Baada ya HIMARS, Mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine Utamfanya Putin aitishe Vikao zaidi Kremlin

Baada ya HIMARS, Mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine Utamfanya Putin aitishe Vikao zaidi Kremlin


Hiyo inakwambia athari zake McDonalds awajapandisha bei ya bidhaa zao kwa miaka 14.

Waulize watu wanaoishi huko bei za vyakula sasa supermarkets.

Hao waingereza walau walau wana security of supply lakini awawezi kukwepa bei ya soko Russia akipunguza hasa winter, hao wengine ndio dependent na Russia kuanzia 90% to 40% kama unajua millions of cubic wanazotumia na ugumu wa kufidia hiyo supply in terms of shipping usingeongea.

Like I said subiri November wasipokubali yaishe basi wawe tayari na mziki wa wananchi wao; hivi tunavyoongea U.K. kuna mgomo wa railway kisa cost of living.

Sasa huko kwingine wanapotegemea Russia ndio kabisa ata Italy mzozo wao Russia chama chenye viti asilimia kubwa ya viongozi waliochaguliwa awaungi mkono tena vita.
Nasubiria November, ntarudi kukukaribisha hapa.
 
Mambo yanazidi kuwa magumu na kama nilivyokwisha kusema kwamba Putin kashapoteza Dira ya vita Duniani: Vita ya Ukraine, Putin amepoteza Dira, mpaka sasa haelewi afanyeje kumaliza vita aliyoianzisha.

Kwa sasa Ukraine inazidi kupata nguvu ya hali ya juu tofauti na mwanzo kabisa, kwa sasa Ukraine imeanza Kupokea silaha za kisasa zaidi ambazo anazidi kuzitumia ipasavyo na mpaka sasa Russia ameshindwa kusonga mbele Donbas & Kherson mara baada ya Ukraine kuanza kutumia HIMARS hali iliyomfanya Putin kuhitisha kikao cha dharula Kremlin.

Baada ya HIMARS, Ukraine inaenda kuanza kutumia Mfumo wa Phoenix Ghost Drone kupambana na Russia.

Mbaya Zaidi Putin kaenda kuomba Silaha Iran & Syria, hali inayoonyesha kwa sasa Russia imeanza kupungukiwa na silaha za kivita.

Je, mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine ni nini?

Phoenix Ghost ni aina ya silaha zinazotembea kumaanisha kwamba husalia angani kwa muda mrefu kabla ya kupata shabaha.

Marekani inatuma zaidi ya ndege 500 za Phoenix Ghost kwenda Ukraine kama sehemu ya kifurushi chake cha dola milioni 270 ambazo Idara ya Ulinzi ya Marekani ilitangaza Ijumaa.

Tovuti ya Defense Express ilinukuu taarifa zilizotolewa na mshauri wa ofisi ya Rais wa Ukraine, Oleksii Arestovysch, ambaye alielezea ndege isiyo na rubani ya Phoenix Ghost kama "wijeti nzuri."

Ndege isiyo na rubani hutoshea ndani ya mkoba na inaweza kuning'inia hewani kwa saa sita. Ina mwongozo wa ‘infrared’, kumaanisha kuwa inaweza kufanya kazi usiku na kuharibu shabaha za silaha za wastani.

"Mia tano na themanini ya vitengo kama hivyo ni sawa na malengo 350 yaliyoharibiwa kwa nyuma," alisema.

Kulingana na Defence News, Phoenix Ghost, ambayo ilitengenezwa na Marekani mahususi kwa matumizi nchini Ukraine, inafanya kazi kwa njia sawa na AeroVironment Switchblade.

Kama vile Switchblade, ndege isiyo na rubani ya Phoenix Ghost ni aina ya silaha inayoteleza, kumaanisha kwamba inasalia hewani kwa muda mrefu kabla ya kupata shabaha.

Uwezo wa Phoenix Ghost

Tangazo la Biden la msaada wa kijeshi ni la 16 kutoka kwa orodha ya idara ya Ulinzi DoD kwa Ukraine ambayo Utawala wa Biden umeidhinisha tangu Agosti 2021," Idara ya Ulinzi ilisema katika taarifa yake Ijumaa.

Silaha hiyo ilundwa na Aevex Aerospace huko California, Phoenix Ghost inafaa dhidi ya magari ya kivita ya wastani, Politico ilimtaja mjumbe mstaafu wa bodi ya Aevex Lt. Jenerali David Deptula akisema.

Phoenix Ghost ina uwezo wa kuruka wima, inaweza kufuatilia lengo kwa hadi saa sita na inaweza kufanya kazi usiku kwa kutumia vitambuzi vya infrared, Deptula aliiambia Politico.

