Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Mtu akikupiga nawe piga panapouma, yule hawezi kuwa mteja wake tena. Vita ni vita Mura, vita haina macho. Hasa unaona kabisa sababu za kukushambulia nini, sijui bwana ila sidhani kama wewe unamzidi Dewji kwa kuifamu biashara.Hahahaaaa...... Yale ni mambo binafsi bwashee.
Mfanyabiashara anatoa siri za mteja.....baniani bure kabisa!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app