Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

na bado wewe ila usisite kuja kutuambia jinsi utakavyotendwa! na pengine ulishatendwa ila umekauka kau!
 
Osokoni kiboko aiseeeh mwambie bibie asirudi tena hapo
 
Wadada bwana!kirahisr ahisi ukakubali kurudi kw x,samahani sana!
 
mhhhhhhh majanga osokoni kalipa kisasi mwambie bestito aachane nae kimoja wa nini huyo osokoni kutunza hajui na bado unamganda achilia mbali kamdhalilisha

kutunza nini? kwani wewe ni kifaranga ndio utunzwe?
 
Osokoni ni the man of principle, wala si mambo ya game, muaminifu, ana mda nae, anakubana mpaka raha, kila dakika anapiga simu, anamsindikiza shopping, hata mitoko ya wanawake anafosi kuja mradi tu awe na baby yake, SEMA TU HANA MBESA! Vinginevo ni a man to die for! Anamsaidia hadi report za ofisini!

But this new side of him is dangerous oooooooooooh!

Daah, kumbe mi bado sanaaaa!!
 
Lara 1 and youre friends hamuishi vituko,whenever i see namasteeeeee!am ready to crack my rias lol!
Shikamoo Oskoni......komesha kama James Bond plan well executed
 
Back
Top Bottom