Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Iko hivi makubaliano hayo yalimanisha kuwa Ukraine asalimishe siraha zote za nyuklia warhead zipatazo 1900 ila tu Urusi isije ikaingilia mipaka ya Ukraine. Mwaka 2014 Urusi alikiuka makubaliano kwa kuivamia rasi ya krimea, Wala USA chuni ya Obama hawakutoa ulinzi kwa Ukraine kama sehemu ya makubaliano yao. Mwaka 2022 Urusi aliivamia Ukraine kijeshi nafikiri hili Kila moja anafamu. Sasa ululitaka Ukraine ifanye kitu Gani?Nope
Kwa ufupi ulaya ni wajinga wajinga yaani if you elect idiots in political positions this is what you get. Yaani hao wanasiasa they are not on front line dying hahaha yaani hakika wajinga sana.Februari 28, 2025 Wakuu wa Umoja wa Ulaya wanamwambia Zelensky kwamba "hauko peke yako" baada ya kukashifiwa na Trump katika Ikulu ya White House
Wakuu wa Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen na Antonio Costa wanamhakikishia kiongozi wa Ukraine Volodymyr Zelensky uungwaji mkono usioyumba wa Ulaya baada ya mzozo wake wa ajabu na kiongozi wa Marekani Donald Trump, wakimwambia: "Kamwe hauko peke yako." "Iweni hodari, kuwa jasiri, msiwe na woga," wameandika tume ya Ulaya na marais wa baraza katika taarifa ya pamoja kwenye mitandao ya kijamii, wakimwambia Zelensky: "Tutaendelea kufanya kazi nanyi kwa ajili ya amani ya haki na ya kudumu."
February 28, 2025
EU chiefs tell Zelensky ‘you are never alone’ after he is berated by Trump at White House
EU chiefs Ursula von der Leyen and Antonio Costa assure Ukrainian leader Volodymyr Zelensky of Europe’s unwavering support after his extraordinary clash with US leader Donald Trump, telling him: “You are never alone.”
“Be strong, be brave, be fearless,” write the European commission and council presidents in a joint statement on social media, telling Zelensky: “We will continue working with you for a just and lasting peace.”
Wewe utakuwa unagongwa nyumaMsamehe tu huyo ni ARV zimepungua kwenye damu 😁
Mkuu watanzania wengi ni wajinga wasiopenda kuelewa maana ya haki. Hawahawa wanamlaumu kagame kuivamia Congo ila walamshabikia UrusiHiya haipo,Trump atalazimika kuisaidia Ukraine ikiwa Ulaya watakuwa upende wa Ukraine.
Mimi ni mvivu kuandika ila kwa kifupi ni kwamba, mwaka wa 1990 kwenda 1991 jimbo la Ukraine lilipotaka kujitegemea lilikubaliwa ila kwa masharti kwamba lazima silaha zote za nyuklia zipelekwe Moscow alafu serikali yoyote itakayokuwa inatawala nchini Ukraine inapaswa kuwa na uhusiano mzuri na Urusi, Ukraine inatakiwa iwe nyutro isishirikiane kijeshi na maadui wa Urusi.Zelensky ndiye aliyefanya hayo since alipoingia madarakani? Naona unazidi kurudi nyuma katika historia mambo ya vita baridi huko, USSR.
Zelensky kaichokoza vipi Urusi? Halafu mbona unakuwa mchoyo mkuu hizo content si ubandike hapa tuelewe?
Kitu gani Zele kafanya ku justify full scale invasion? Yani kosa gani hilo ambalo adhabu yake ni kuvamiwa mzima?
Kweli natamani kujua
Kila siku mnajaziana maandishi na ma link ila Ukraine ndo ishaoza.Bishaneni eeeh ila lazima mjifunze kuwajua wazungu tabia na hila zao pindi wanapohitaji jambo lao.Nimetafuta, sasa wewe ongezea hapa
The question of whether Ukraine "provoked" Russia is deeply contentious and often framed by geopolitical narratives. Russia has justified its aggression—including the 2014 annexation of Crimea, support for separatists in eastern Ukraine, and the 2022 full-scale invasion—by claiming Ukraine "provoked" it. Below, I outline Russia’s stated grievances and the broader context, while emphasizing that these claims are widely rejected by Ukraine, independent experts, and the international community as unjustified pretexts for violating Ukrainian sovereignty.
