Baada ya hotuba ya Mbowe Mwanza, ni wakati muafaka Chadema iwafukuze uanachama Lema, Martin Maranja Masese, mdude na Heche

Baada ya hotuba ya Mbowe Mwanza, ni wakati muafaka Chadema iwafukuze uanachama Lema, Martin Maranja Masese, mdude na Heche

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema.

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
Nimesoma Title tu, hayo mashudu mengine sijasoma. Kwa kifupi, HUNA AKILI.
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
Rubbish
 
Suala la kufukuza haliwezi kuwa solution, zipo njia nyingi za kumaliza matatizo ndani ya vyama, vyema zifuatwe hizo..

Lakini nakubaliana nawe unapowazungumzia vichwa ngumu wanaoendekeza siasa za kulalamika kila wakati, watu wasio na shukrani, wenye visasi, waliojaa chuki, na ubinafsi.

Hawa hata maridhiano hawataki kwasababu wamejaa chuki mioyoni mwao, kisa Mbowe hayupo hivyo wanamuona anakiuza chama, wamelelewa kwenye misingi ya kiharakati, hawajui njia tofauti za kufikia malengo ya kisiasa.

Ni ajabu Mbowe kulaumiwa kwa jambo alilowezesha kufanikiwa, watu wameitaka mikutano ya siasa, maridhiano yameileta mikutano, badala yake Mbowe analaumiwa, na bado akijitetea, anaonekana anakosea! wao wanaataka wakimrushia mawe, atulie tu!

Kuna vichwa vya ajabu sana vimetawala siasa za nchi yetu, mihemko ndio sifa kubwa waliyonayo, na mara nyingi mihemko yenyewe huishia hewani tu, lakini hawajifunzi, wanajidai kuzipenda siasa za kiharakati, ajabu wakiambiwa washiriki harakati zenyewe, hawaonekani!, na wala hizo harakati zenyewe wazipendazo hazijawahi kufanikisha lolote, ni fantasy tu!.
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
Nikajua umeweka na facts zinazodhihirisha wanastahili kufukuzwa kumbe ni poyoyo tu za chuki!! Mbona hawakufukuzwa wale walosema nenda na kimba lako nyumban, mara mpaka tuwape mimba wake zenu ndo mjue tunafanya kaz, mara mwingine akiitwa tumbili. Mbon hawakufukuzwa?
 
Nikajua umeweka na facts zinazodhihirisha wanastahili kufukuzwa kumbe ni poyoyo tu za chuki!! Mbona hawakufukuzwa wale walosema nenda na kimba lako nyumban, mara mpaka tuwape mimba wake zenu ndo mjue tunafanya kaz, mara mwingine akiitwa tumbili. Mbon hawakufukuzwa?
Punguza jazba
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
Naunga mkono hoja, hata huyu
Ni ukweli ulio wazi Kwa waliozoea kusikiliza hotuba ya mwenyekiti MBOWE watakubaliana na mimi kuwa Jana alikuwa amelewa.Swali ni je,Kwa nini aliamua kunywa katika mkutano huu muhimu Kwa chama Chao? Ni jambo laweza kuonekana dogo lakini taswira yake ni kubwa mno.
Mkuu Emil Mwangwa, if tujifunze kitu kinachoitwa "speculative statement " na "definite statement"
Speculative statement ni statement ya hisia without proof, na definite statement ni statement ya kitu ambacho you are shure of.

Kusema jana Mbowe alikuwa amelewa, it's a definite statement, kumaanisha ulikuwa nae ukamshuhudia akinywa hadi akalewa!.

Kitendo cha kumsikiliza anaongea kama amelewa, sio lazima awe kweli amelewa!, mtu anaweza kuonekana kama amelewa kumbe hajalewa ni uchovu tuu wa exhaustion hivyo anapata tatizo la fatigue na kuonekana kama kalewa!.

Kama haukuwa na Mbowe na hukumshuhudia akilewa, then you can't say for sure kuwa Mbowe amelewa!. Huku ni kuchafua watu bila ushahidi wowote!. Kumsikia anahutubia as if amelewa is not a proof kuwa alikuwa amelewa!.

Niliwahi kushauri humu https://www.jamiiforums.com/threads...hibitisho-ukituhumu-weka-uthibitisho.1933091/
P
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
Mleta mada ni vzr tukaweka akiba ya maneno hii nchi inachezewa sana na wanasiasa CCM wanatujua watanzania tulivyo na wanajua aina ya wanasiasa walewale wanaowafahamu na kwamba hawabadiliki na wanajua maeneo ya kuwachezesha wanasiasa wetu.Hii ni mapema sana kuweza kujua kilichomo kwenye mioyo yao,hivyo vikao walivyokaa na Rais hakuna ajuae undani wake.Muda ni rafiki mzuri sana tusubiri.
 
Naunga mkono hoja, hata huyu

Mkuu Emil Mwangwa, if tujifunze kitu kinachoitwa "speculative statement " na "definite statement"
Speculative statement ni statement ya hisia without proof, na definite statement ni statement ya kitu ambacho you are shure of.

Kusema jana Mbowe alikuwa amelewa, it's a definite statement, kumaanisha ulikuwa nae ukamshuhudia akinywa hadi akalewa!.

Kitendo cha kumsikiliza anaongea kama amelewa, sio lazima awe kweli amelewa!, mtu anaweza kuonekana kama amelewa kumbe hajalewa ni uchovu tuu wa exhaustion hivyo anapata tatizo la fatigue na kuonekana kama kalewa!.

Kama haukuwa na Mbowe na hukumshuhudia akilewa, then you can't say for sure kuwa Mbowe amelewa!. Huku ni kuchafua watu bila ushahidi wowote!. Kumsikia anahutubia as if amelewa is not a proof kuwa alikuwa amelewa!.

Niliwahi kushauri humu https://www.jamiiforums.com/threads...hibitisho-ukituhumu-weka-uthibitisho.1933091/
P
Kwahiyo The Late Magu alikua na Kitwanga siku ile😂😂😂
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema.

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.

Kuielewa Chadema siyo kirahisi hivyo mjomba. Yataka tahmini hasa:

Tathmini yakinifu uzinduzi wa mikutano ya siasa Mwanza​



Kumbuka wakati kwingine wakati uchawa ni sifa, Chadema uchawa ni machukizo!
 
Back
Top Bottom