Mtu akikupiga nawe piga panapouma, yule hawezi kuwa mteja wake tena. Vita ni vita Mura, vita haina macho. Hasa unaona kabisa sababu za kukushambulia nini, sijui bwana ila sidhani kama wewe unamzidi Dewji kwa kuifamu biashara.Hahahaaaa...... Yale ni mambo binafsi bwashee.
Mfanyabiashara anatoa siri za mteja.....baniani bure kabisa!
Kanda ya Ziwa gani unayoongelea wewe? Au Kanda ya ziwa Rukwa?Matumaini yao yamebakia Kawe pekee!
Kwa uteja gani wapenda vya bure!Hahahaaaa...... Yale ni mambo binafsi bwashee.
Mfanyabiashara anatoa siri za mteja.....baniani bure kabisa!
Mbona na wewe umechapia kabla hujanyosha kidole toa boliti kwanza kwenye jicho lakoLissu aliposema tutafute mfumo Bora wa elimu hatuelewi hoja yake huyu ni dactari mwenye PhD.View attachment 1568053
Mimi Sina elimu yeyote ni haki yangu kuchapia,[emoji16][emoji16][emoji16] ila Dr kuandika kingereza kibovu vile ni aibu kwa Taifa na waliomchagua kuwa waziri.Mbona na wewe umechapia kabla hujanyosha kidole toa boliti kwanza kwenye jicho lako
Ni medical Doctor (MD) na sio PHD Holder - unless na yeye awe “ameshapata” hizi za online ambazo wana CCM wengi wanaclaim kuzipata easily within 12 monthsNi Dr wa PhD au Clinical Officer?
😁😂😅😄Ni Dr wa PhD au Clinical Officer?
Ccm ShidaNi medical Doctor (MD) na sio PHD Holder - unless na yeye awe “ameshapata” hizi za online ambazo wana CCM wengi wanaclaim kuzipata easily within 12 months
Kama huna elimu umejuaje kingereza kibovu? Acha kuhadaa umma toa boliti machoni mwako kwanzaMimi Sina elimu yeyote ni haki yangu kuchapia,[emoji16][emoji16][emoji16] ila Dr kuandika kingereza kibovu vile ni aibu kwa Taifa na waliomchagua kuwa waziri.
Ni MDNi Dr wa PhD au Clinical Officer?
"of any country"