Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Nenda kaharishe huo uvundo hizo pesa ulizopewa na mafisadi zimekufanya uvimbiwe
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Watu wa aina ya huyu mleta mada ndio wanaowajengea ujinga watanzania mpaka wanachelewa kuona mantiki pana ya mabadiliko ya uendeshaji wa bandari yetu.

Ni watu hawana kabisa mahusiano na biashara ya bandari, yeye anapiga siasa tu za kina Mangungo ili kuteka akili za wengine wasio na biashara yoyote ile na masuala ya bandari.

Rwanda, Congo wameshasaini mkataba wa uwekezaji, watu wa dunia ya karne ya sasa wanaangalia zaidi fursa za kutengeneza pesa kama nchi.

Huyu bwana Jilala yeye kaamua kubakia katika karne ya zamani, anakuja na hoja zilizopitwa na wakati za machifu walioishi zaidi ya miaka mia moja iliyopita, this is rubbish.
 
Siku mkiwa waadilifu na kuacha uongo na wizi na rushwa basi ndio utakuwa mwisho wa hawa wanaoamua mikataba na kuchukua madeni bila huruma na haijulikani ni % ngapi kikweli imefanya nini

Badilikeni na mtu muadilifu hawezi kukubali kuonewa nasema badilikeni ndio mtakuwa na nguvu ya kujitetea

Ila kama mnaiba mpaka tairi la gari unayoendesha, unatoa hongo pindi ukisimamishwa tu
Unadanganya usiende kazi
Huendi kazini kwa mda unaotakiwa kisa mnakula sahani moja na Boss, basi mtegemee kuburuzwa tu
Hiyo mentality hakuna hata mmoja anayeweza kuiongelea, watanzania wa miaka ya sasa wanachojua ni wizi, kupata pesa za kutumia mwisho wa wiki, za kulewa mapombe makali mpaka saa kumi na mbili asubuhi.

Watanzania wanafikiria pesa za chap chap, za kuiba kila inapowezekana ili akaufanye ufalme wa bandia club fulani.

DPW pale bandarini wanakuja na nidhamu mpya ya ufanisi wa kazi, hakuna tena pesa za mkupuo za kutanua kila ijumaa na jumamosi, watanzania wanaona chaka lao la pesa za bure bure linakwenda kuzimwa jumla. Hizi kelele hazishangazi hata kidogo.
 
Haya yatakuwa maajabu ya Karne, yaani majuzi tumegomea $12 billion za Bagamoyo kama awataki mkataba wa miaka 33 tena port wajenge wenyewe.

Halafu leo nchi isaink mkataba wa miaka 100 kwa uwekezaji wa $500m, tena kwa bandari ambazo zipo tayari.

Kama kuna ukweli ata huyo bwana godi atatususa, maana atubebeki ni gunia la misumari.
Hakuna ukweli wowote. Hakuna mkataba wa miaka 100 unaokwenda kusainiwa.
 
Hiyo mentality hakuna hata mmoja anayeweza kuiongelea, watanzania wa miaka ya sasa wanachojua ni wizi, kupata pesa za kutumia mwisho wa wiki, za kulewa mapombe makali mpaka saa kumi na mbili asubuhi.

Watanzania wanafikiria pesa za chap chap, za kuiba kila inapowezekana ili akaufanye ufalme wa bandia club fulani.

DPW pale bandarini wanakuja na nidhamu mpya ya ufanisi wa kazi, hakuna tena pesa za mkupuo za kutanua kila ijumaa na jumamosi, watanzania wanaona chaka lao la pesa za bure bure linakwenda kuzimwa jumla. Hizi kelele hazishangazi hata kidogo.
Ndio hapo utajua majizi ndio yanaponda uwekezaji
Hakuna utamaduni wa kufanya kazi kwa nidhamu

Kuna wakati sijui waziri gani alienda kufunga gate la kazini ili waliochelewa wasiingie
Lakini kwa kuwa na yeye alikuwa ni mvivu wa kuwahi ilibidi suala Zima life

Hawana ari ya kazi wala kujituma wao wanataka shortcuts tu

Kulala sana, hongo kwa wingi na wizi, utapeli na rushwa ndio imo kwenye akili za wengi mpaka viongozi
Hapo usitegemee maendeleo
 
Azimio ni framework tu, ni sawa na skeleton. Kuwekwa nyama ni pale mikataba mipya itakapokuwa imeshaandikwa.

Huwezi ukaweka kila kitu kwenye azimio lililopita bungeni, IGA ndio inayokuja kuzaa HGA na humo ndimo yanamoandikwa mengi kwa kirefu yenye kuhusu biashara mbalimbali namna zitakavyokuwa na hata masuala kama ukomo.
Huu ujinga hatuwezi kukubali!! Eti tumekubali kabla ya mkataba!! Kilichopitishwa ndio mkataba mama na mingine ya kiutekelezaji itapitishwa!! Wizi mtupu!! HATUKUBALI!!
 
