Baada ya HIMARS, Mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine Utamfanya Putin aitishe Vikao zaidi Kremlin

Baada ya HIMARS, Mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine Utamfanya Putin aitishe Vikao zaidi Kremlin

Hata waishinde Russia bado wengine tunahesabu Russia ndo mshindi, ameichakaza ardhi ya Ukraine pasi wenyewe kuingingia ndani ya Russia, sasa hivi Russia anapigana na mataifa yale yenye nguvu na anawatoa kamasi, na ilipaswa Dunia mzima imtetee maana anaonewa, na wasipoangalia, Russia inarejesha heshima na kuitawala Dunia tena
Anapigana na Ukraine tu.
 
Nyie zipeni majina ya kutisha Tisha mkitegemea majina yatabadili chochote [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom