Baada ya Injinia Hersi Said kuchukua Fomu Yanga SC taratibu 'ANGUKO' la Yanga SC naanza kuliona kwa mbali

Baada ya Injinia Hersi Said kuchukua Fomu Yanga SC taratibu 'ANGUKO' la Yanga SC naanza kuliona kwa mbali

Mtu akikuambia Conflict of Interest mwambie akupe maelezo kwa kina.


Mo Dewji aliiweka Simba Queens chini ya Dada yake.

Mo Dewji akampa Demu wake u C.E.O


Huko kote hatukusikia conflict of interest. [emoji23][emoji23]

Itakuwa ulikuwa mtoto
 
GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.

Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?

Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Katiba ya yanga inamruhusu kufanya ivyo au aimruhusu? Kama inamruhusu anayo haki yake ya msingi kugombea, auwezi kumzuia mtu kama utaratibu wa kisheria umefuatwa kwa kuweka sababu za kufikirika, Hersi ni mwanachama hai wa yanga na ni kiongozi ndani ya yanga ana haki zote za kugombea cheo chochote ndani ya yanga kwa kufuata katiba inavyosema, habari ya ajira yake huko gsm ni mambo yake binafsi anabaki kuwa mwajiriwa kama wengine,sidhani kama kwenye katiba ya yanga kuna kipengele kinachomzuia hersi kugombea nafasi ya urais wa timu, akipo, kwaiyo hizi propaganda za kipuuzi hazina mashiko wengine wanapuyanga tu kama malofa ukiwauliza katiba ya yanga mmeisoma? Je mnaijua vizuri? Awana majibu ya kukupa, katiba ndio inayoendesha shughuli zote za klabu kikanuni na kisheria, kama akuna mahala ambapo katiba imevunjwa basi wahusika wanakuwa sahihi kwenye mambo wanayoyafanya, weww unasema anguko ilitakiwa ufurahie ilo anguko ili wewe utoboe kupitia anguko la mwenzako na sio hizi huruma za kinafiki, akuna klabu yoyote yenye katiba nzuri kama ya yanga hapa nchini ndo maana mchakato wao kuelekea uwekezaji unakwenda vizuri mpaka sasa
 
SAFARINI LEO USIKU✈️

Mkurugenzi wa uwekezaji Kutoka Gsm na mwenyekiti wa kamati ya Usajili leo usiku majira ya saa 8:15pm ataondoka nchini Tanzania sambamba na wakala wa Azizi ki kwenda nchini Ivory cost kukamilisha taratibu za uhamisho wa Stephanie Aziz ki.

Jana wakala wa Azizi ki alikutana na Eng hersi,Senzo mbatha, Dominic albinus walikamilisha taratibu zote za kimkataba na Azizi ki kwa kukubali kusaini Kandarasi ya miaka miwili.

Asec mimosas ndiyo wanamliki mchezaji Stephanie Aziz ki na ndio waliotoa kibari cha mchezaji kukutana na Yanga kufanya mazungumzo ya mwisho ya kimkataba kilichobaki kwa sasa ni Yanga sc na Asec mimosas kumalizana ada ya usajili kitu ambacho Yanga wamekubali kulipa na kumaliza biashara mapema ili waweze kupata ITC ya mchezaji mapema.

Safe travels

NB:Kweli mtu afanye yote haya halafu aukose urais.
Urais sio zawadi ya usajiri ndugu
 
GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.

Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?

Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Kama nyie anguko lenu baada ya timu kuchukuliwa na Mo akamuonga demu wake Barbara
 
SAFARINI LEO USIKU[emoji3575]

Mkurugenzi wa uwekezaji Kutoka Gsm na mwenyekiti wa kamati ya Usajili leo usiku majira ya saa 8:15pm ataondoka nchini Tanzania sambamba na wakala wa Azizi ki kwenda nchini Ivory cost kukamilisha taratibu za uhamisho wa Stephanie Aziz ki.

Jana wakala wa Azizi ki alikutana na Eng hersi,Senzo mbatha, Dominic albinus walikamilisha taratibu zote za kimkataba na Azizi ki kwa kukubali kusaini Kandarasi ya miaka miwili.