Huu ujinga hatuwezi kukubali!! Eti tumekubali kabla ya mkataba!! Kilichopitishwa ndio mkataba mama na mingine ya kiutekelezaji itapitishwa!! Wizi mtupu!! HATUKUBALI!!
Hakuna unachokijua, tulia uelimishwe mambo mengi. Mikataba haijasainiwa bado, na itakuwa kadhaa kulingana na sekta husika ya bandari.

Hakuna mkataba mama mpaka dakika hii uliyosainiwa kwenye hii biashara, kuna agreement ya IGA, ambayo ni kifupisho tu cha mengi yanayokwenda kujadiliwa katika michakato wa uandishi wa hiyo mikataba.
 
Hakuna unachokijua, tulia uelimishwe mambo mengi. Mikataba haijasainiwa bado, na itakuwa kadhaa kulingana na sekta husika ya bandari.

Hakuna mkataba mama mpaka dakika hii uliyosainiwa kwenye hii biashara, kuna agreement ya IGA, ambayo ni kifupisho tu cha mengi yanayokwenda kujadiliwa katika michakato wa uandishi wa hiyo mikataba.

Bado una msimamo huu?
 
Bado una msimamo huu?
Bado ninao na siku zote nitakuwa nao. DPW yupo bandarini na Adani pia kaanza kazi.

Tulidanganyana kwamba IGA ya DPW itazuia shughuli zote za bandarini kwa maana ya wao kuwa na utawala wa sekta nzima ya bandari. Hili ni jambo wengi wetu tulikuwa hatuna ufahamu nalo.

Ukisikia bandari ya Mtwara au Mbinga inataka uwekezaji tafuta mwekezaji na uende nae pale TPA, kama anakidhi vigezo mtapewa kazi ya kuendesha hizo bandari bila ya kuitazama IGA ya DPW inasema nini.
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Dunia haitusubiri tuamke yenyewe inakwenda kasi tu. Ni juu yetu kuliwahi basi lisilo na muda wa kumsubiri abiria ajivute wakati wa kupanda.

Sekta yetu ya bandari bado ipo chini, nguvu kazi pale TPA bado haina uelewa wa masuala mengi ya bandari na ufanyaji kazi wa kisasa, sisi tulitakiwa kuchangamkia hizi fursa za uwekezaji kuliko kuja na kejeli za Chief Mangungo.

Ni aidha tuitafute elimu kwa kasi na nguvu au tuendelee kuja na uzi wa malalamiko kama huu wenye kuwajaza ujinga wasomaji wengi kana kwamba tunaibiwa.

India wamempa DPW fursa ya uwekezaji, sisi na wao nani wapo juu kiuchumi na kimaarifa?.
 
Bado ninao na siku zote nitakuwa nao. DPW yupo bandarini na Adani pia kaanza kazi.

Tulidanganyana kwamba IGA ya DPW itazuia shughuli zote za bandarini kwa maana ya wao kuwa na utawala wa sekta nzima ya bandari. Hili ni jambo wengi wetu tulikuwa hatuna ufahamu nalo.

Ukisikia bandari ya Mtwara au Mbinga inataka uwekezaji tafuta mwekezaji na uende nae pale TPA, kama anakidhi vigezo mtapewa kazi ya kuendesha hizo bandari bila ya kuitazama IGA ya DPW inasema nini.

Faida yao ni ipi?
 
Faida yao ni ipi?
Gawio la hazina kuongezeka ni faida kubwa sana kwenye uchumi wa nchi.

Haraka ya ushushaji na upakiaji wa makasha pale bandarini yanafanya kazi nyingi ifanyike ndani ya muda mfupi.

Bandari yetu kuwa kimbilio na chaguo la waingizaji na watoaji wa bidhaa pia ni heshima kwa Tanzania.

Elimu ya masuala ya bandari inayotolewa na DPW kwa mujibu wa vipengele vya mkataba wa DPW, kwa wale wafanyakazi wanaopewa mafunzo ni faida kwa taifa letu katika suala zima la kuongeza wataalam.
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
kama itafanya vyema ningefurahi kama wangeipa hiyo kampuni hata miaka 100. shida ni whether itakuwa bora. hata ukimpa miaka michache kama anafanya vibaya kuna faida gani?
 
kama itafanya vyema ningefurahi kama wangeipa hiyo kampuni hata miaka 100. shida ni whether itakuwa bora. hata ukimpa miaka michache kama anafanya vibaya kuna faida gani?

Faida yake unafanya mabadiliko haraka
 
Gawio la hazina kuongezeka ni faida kubwa sana kwenye uchumi wa nchi.

Haraka ya ushushaji na upakiaji wa makasha pale bandarini yanafanya kazi nyingi ifanyike ndani ya muda mfupi.

Bandari yetu kuwa kimbilio na chaguo la waingizaji na watoaji wa bidhaa pia ni heshima kwa Tanzania.

Elimu ya masuala ya bandari inayotolewa na DPW kwa mujibu wa vipengele vya mkataba wa DPW, kwa wale wafanyakazi wanaopewa mafunzo ni faida kwa taifa letu katika suala zima la kuongeza wataalam.

Umeshaipata sasa hiyo haraka?
 
Back
Top Bottom