Mnatoa order ya magari ya 500m halafu mnaingiza 20m leo kesho 35m keshokutwa 29m si usanii huu?Ninavyohisi mimi, hawa jamaa walijachunguza baadae (baada ya kulipa)wakakuta pengine bei ya wao kuagiza moja kwa moja ni ndogo, ikilinganishwa na bei waliyoambiwa na huyu ''bilionea''. Hii ikafanya waghairi na kutaka waagize wenyewe, hivyo waka-cancel order.
Huyo ''bilionea'' japo anaonekana naye ni mtu ''mjanja mjanja wa mjini'' lakini hivyo vitisho vya polisi inaonekana alipewa kweli. Hii ni baada ya kuona kuwa inaenda kuwa kesi ya madai ambayo nayo ina mlolongo wake, hivyo wakaona ni busara kutumia vitisho vya polisi ili kuzipata fedha mapemaHawajielewi na wao magumashi tu. Ukimsikiliza sana anataja hii sio madai zaidi ya mara moja, anajua kalikoroga hii ni madai imekula kwao ndio maana wanamtishia kumuua.
Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.Huyo ''bilionea'' japo anaonekana naye ni mtu ''mjanja mjanja wa mjini'' lakini hivyo vitisho vya polisi inaonekana alipewa kweli. Hii ni baada ya kuona kuwa inaenda kuwa kesi ya madai ambayo nayo ina mlolongo wake, hivyo wakaona ni busara kutumia vitisho vya polisi ili kuzipata fedha mapema
Nilisema toka mwanzo, huyo ni msanii anataka kuibq kwa kelele🤣🤣🤣bilionea tapel
Anazuga kutishiwa maisha kumbe adaiwa
Alipeeh
Watu wengine ndio maana wanafanywaga vibaya halafu familia zao zinaishia kulalamika , iwe madai isiwe arudishe hela za wenyewe, basi.Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
Hapana mkuu kwanza waliambiwa bei ya jamaa mpaka dar na wakalinganisha na China wakaona ziko sawaNinavyohisi mimi, hawa jamaa walijachunguza baadae (baada ya kulipa)wakakuta pengine bei ya wao kuagiza moja kwa moja ni ndogo, ikilinganishwa na bei waliyoambiwa na huyu ''bilionea''. Hii ikafanya waghairi na kutaka waagize wenyewe, hivyo waka-cancel order.
😆 😂 😆Kanjibhai alitaka mteremko, tapeli boya na akataka kumteremsha.
Huyo mbongo nae ni fala, angecheza karata zake vizuri hasa kwenye documentation angekunja Mil. 500 yote akasepa nayo, ila ndio hivyo tapeli boya kama Kanjibhai tu.
Mkuu wa mkoa kazungumzia hii. Anasema jamaa anachukua hela za watu magari haleti halafu anakimbilia kusema ni kesi ya madai.Huyo ''bilionea'' japo anaonekana naye ni mtu ''mjanja mjanja wa mjini'' lakini hivyo vitisho vya polisi inaonekana alipewa kweli. Hii ni baada ya kuona kuwa inaenda kuwa kesi ya madai ambayo nayo ina mlolongo wake, hivyo wakaona ni busara kutumia vitisho vya polisi ili kuzipata fedha mapema
Jamaa wanajua mahakamani itakuwa madai itawasumbua tu ndio maana wanataka Chao huku huku mtaani.Kawatapeli sawa, Kwanini hawakufungua mashtaka na kesi iende mahakamani? Kwanini Jeshi la polisi kwenye hii kesi wamejivika umahakama na kushinikiza pesa ilipwe haraka? Hii roho nzuri polisi wameitoa wapi?
Hapa kuna mchezo unafanyika pande zote mbili, muuzaji mjanja mjanja anajua mkataba unambeba na mnunuzi anajua amevunja mkataba anahonga pesa kwa polisi ili jambo lake liende kwa wepesi.
Ndo maana unasikia mtu kapotea hivi hiviJamaa wanajua mahakamani itakuwa madai itawasumbua tu ndio maana wanataka Chao huku huku mtaani.
basi wangeweka hadharani walipa kodi wanyonge wajue!Ni uhuni kuwekeza .? Kwa sheria ipi ? Hakuna uhuni kwenye kuwekeza, na wew nenda kawekeze mkuu kama unaona wanafaidi
Hakuna watu wanatakatisha fedha kama watu kutoka bara asia hasa wahindiUlimsikiliza vizuri bilionea? Hao jamaa ndani ya week wameghairi kukamilisha malipo na kumtaka jamaa bilionea arudishe fedha wakati yeye kashayaagiza....Kuna watu wana wenge sana wakishika hela yaani ni kubadilikabadilika kama vinyonga...Dawa yao kwenye mkataba ni kuwaandikia kwamba wakighairi fedha hairudishwi.
Ila Tanzania tuna chuki kwani mtu kujiita billionea ni kosaMkuu Ras, wakati mwingine hata jina la mtu linaweza kukupa hint, mwenyewe yukoje. Hivi kweli mtu anayejiita bilionea, si kuna ukakasi hapo? Mbailionea wa kweli huwa hawataki kujulikana. Ni sawa na mtu anayejigamba ni msomi kama huyu waziri wetu wa fedha, siku zote huwa ni msomi feki.
Waende mahakaman ukweli ujulikaneLazima alipe deni wacha aendelee kujitekenya
Wamemjibu kwanza mitandaoni kama yeye alivyotoa tuhuma mitandaoniWaende mahakaman ukweli ujulikane