Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Baada ya Bilionea Shami kudai kutishiwa maisha, wanaomdai wajitokeza na kumwambia alipe deni

Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.

Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Kwa hiyo Muliro anafanyakazi kipuuzi kwa maagizo ya hawa jamaa?
 
Umejuaje nimeumia? Unajua maana ya wivu? Unajua maana ya chuki? Huyu huyu jamaa ndiyo kwanza namsikia. Nimesema mabilionea wa kweli hawajipigii debe. Nimesema wasomi wa kweli hawajipigii debe.
Yeye kaamua kujiita billionnaire we kinakukera nini acha wifu
alafu kama hulikua hujui wauzaji magari
kumiliki billionaire ni kawaida sana kwao

Biashara ya magari inaganji kubwa sana gari moja anaweza akala ganji hata la million
 
Nishaagiza sana vitu nje mkuu ,najua huyo kanjibai anazungumzia B/L ambayo inatumwa kwa DHL au courier service yeyote ambayo ni Doc ina info za mzigo/meli etc

Kwanini huyo Kanjibai baada ya week tu kabadili gear angani? Kuna mbinu za biashara ambazo wafanyabiashara hutumia ili kumpata mteja ,hata mimi ukija nitakwambia mzigo upo ili uingie kwenye 18 ,ukishanilipa ndipo naanza process za kuagiza....Hao makanjibai ni wale watu wenye wenge la hela wameona kusubiria mwezi mrefu wakati hela zinawawasha.
Watu wengi wa jamiiforum hawajui abc za biashara
 
Boss wangu naomba nikujibu nikutoe kwenye hii dhahama.
Mm ni msafiri na mfanyabiashara za nje, haswa china japan na ufilipino.
Huyu jamaa ni kma vijana wengine wa kibongo. Anajitangaza, hopefully ni rahisi kumuamini na kumsupport. Ni sawa ww duka la addidas lipo mlimani ila ukanunua kiatu kkoo au sinza.
Hawa ni wawekezaji wamemuamini mzawa. Some deals tunafanya na watu kupata urahisi na ufanisi.
Huyu kijana ni muhuni. Naijua hyo issue vzuri. Toka post ya kwanza nilisema achaneni kumtetea huyo bwana.watamlawiti. kaleta tamaa. Atalawitiwa.
Nikasema issue hta sio ya viongozi.. ni watu tu wakawaidw saaaana. Yy anawachukulia poa atalawitiwa.
Case closed
 
Nishaagiza sana vitu nje mkuu ,najua huyo kanjibai anazungumzia B/L ambayo inatumwa kwa DHL au courier service yeyote ambayo ni Doc ina info za mzigo/meli etc

Kwanini huyo Kanjibai baada ya week tu kabadili gear angani? Kuna mbinu za biashara ambazo wafanyabiashara hutumia ili kumpata mteja ,hata mimi ukija nitakwambia mzigo upo ili uingie kwenye 18 ,ukishanilipa ndipo naanza process za kuagiza....Hao makanjibai ni wale watu wenye wenge la hela wameona kusubiria mwezi mrefu wakati hela zinawawasha.
Kiiingggggg
 
Bilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
Huu mfumo wa kesi za madai uangaliwe upya, watu wanatumia hiyo loophole kudhurumu watu fedha zao wakijua nikipelekwa Polisi siwezi kulala ndani sababu zaidi ya siku moja na kesi ikipelekwa mahakamani yanayotokea huko yanajulikana tu
 
Boss wangu naomba nikujibu nikutoe kwenye hii dhahama.
Mm ni msafiri na mfanyabiashara za nje, haswa china japan na ufilipino.
Huyu jamaa ni kma vijana wengine wa kibongo. Anajitangaza, hopefully ni rahisi kumuamini na kumsupport. Ni sawa ww duka la addidas lipo mlimani ila ukanunua kiatu kkoo au sinza.
Hawa ni wawekezaji wamemuamini mzawa. Some deals tunafanya na watu kupata urahisi na ufanisi.
Huyu kijana ni muhuni. Naijua hyo issue vzuri. Toka post ya kwanza nilisema achaneni kumtetea huyo bwana.watamlawiti. kaleta tamaa. Atalawitiwa.
Nikasema issue hta sio ya viongozi.. ni watu tu wakawaidw saaaana. Yy anawachukulia poa atalawitiwa.
Hio Muliro kaiframe tu ili kupata backup ya maamuzi yake na exercising his power
 
Back
Top Bottom