Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mimi sijakataa ila ntakuwa nalipa buku kila mwezi😂Huu mfumo wa kesi za madai uangaliwe upya, watu wanatumia hiyo loophole kudhurumu watu fedha zao wakijua nikipelekwa Polisi siwezi kulala ndani sababu zaidi ya siku moja na kesi ikipelekwa mahakamani yanayotokea huko yanajulikana tu