Osokoni ni kimasai katika kitabu cha "IS IT POSSIBLE TO OLD A SPEAR IN ONE HAND AND A BOOK IN ANOTHER" chenye context ya umasaini, main character alikuwa Lerionka Ole Sururu, sasa baba yake Ole Sururu alikuwa gaidi, mchungu, bandidu ndo alikuwa mtaani amepewa jina la Oskoni kutokana na dawa chungu kuliko zote ya mti wa Osokonoi. Na Lerionka nae akawa anataka kurithi hilo jina la Osokoni!ahahahahaaaaaaa osokoni katisha afu hili jina limenichekesha sana sijajua ni asili ya wapi Lara 1
mOsokoni ni kimasai katika kitabu cha "IS IT POSSIBLE TO OLD A SPEAR IN ONE HAND AND A BOOK IN ANOTHER" chenye context ya umasaini, main character alikuwa Lerionka Ole Sururu, sasa baba yake Ole Sururu alikuwa gaidi, mchungu, bandidu ndo alikuwa mtaani amepewa jina la Oskoni kutokana na dawa chungu kuliko zote ya mti wa Osokonoi. Na Lerionka nae akawa anataka kurithi hilo jina la Osokoni!
nimeona hapo tu rafiki............punda haendi bila fimbo....wapo wanawake for gentlemen na wapo ambao ni punda bila fimbo hawaendi ole wako wewe gentleman uoe huyo..
Nilikuwa nakuonyesha tu hapo rafiki The Boss aliposema kuna wadada wanawazimikia ma-gentleman, si wewe ulisema mkiwa magentle tunawaonea?Please add some more meat rafiki Fixed Point
Osokoni ni kimasai katika kitabu cha "IS IT POSSIBLE TO OLD A SPEAR IN ONE HAND AND A BOOK IN ANOTHER" chenye context ya umasaini, main character alikuwa Lerionka Ole Sururu, sasa baba yake Ole Sururu alikuwa gaidi, mchungu, bandidu ndo alikuwa mtaani amepewa jina la Oskoni kutokana na dawa chungu kuliko zote ya mti wa Osokonoi. Na Lerionka nae akawa anataka kurithi hilo jina la Osokoni!
hebu nenda kamsome tena MentorThe Boss didn't mean that!
Most ladies (before marriage) go for the bad boys (this from experience) and the gentlemen kwa wakati huo wanaonekana old fashioned..
Definitely........So..i have some reason to hope for the better eeh? Lol
sio tu gama na kuwa abusive pia..wanawake wengi ni 'mandondocha' wa wanaume abusive na wanaopiga game vizuri...huyo msichana hata aolewe na nani huyo jamaa atajipigia tu daily...
Osokoni(in maasai it means a tree called Osokoni thats bears very better fruits)Osokoni
Osokoni(in maasai it means a tree called Osokoni thats bears very better fruits)
kweli his actions are better like those fruits of Osokoni!
Ohhhii ngishu na nje ngima( im proud of catlle that comes from the fire)!
thats nice of you.................!Its bitter, not better.