Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

hahahahah mechi ya hivyo hainogi mtu unajua kabisa baada ya dk90 ni moja moja

weeee kwa osokoni kuna cha kunogaaaaaa??????

BENCHI LA UFUNDI HAPO HALITAKIWI KULALA SIKU MOJA NZIMA KABLA YA MECHI

yaani kama wazee wa simba ya yanga siku moja kabla ya menchi ya simba na yanga
 
weeee kwa osokoni kuna cha kunogaaaaaa??????

BENCHI LA UFUNDI HAPO HALITAKIWI KULALA SIKU MOJA NZIMA KABLA YA MECHI

yaani kama wazee wa simba ya yanga siku moja kabla ya menchi ya simba na yanga

vya osokoni ni dabo dabo unaona maruweruwe na bado unaomba sorry wewe hahaha
 
Huyo osokoni mie ningempa muda nikajipendekeza tena. Akikubali tu naenda, sivui nguo najifanya nina haraka na osokoni. Kwenye kipochi nina pilipili yangu ya unga ile nyekundu ya kulia mihogo naitegesha mahali karibu, gemu inaanza... ikifika mahali kakolea napapasa pochi mikono naipakaza issue.... nachomoa muwa namshika na ile pilipili... kabla hajakaa vizuri na dip mkono pale kwenye unga napakaza fasta kwenye kitundu kile! game over, akakojolee chooni mie nduki!
 
ila ukiwa sana osokoni type ujanani unaweza ku lost maisha so easily..manake women hawakubabaishi..wale ambao wanababaishwa easily na women hutafuta mmoja tu na kutulia na kujenga maisha...nina mifano ya kaka zangu..

Mkubwa umeongea bonge la pointi...




sometimes in order to win in life you need to be a person with fear..
 
una wakati Lara anakuwa amekunywa Banana wine yenye konyagi ndani
 
ahahahahaaaaaaa osokoni katisha afu hili jina limenichekesha sana sijajua ni asili ya wapi Lara 1
 
Namasteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!

Mweneznu hapa nipo hoi kwa chekooo! Mbavu zaniumaje sasa! Nimepewa yanayojiri bongo sinammbavu mie!

Kuna ndugu yangu mmoja, ana on and off bf ambae nilisoma nae mie, kaenda age kidogo ila bado hajatoka kimaisha wala nini. Mwanaume hana hela ila ana balls balaaa! Ananiendesha mpaka mie kubwa la maadui shemeji yake! Ana niboss around na ugaidi wangu wote! Unaweza kujibu kwa nyodo NOO! Akakutizama usoni na kuuliza Why? Na utafanya nakwambia kuepusha shari!

Kuna siku alitutoa akanilipisha bili sina hamu nae! Nilinunaaa kama cobraaaaa! Na nililipa mbona! Nilijuuuta kumfahamu! Sasa huyu mtu tunamuita Osokoni kwa mambo yake, na huyo ndugu yangu sielewi anampenda au hampendi ila mara nyingi akimuacha anamganda kama luba warudiane!

Sasa hapo kati waliachana na osokoni, akapata kibwana insurance brooker, comission kibao, akampotezea osokoni, osokoni hakutaka kushindwa easly aliput a fight si kidogo, kungekuwa na court of appeal ya mapenz angeenda ku appeal! Ila ikafika mahala akaamua kukaa pembeni! Na Fyi Osokoni haongi senti tano kipande! Utafaidi shower ya hoteli tu! Kantangazeeee! Na kuku ulizokula labda!

Sasa mambo hayakwenda alivotaka, akaachana na brooker, akawa idle, badae akajirudisha kwa Osokoni. Osokoni alichomfanya anajuuuta kumfahamu! Akamwambia Osokoni wakutane waongee, akakubali akamwambia wakutane hoteli, room wajadiliane na kama kusameheana wasameheane!

Loooooh! Lahaula lakwata! Kufika room, kmkuta Osokoni kama alivozaliwa, kamdaka juu juu! Game on! Akajua karahisishiwa sentiments za kujieleza na kumlamba miguu! Raund 4 waambiwa! Akajua soo limeisha, ukurasa mpya! Mhhhhhhhh! Game lilivoisha kabla hata hajaoga, akatimliwa kama mbwa! Hahahahahahaaaaaaaa! Its not a laughing matter! Vaa pichu uende fatsaa! Osokoni bwana! Hahahaaa! Akajua utani, mwenzie yupo serious, alivoona anangaa sharubu akamtupia pochi nje! Ndo kutoka kwa aibu! Hahahahahaaaaaaa! Kajipangusa makalio kwa aibu huyooooo kapitoa walk of shame of all times! Hahahaaaaa! I insist its not a laughing matter and im ashamed of my self for laughing sensitive matter like this!

Waambiwa Osokoni alirudi kuoga, kawasha mziki kalala fofofoooooooo! Najuuuuuuuuuta! Kumfahamu! Hapa nangojewa nirudi nitulie nitoe tamko, wanasubiri wa Yuda tutoe jibu tumfanyaje mtu huyu Osokoni! Ila wanawake muwe makini na ma X! Aaaaaaaah! Mjini kuna mambo kijijini sirudi ng'oooooo!

hahahahahaaaaa... , hiyo ndo dawa ya hao sistadu wenye nyodo....
 
Huyo osokoni mie ningempa muda nikajipendekeza tena. Akikubali tu naenda, sivui nguo najifanya nina haraka na osokoni. Kwenye kipochi nina pilipili yangu ya unga ile nyekundu ya kulia mihogo naitegesha mahali karibu, gemu inaanza... ikifika mahali kakolea napapasa pochi mikono naipakaza issue.... nachomoa muwa namshika na ile pilipili... kabla hajakaa vizuri na dip mkono pale kwenye unga napakaza fasta kwenye kitundu kile! game over, akakojolee chooni mie nduki!

Hapo utakuwa unatafuta kipigo heavy, dawa ni kukaa mbali na Osokoni.
Yani me mtu nikishamuacha hata tukikutana njiani nabadilisha njia, kuna watu wanajua kulipa visasi mweeee!
 
insuarance brooker game zero...osokoni inaonekana ana game la juu ndo maana dada kila mara anamrudia.angemtoa nje bila nguo
 
Nimeipenda!
sio tu gama na kuwa abusive pia..wanawake wengi ni 'mandondocha' wa wanaume abusive na wanaopiga game vizuri...huyo msichana hata aolewe na nani huyo jamaa atajipigia tu daily...
 
insuarance brooker game zero...osokoni inaonekana ana game la juu ndo maana dada kila mara anamrudia.angemtoa nje bila nguo
Osokoni ni the man of principle, wala si mambo ya game, muaminifu, ana mda nae, anakubana mpaka raha, kila dakika anapiga simu, anamsindikiza shopping, hata mitoko ya wanawake anafosi kuja mradi tu awe na baby yake, SEMA TU HANA MBESA! Vinginevo ni a man to die for! Anamsaidia hadi report za ofisini!

But this new side of him is dangerous oooooooooooh!
 
Back
Top Bottom