Ingawa Switchblade inaweza kuruka kwa chini ya saa moja pekee, Phoenix Ghost inaweza kusalia angani kwa muda mrefu zaidi.

"What is the Phoenix Ghost Drone that is set to be used in Ukraine? - The Jerusalem Post" What is the Phoenix Ghost Drone that is set to be used in Ukraine?

View attachment 2306822View attachment 2306823View attachment 2306827
Mkionaga hayo mapichapicha mnapata maluelue. Biden anazidi kuwaingiza chaka Ukraine kwani kwasasa hakuna taifa lenye ubavu wa kuligana vita na Russia. Hao Ukraine na Nato hakuna rangi watakaohacha kuiona kwwnye hii vita.

Toka vita inaanza kila silaha mnazopeleka zinadhibitiwa sasa sijui hayo mapepo yenu yanatoka wapi
 
Hakuna mtu wa kumpigia magoti Putin, ni kichaa na tahira pekee anayeweza kufanya hivyo. Ni lazima kiunzi cha mafuta ya Urusi kirukwe kwa ajili ya usalama wa EU kwa miaka ijayo.
wangekuwa wana solution wangeshafanya ayo toka miaka 20 iliyopita apo tunaongelea natural gesi siyo gesi za kubumba kama zingine west the way wanavyoichukia Russia wangekuwa wanambadala kitambo tu wangesha shift ila ndio ivyo sasa awana mbadala na awatopata mbadala milele aliyepewa amepewa tu uwezi shindana nae Qatar ana gesi nyingi tu shida ni njia itapitia wapi njia pekee ya kupeleka gesi kupitia bomba ipo syria only ndio njia easy ndio mahana wakataka kumtoa Assad ili wajenge bomba wapeleke gesi kwao uerope lakinin mwamba putin A.K.A nsyuka akawa ameshalijua ilo jambo muda sana akawa anawalia timing tu walivyojaa kwenye kikaango akaingia mazima mpaka leo hii tunapoongea imebaki historia tu Assad anadunda tu tena na anasafiri kabisa kwenda kuwatembelea majirani zake uyo ndio putin Nsyukaaa.(((political monger senior bandiko lako nimecop sehemu)
 
Hakuna mtu wa kumpigia magoti Putin, ni kichaa na tahira pekee anayeweza kufanya hivyo. Ni lazima kiunzi cha mafuta ya Urusi kirukwe kwa ajili ya usalama wa EU kwa miaka ijayo.
Na hapa ndo nataka dunia ifike mwisho wa matumizj ya mafuta (oil)
 
Mkionaga hayo mapichapicha mnapata maluelue. Biden anazidi kuwaingiza chaka Ukraine kwani kwasasa hakuna taifa lenye ubavu wa kuligana vita na Russia. Hao Ukraine na Nato hakuna rangi watakaohacha kuiona kwwnye hii vita.

Toka vita inaanza kila silaha mnazopeleka zinadhibitiwa sasa sijui hayo mapepo yenu yanatoka wapi
Toka vita inaanza mpaka sasa Urusi hajafanikiwa kuteka mazima hata jimbo moja kwa nchi ndogo ya Ukraine
 
wangekuwa wana solution wangeshafanya ayo toka miaka 20 iliyopita apo tunaongelea natural gesi siyo gesi za kubumba kama zingine west the way wanavyoichukia Russia wangekuwa wanambadala kitambo tu wangesha shift ila ndio ivyo sasa awana mbadala na awatopata mbadala milele aliyepewa amepewa tu uwezi shindana nae Qatar ana gesi nyingi tu shida ni njia itapitia wapi njia pekee ya kupeleka gesi kupitia bomba ipo syria only ndio njia easy ndio mahana wakataka kumtoa Assad ili wajenge bomba wapeleke gesi kwao uerope lakinin mwamba putin A.K.A nsyuka akawa ameshalijua ilo jambo muda sana akawa anawalia timing tu walivyojaa kwenye kikaango akaingia mazima mpaka leo hii tunapoongea imebaki historia tu Assad anadunda tu tena na anasafiri kabisa kwenda kuwatembelea majirani zake uyo ndio putin Nsyukaaa.(((political monger senior bandiko lako nimecop sehemu)
Wewe ni nani kusema hawatopata mbadala? Kabla ya gas yalikuwepo mafuta au hata hilo hujui.

Wale Wana fedha, akili, teknolojia wanajua kufanya tafiti, hawa handiki vitu vya kufikrika kama ww hapa.
 
