Baada ya Januari 20 kupita, TCRA yasema itakuwa inazima laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kwa awamu

Kumetokea ugomvi kati ya NIDA na TCRA NIDA wanalalamika kuwa kwanini TCRA wanasajili simu kwa vitambulisho vyao (NIDA) ?
Eti kuwa TCRA wanawagombanisha na wananchi kwa kuwasingizia NIDA watafunga laini za simu.NIDA wamesema hawahusiki na mambo ya kuzima wala kuwasha simu.TCRA kama wanaona kutengeneza vitambulisho ni kazi rahisi kwanini wasitengeneze vya kwao kwa ajili ya kusajilia simu?
 
Tunamlaumu tu ila sometimes Trump hakukosea. Alikua na point.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halotel hawajanifungia line yangu. Sijui kwa nini wakati sikujindikisha?
 
Mkuu ya kweli haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…