Binti Kirembwe
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 307
- 330
Nimefanya kazi na medical doctors wengi ,na wapo vyema kwenye kutibu ijakua inglish yao sio nzur, wakat mungine tuangalie experience ya mtu,kuliko uandishMimi Sina elimu yeyote ni haki yangu kuchapia,[emoji16][emoji16][emoji16] ila Dr kuandika kingereza kibovu vile ni aibu kwa Taifa na waliomchagua kuwa waziri.