Mkuu hujawahi sikia hadi Tesla na Amazon wanapigwagwa hivi hivi kama haw jamaaKama wanajielewa walikwendaje kumpa kazi ya kuwanunulia Magari yule bilionea wa mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujawahi sikia hadi Tesla na Amazon wanapigwagwa hivi hivi kama haw jamaaKama wanajielewa walikwendaje kumpa kazi ya kuwanunulia Magari yule bilionea wa mchongo
Walitaka used trucksBiashara ya 500mil walishindwa vipi kwenda kufanya window shopping hata pale vingunguti mpka wakamfuata jamaa wa maduka ya spare
Ila kiswahili chake kimenyookaHuyo Kanjibai kapangwa na J4 Muliro.
Kwa hiyo Muliro anafanyakazi kipuuzi kwa maagizo ya hawa jamaa?Baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu kwa jina la Bilionea Shami kudai kuwa ametishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa Polisi, amejibiwa na waliojitambulisha kuwa ni wahusika aliofanya nao biashara wakimtaka alipe fedha alizopewa na sio kulalamika mitandaoni.
Wasikilize mwenyewe hapa
Habari ya kwanza ni hii > Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Yeye kaamua kujiita billionnaire we kinakukera nini acha wifuUmejuaje nimeumia? Unajua maana ya wivu? Unajua maana ya chuki? Huyu huyu jamaa ndiyo kwanza namsikia. Nimesema mabilionea wa kweli hawajipigii debe. Nimesema wasomi wa kweli hawajipigii debe.
Watu wengi wa jamiiforum hawajui abc za biasharaNishaagiza sana vitu nje mkuu ,najua huyo kanjibai anazungumzia B/L ambayo inatumwa kwa DHL au courier service yeyote ambayo ni Doc ina info za mzigo/meli etc
Kwanini huyo Kanjibai baada ya week tu kabadili gear angani? Kuna mbinu za biashara ambazo wafanyabiashara hutumia ili kumpata mteja ,hata mimi ukija nitakwambia mzigo upo ili uingie kwenye 18 ,ukishanilipa ndipo naanza process za kuagiza....Hao makanjibai ni wale watu wenye wenge la hela wameona kusubiria mwezi mrefu wakati hela zinawawasha.
Hahaha wee dogoKivipi mzee hakuna refund kmmk
Mbona wapo Gf Trucks etc hawa jamaa watakuwa walikuwa na lao jambo si bureWalitaka used trucks
Accumen Mo amelike 😅😅🤣Mtu akishasema anatokea Moshi, Arusha na Bukoba weka mbali kwa pesa hizo people zinautapeli sana sana.
Case closedBoss wangu naomba nikujibu nikutoe kwenye hii dhahama.
Mm ni msafiri na mfanyabiashara za nje, haswa china japan na ufilipino.
Huyu jamaa ni kma vijana wengine wa kibongo. Anajitangaza, hopefully ni rahisi kumuamini na kumsupport. Ni sawa ww duka la addidas lipo mlimani ila ukanunua kiatu kkoo au sinza.
Hawa ni wawekezaji wamemuamini mzawa. Some deals tunafanya na watu kupata urahisi na ufanisi.
Huyu kijana ni muhuni. Naijua hyo issue vzuri. Toka post ya kwanza nilisema achaneni kumtetea huyo bwana.watamlawiti. kaleta tamaa. Atalawitiwa.
Nikasema issue hta sio ya viongozi.. ni watu tu wakawaidw saaaana. Yy anawachukulia poa atalawitiwa.
Kumbe jamaa ndio mchezo wake. Ila sishangai sana maana ukifuatilia kwa karibu utagundua ana vinasaba vya akina MushiMkuu wa mkoa kazungumzia hii. Anasema jamaa anachukua hela za watu magari haleti halafu anakimbilia kusema ni kesi ya madai.
Madai ni upumbavu mtu anaweza hata kutaka kulipa buku bukuJamaa wanajua mahakamani itakuwa madai itawasumbua tu ndio maana wanataka Chao huku huku mtaani.
Mkuu kumbe bado hupogo jamvin. Ni kitambo huonekani. Hope everything is okay with you.Nilisema toka mwanzo, huyo ni msanii anataka kuibq kwa kelele
washapigwa haoGari zote hizo bora angeenda kwa Official Deal wa Howo pale Vingunguti.
Saizi matapeli wamekuwa wengi, juzi kati nimekutana na wakongo wameagiza gari kwa mbongo wamekuja kuzifata wamekaa hoteli wiki 1 jamaa anapiga chenga kwamba zimekwama bandari
KiiinggggggNishaagiza sana vitu nje mkuu ,najua huyo kanjibai anazungumzia B/L ambayo inatumwa kwa DHL au courier service yeyote ambayo ni Doc ina info za mzigo/meli etc
Kwanini huyo Kanjibai baada ya week tu kabadili gear angani? Kuna mbinu za biashara ambazo wafanyabiashara hutumia ili kumpata mteja ,hata mimi ukija nitakwambia mzigo upo ili uingie kwenye 18 ,ukishanilipa ndipo naanza process za kuagiza....Hao makanjibai ni wale watu wenye wenge la hela wameona kusubiria mwezi mrefu wakati hela zinawawasha.
Huu mfumo wa kesi za madai uangaliwe upya, watu wanatumia hiyo loophole kudhurumu watu fedha zao wakijua nikipelekwa Polisi siwezi kulala ndani sababu zaidi ya siku moja na kesi ikipelekwa mahakamani yanayotokea huko yanajulikana tuBilionea kala hio hela akijua itakuwa kesi ya madai ashazoea hizo. Hawa jamaa wanajua ikiwa kesi ya madai imekula kwao ndio maana kila mara unamsikia anasema hii sio madai ni utapeli blah blah blah last resort wanamtisha ma jamaa anasema twende mahakamani anajua mwiaho wake ni madai.
Refund ni kuliwa tako tu no way out kmmmk. Ukila cha mjuba lazma upate msiba wa unyoroKivipi mzee hakuna refund kmmk
Hio Muliro kaiframe tu ili kupata backup ya maamuzi yake na exercising his powerBoss wangu naomba nikujibu nikutoe kwenye hii dhahama.
Mm ni msafiri na mfanyabiashara za nje, haswa china japan na ufilipino.
Huyu jamaa ni kma vijana wengine wa kibongo. Anajitangaza, hopefully ni rahisi kumuamini na kumsupport. Ni sawa ww duka la addidas lipo mlimani ila ukanunua kiatu kkoo au sinza.
Hawa ni wawekezaji wamemuamini mzawa. Some deals tunafanya na watu kupata urahisi na ufanisi.
Huyu kijana ni muhuni. Naijua hyo issue vzuri. Toka post ya kwanza nilisema achaneni kumtetea huyo bwana.watamlawiti. kaleta tamaa. Atalawitiwa.
Nikasema issue hta sio ya viongozi.. ni watu tu wakawaidw saaaana. Yy anawachukulia poa atalawitiwa.