Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

Siku mkiwa waadilifu na kuacha uongo na wizi na rushwa basi ndio utakuwa mwisho wa hawa wanaoamua mikataba na kuchukua madeni bila huruma na haijulikani ni % ngapi kikweli imefanya nini

Badilikeni na mtu muadilifu hawezi kukubali kuonewa nasema badilikeni ndio mtakuwa na nguvu ya kujitetea

Ila kama mnaiba mpaka tairi la gari unayoendesha, unatoa hongo pindi ukisimamishwa tu
Unadanganya usiende kazi
Huendi kazini kwa mda unaotakiwa kisa mnakula sahani moja na Boss, basi mtegemee kuburuzwa tu
 
Swali dogo tu" je ninyi ndiyo mliowachagua wawe pale "? Si kuna mtu aliweka falisafa kuwa wakiwa peke yao mjengoni, ndipo mtaishi kama muko peponi? Na nchi itakua kama Newyork kuanzia chatu mpaka zenzi,na kuanzia kiaka mpaka mbaba bay?? Siku zijazo mjifunze kuweka wenu ili wakiwa palee juu walinde maslahi yenu.Ni hayo tu kwa leo !!
Kwa hili JPM atakuwa ameshiriki kutusababishia haya kwakutuletea bunge ambalo haliwezi kupinga kitu ...Chonde wa heshimiwa kumbukeni hatima ya nchi ipo mikononi mwenu, mkishindwa kuzuia haya sijui majina yenu mtayazuiaje yasiwe sehemu ya historia hii ambayo natamani iwe ni ndoto za alinacha...
 
Rais anako ipeleka nchi anajua yeye. Yaani karne 21 ubinafshishe Bandari Kuu ya Nchi? Kitega uchumi kikuu ya Taifa! Hawa Waswazi shule ili wapita kushuto!!
Leo pia nimeona Mwigulu yupo na ma CEO wa Bank ya mikopo ya Ufaransa. Akope kwa jina la Tz. Pesa ziende kujenga Pemba!! Huu ujinga CCM kuna siku mta jibu!!
Inasikitisha sana sana...Kweli tupo helpless hivi?
 
Kwa hili JPM atakuwa ameshiriki kutusababishia haya kwakutuletea bunge ambalo haliwezi kupinga kitu ...Chonde wa heshimiwa kumbukeni hatima ya nchi ipo mikononi mwenu, mkishindwa kuzuia haya sijui majina yenu mtayazuiaje yasiwe sehemu ya historia hii ambayo natamani iwe ni ndoto za alinacha...
Na Samia anayepitisha haya? Mbona mna akili ndogo kiasi hiki? Tambua kuwa Bunge siyo lililoanzisha hili jambo
 
Kwa hili JPM atakuwa ameshiriki kutusababishia haya kwakutuletea bunge ambalo haliwezi kupinga kitu ...Chonde wa heshimiwa kumbukeni hatima ya nchi ipo mikononi mwenu, mkishindwa kuzuia haya sijui majina yenu mtayazuiaje yasiwe sehemu ya historia hii ambayo natamani iwe ni ndoto za alinacha...
Mimba ya Magufuli inakutesa
 
Aise kwa kweli Tanzania sasa inaliwa. Kweli Bunge letu mmeridhia??? Kipi tumeshindwa kusimamia wenyewe.? Ndege tumeshindwa, bandari tumeshindwa,mbuga zetu tumeshindwa,migodi tumeshindwa,VIWANDA tumeshindwa, n.k. je sisi tunaweza kusimamia Nini???nchi hii tunaipiga mnada tu, kuna Nini Dubai?? Masikini TANZANIA [emoji848][emoji848]
Tunaweza kusimamia kucha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Tanzania ni sisi tu ndo wenye matatizo.

Tunawalaumu wale watu ni wanyonyaji.. Sawa.

Lakini sio kwamba sisi ndo wajinga tu?
Kwanini tunakubali kunyonywa na nchi za magharibi.

Mimi nafikiri tutibu tatizo kwanza ndani
 
Chuma icho Sasa. Ngoja mama anawabembeleza baadaye subiria mjukuu wako sijui utakuwa unamwambiaje. Afrika Kuna laana sio bure. Pamoja na blacks America kunyanyapaliwa ,kubaguliwa,kutukanwa,yaani manyanyaso ya kila namna Ila hawajahi kutamani kurudi afrika na wanakaribishwa kwa mikono miwili Mana ancestors wao walitokea huku. Ila Hakuna hata mmoja anayetamani kurudi huku ardhi bure,kila bure watapewa na kule wao Ni second citizen na weweunayetoka afrika Ni third citizen mzungu Ni first na Asia ni 1.5 citizens.
Just ask why.yaani mama wabembeleze achana na udikteta usiue hata nzi mama.unadhani mtu alikuwa anauliwa bure jamani,mpaka maamuzi mtu anauliwa unadhani Kuna Nini behind. Uliza ama Soma history hizo nchi mnazoshobokea demokrasia waliua raia wangapi,like China ,USA,Russia,uk,Italy,spain etc ulizia miaka iyo wakiwa kama nyie waliouliwa Ni wangapi. Binadamu ana kichwa kigumu kwa kubembelezana haendi mpaka kuwepo na upanga nyuma.mtumwa mwenyewe aliuliwa alichapwa ili achape kazi. Mie naupenda udikteta
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Hivi wewe mporipori huwa unapata muda wa kuwaza na kufanya mambo yako kweli? Kila siku uko hapa kuropokaropoka vitu ambavyo havina maana na kupotosha ukweli!

Acha serikali iongoze nchi kwa weledi na kifuata standard za waliofanikiwa. Wewe ishi kwenye hizo nadharia zako za kijima.
 
Hivi wewe mporipori huwa unapata muda wa kuwaza na kufanya mambo yako kweli? Kila siku uko hapa kuropokaropoka vitu ambavyo havina maana na kupotosha ukweli!

Acha serikali iongoze nchi kwa weledi na kifuata standard za waliofanikiwa. Wewe ishi kwenye hizo nadharia zako za kijima.
Nchi gani iliyo fanikiwa Duniani iliyo binafsi nyenzo zake kuu za Uchumi?
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Acha Wauze akili zitukae sawa.
 
Mkuu inaumiza kiukweli lakini nibora kutawaliwa na mkoroni oliginal kuliko kutawaliwa na mkoroni oliginal kupitia wakoloni fake ambao ni nduguzetu wa Dam inauma Sana

Tendwa na mtu usiye mjua lakini so anaye kujua utaumia Sana

Huenda hatuna hakili za kujiongoza kwahiyo acha watuongoze pengine tuta tambua thamani ya kujiongoza👣👣
 
Back
Top Bottom