Baada ya hotuba ya Mbowe Mwanza, ni wakati muafaka Chadema iwafukuze uanachama Lema, Martin Maranja Masese, mdude na Heche

Baada ya hotuba ya Mbowe Mwanza, ni wakati muafaka Chadema iwafukuze uanachama Lema, Martin Maranja Masese, mdude na Heche

Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema.

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.

Ni kweli kabisa, ukomavu wa kisiasa siku hizi ni kumsifia rais. Hivyo wale wote wasiokubaliana na huo uzwazwa ni wahuni.
 
Ni kweli kabisa, ukomavu wa kisiasa siku hizi ni kumsifia rais. Hivyo wale wote wasiokubaliana na huo uzwazwa ni wahuni.
Chama Cha Mbowe hicho, akiamua kikifuta anakifuta hata kesho
 
Hotuba ya Mbowe aliyotoa mwanza ni ya kupongezwa na imeonyesha ukomavu wa kisiasa, na kimsingi huo ndio muelekeo wa chama na wanachama wote wa Chadema.

Ila bado Kuna vichwa ngumu wanaofanya Siasa za kihuni huni. Nashauri uanze mkakati wa kuwafukuza uanachama. Chadema Ina heshima yake, kukaa na majitu ya hovyo katika chama ni kukipunguzia heshima (credibility) yake.
Chadema kuna uhuru wa kutoa maoni.
 
Mkuu, hao uliowataja wapo sawa kwa mitazamo yao na hiyo mitazamo ndiyo inayojenga chama cha siasa.

Hata pale Lumumba sio kwamba wote wanaongea lugha moja.
 
Back
Top Bottom