Asec mimosas ndiyo wanamliki mchezaji Stephanie Aziz ki na ndio waliotoa kibari cha mchezaji kukutana na Yanga kufanya mazungumzo ya mwisho ya kimkataba kilichobaki kwa sasa ni Yanga sc na Asec mimosas kumalizana ada ya usajili kitu ambacho Yanga wamekubali kulipa na kumaliza biashara mapema ili waweze kupata ITC ya mchezaji mapema.

Safe travels

NB:Kweli mtu afanye yote haya halafu aukose urais.
Never
 
Na hapo ndipo walipotumia makolo Kupitia makonda kuihujumu Yanga kwa kudhoofisha kila alichokuwa nacho Yusuph Manji, leo hii ni kinyume chake, wao wako wapi na yanga iko wapi? Mungu Fundi kwelikweli.
Dah..walijua kutuvuruga yaani naomba hii miaka nasi tuwavuruge hadi wajiulize hiki nini
 
Naelewa hofu yenu wanasimba juu Uwepo Wa Eng.Hersi Said pale Yanga kwani yeye ndo kasababisha leo hii maumivu mnayopata

Labda tu niwaambie Eng.Hersi ni chambo tu pale Yanga kupitia GSM ila anayecontrol kila kitu from Behind ni Born Town mwenyewe......Mzee Wa Msoga
😁😁😁😁
 
Katiba ya yanga inamruhusu kufanya ivyo au aimruhusu? Kama inamruhusu anayo haki yake ya msingi kugombea, auwezi kumzuia mtu kama utaratibu wa kisheria umefuatwa kwa kuweka sababu za kufikirika, Hersi ni mwanachama hai wa yanga na ni kiongozi ndani ya yanga ana haki zote za kugombea cheo chochote ndani ya yanga kwa kufuata katiba inavyosema, habari ya ajira yake huko gsm ni mambo yake binafsi anabaki kuwa mwajiriwa kama wengine,sidhani kama kwenye katiba ya yanga kuna kipengele kinachomzuia hersi kugombea nafasi ya urais wa timu, akipo, kwaiyo hizi propaganda za kipuuzi hazina mashiko wengine wanapuyanga tu kama malofa ukiwauliza katiba ya yanga mmeisoma? Je mnaijua vizuri? Awana majibu ya kukupa, katiba ndio inayoendesha shughuli zote za klabu kikanuni na kisheria, kama akuna mahala ambapo katiba imevunjwa basi wahusika wanakuwa sahihi kwenye mambo wanayoyafanya, weww unasema anguko ilitakiwa ufurahie ilo anguko ili wewe utoboe kupitia anguko la mwenzako na sio hizi huruma za kinafiki, akuna klabu yoyote yenye katiba nzuri kama ya yanga hapa nchini ndo maana mchakato wao kuelekea uwekezaji unakwenda vizuri mpaka sasa
📌📌📌📌📌📌
 
Katiba ya yanga inamruhusu kufanya ivyo au aimruhusu? Kama inamruhusu anayo haki yake ya msingi kugombea, auwezi kumzuia mtu kama utaratibu wa kisheria umefuatwa kwa kuweka sababu za kufikirika, Hersi ni mwanachama hai wa yanga na ni kiongozi ndani ya yanga ana haki zote za kugombea cheo chochote ndani ya yanga kwa kufuata katiba inavyosema, habari ya ajira yake huko gsm ni mambo yake binafsi anabaki kuwa mwajiriwa kama wengine,sidhani kama kwenye katiba ya yanga kuna kipengele kinachomzuia hersi kugombea nafasi ya urais wa timu, akipo, kwaiyo hizi propaganda za kipuuzi hazina mashiko wengine wanapuyanga tu kama malofa ukiwauliza katiba ya yanga mmeisoma? Je mnaijua vizuri? Awana majibu ya kukupa, katiba ndio inayoendesha shughuli zote za klabu kikanuni na kisheria, kama akuna mahala ambapo katiba imevunjwa basi wahusika wanakuwa sahihi kwenye mambo wanayoyafanya, weww unasema anguko ilitakiwa ufurahie ilo anguko ili wewe utoboe kupitia anguko la mwenzako na sio hizi huruma za kinafiki, akuna klabu yoyote yenye katiba nzuri kama ya yanga hapa nchini ndo maana mchakato wao kuelekea uwekezaji unakwenda vizuri mpaka sasa
Unayo katiba ya yanga
 
Back
Top Bottom