Mambo yanazidi kuwa magumu na kama nilivyokwisha kusema kwamba Putin kashapoteza Dira ya vita Duniani: Vita ya Ukraine, Putin amepoteza Dira, mpaka sasa haelewi afanyeje kumaliza vita aliyoianzisha.

Kwa sasa Ukraine inazidi kupata nguvu ya hali ya juu tofauti na mwanzo kabisa, kwa sasa Ukraine imeanza Kupokea silaha za kisasa zaidi ambazo anazidi kuzitumia ipasavyo na mpaka sasa Russia ameshindwa kusonga mbele Donbas & Kherson mara baada ya Ukraine kuanza kutumia HIMARS hali iliyomfanya Putin kuhitisha kikao cha dharula Kremlin.

Baada ya HIMARS, Ukraine inaenda kuanza kutumia Mfumo wa Phoenix Ghost Drone kupambana na Russia.

Mbaya Zaidi Putin kaenda kuomba Silaha Iran & Syria, hali inayoonyesha kwa sasa Russia imeanza kupungukiwa na silaha za kivita.

Je, mfumo wa Phoenix Ghost Drone unaopelekwa Ukraine ni nini?

Phoenix Ghost ni aina ya silaha zinazotembea kumaanisha kwamba husalia angani kwa muda mrefu kabla ya kupata shabaha.

Marekani inatuma zaidi ya ndege 500 za Phoenix Ghost kwenda Ukraine kama sehemu ya kifurushi chake cha dola milioni 270 ambazo Idara ya Ulinzi ya Marekani ilitangaza Ijumaa.

Tovuti ya Defense Express ilinukuu taarifa zilizotolewa na mshauri wa ofisi ya Rais wa Ukraine, Oleksii Arestovysch, ambaye alielezea ndege isiyo na rubani ya Phoenix Ghost kama "wijeti nzuri."

Ndege isiyo na rubani hutoshea ndani ya mkoba na inaweza kuning'inia hewani kwa saa sita. Ina mwongozo wa ‘infrared’, kumaanisha kuwa inaweza kufanya kazi usiku na kuharibu shabaha za silaha za wastani.

"Mia tano na themanini ya vitengo kama hivyo ni sawa na malengo 350 yaliyoharibiwa kwa nyuma," alisema.

Kulingana na Defence News, Phoenix Ghost, ambayo ilitengenezwa na Marekani mahususi kwa matumizi nchini Ukraine, inafanya kazi kwa njia sawa na AeroVironment Switchblade.

Kama vile Switchblade, ndege isiyo na rubani ya Phoenix Ghost ni aina ya silaha inayoteleza, kumaanisha kwamba inasalia hewani kwa muda mrefu kabla ya kupata shabaha.

Uwezo wa Phoenix Ghost

Tangazo la Biden la msaada wa kijeshi ni la 16 kutoka kwa orodha ya idara ya Ulinzi DoD kwa Ukraine ambayo Utawala wa Biden umeidhinisha tangu Agosti 2021," Idara ya Ulinzi ilisema katika taarifa yake Ijumaa.

Silaha hiyo ilundwa na Aevex Aerospace huko California, Phoenix Ghost inafaa dhidi ya magari ya kivita ya wastani, Politico ilimtaja mjumbe mstaafu wa bodi ya Aevex Lt. Jenerali David Deptula akisema.

Phoenix Ghost ina uwezo wa kuruka wima, inaweza kufuatilia lengo kwa hadi saa sita na inaweza kufanya kazi usiku kwa kutumia vitambuzi vya infrared, Deptula aliiambia Politico.

Ingawa Switchblade inaweza kuruka kwa chini ya saa moja pekee, Phoenix Ghost inaweza kusalia angani kwa muda mrefu zaidi.

"What is the Phoenix Ghost Drone that is set to be used in Ukraine? - The Jerusalem Post" What is the Phoenix Ghost Drone that is set to be used in Ukraine?

View attachment 2306822View attachment 2306823View attachment 2306827
Mkionaga hayo mapichapicha mnapata maluelue. Biden anazidi kuwaingiza chaka Ukraine kwani kwasasa hakuna taifa lenye ubavu wa kupigana vita na Russia. Hao Ukraine na Nato hakuna rangi watakaohacha kuiona kwwnye hii vita.

Toka vita inaanza kila silaha mnazopeleka zinadhibitiwa sasa sijui hayo mapepo yenu yanatoka wapi
Toka vita inaanza mpaka sasa Urusi hajafanikiwa kuteka mazima hata jimbo moja kwa nchi ndogo ya Ukraine
Naona upo.kiligi zaidi. Lakini kiualisia pamoja na misaada yote hiyo, Ukraine inaumia sana
 
Back
Top Bottom