passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Wewe na warusi Nani anaakili?wanaingiza hela kila siku Kwa kuuza mafuta Kwa haohao wanajua wanachokifanya.Russia ana GDP na mahela ya ku-run vita kwa miaka mingi kama US na washenzi wenzie wa West?
Kanchi kana GDP ndogo zaidi ya Texas...