sukuma gang na muumini wa Mwendazake
Tena ana ugonjwa mbaya sana masikini wa akili huyo!Bila kumtaja LISSU huna amani moyoni ....katibiwe umeshaharibika
Doto ana viwango vya juu. Hutaki jinyonge.Dotto hamna kitu pale, amekariri kariri tu vitu tu
msalimie nabii wenuKumbuka Azam wako na Mzanzibar mwenzao Samia so pale nakwenda kuwa CCM B kama lisu na barvicha wote
USSR