---
### Russia’s Alleged Grievances (Claims of "Provocation")
1. NATO Expansion:
- Russia claims Ukraine’s pursuit of NATO membership (formalized in Ukraine’s 2019 constitution) threatens its security. Russia frames NATO’s eastward expansion since the 1990s as encroachment on its sphere of influence.
- Rebuttal: Ukraine, as a sovereign state, has the right to choose alliances. NATO membership requires unanimous consent from existing members, and no formal invitation was ever extended to Ukraine. Russia’s demand for a "neutral" Ukraine is seen as an attempt to control its foreign policy.
2. Euromaidan Revolution (2014):
- Russia labeled Ukraine’s pro-EU protests (2013–2014) and the ousting of pro-Russian President Yanukovych as a "Western-backed coup," alleging it undermined Russian interests.
- Rebuttal: The revolution was a grassroots movement against corruption and Yanukovych’s violent crackdown on protesters. Yanukovych fled to Russia after abandoning his duties, and subsequent elections were internationally recognized.
3. Treatment of Russian Speakers:
- Russia claims Ukraine discriminates against Russian-speaking populations (e.g., language laws, alleged suppression of Russian culture).
- Rebuttal: Ukraine has a large Russian-speaking population, and accusations of systemic oppression are exaggerated. Post-2014 laws promoting Ukrainian language (e.g., in education/media) aim to strengthen national identity after years of Russian hybrid warfare.
4. Crimea and Sevastopol:
- Russia claims Crimea’s annexation was a response to the "threat" of NATO basing in Sevastopol (home to Russia’s Black Sea Fleet) and to protect Russian speakers.
- Rebuttal: Crimea’s annexation violated international law. No evidence of NATO plans to seize the region existed, and the "referendum" was conducted under Russian occupation.
5. Donbas Conflict:
- Russia frames its support for separatists in Donetsk and Luhansk as protecting ethnic Russians from a "genocidal" Ukrainian government.
- Rebuttal: The UN and OSCE found no evidence of genocide. The conflict began when Russia-backed militants seized territory after Crimea’s annexation.
---
### Ukraine’s Perspective
Ukraine views itself as a victim of unprovoked Russian aggression. Key points:
- Sovereignty: Ukraine asserts its right to self-determination, including EU/NATO aspirations.
- Hybrid Warfare: Since 2014, Russia has destabilized Ukraine via cyberattacks, disinformation, and military intervention.
- Territorial Integrity: Ukraine rejects Russia’s claims to Crimea and Donbas, citing international law (UN Charter, Budapest Memorandum).
---
### International Consensus
- UN Resolutions: Multiple resolutions (e.g., UNGA Resolution 68/262) condemn Russia’s actions in Crimea and eastern Ukraine.
- Sanctions: The EU, U.S., and others imposed sanctions on Russia for violating Ukrainian sovereignty.
- ICJ Ruling (2017): The International Court of Justice rejected Russia’s claims of discrimination against Russian speakers in Ukraine.
---
### Conclusion
The narrative of Ukrainian "provocation" is a cornerstone of Russian propaganda to justify its imperialist ambitions. Ukraine’s choices—whether pursuing democracy, closer EU ties, or self-defense—are exercises of sovereignty, not acts of aggression. The international community overwhelmingly rejects Russia’s claims, viewing its actions as violations of international law and post-WWII norms. The root of the conflict lies in Russia’s refusal to accept Ukraine’s independence and its desire to dominate the region.
Umeandika vizuri sana from perspective ya Urusi. Asante kwa muda wako mkuu.Mimi ni mvivu kuandika ila kwa kifupi ni kwamba, mwaka wa 1990 kwenda 1991 jimbo la Ukraine lilipotaka kujitegemea lilikubaliwa ila kwa masharti kwamba lazima silaha zote za nyuklia zipelekwe Moscow alafu serikali yoyote itakayokuwa inatawala nchini Ukraine inapaswa kuwa na uhusiano mzuri na Urusi, Ukraine inatakiwa iwe nyutro isishirikiane kijeshi na maadui wa Urusi.
Pia kwa kuwa Urusi na Marekani ndio walikuwa masupa pawa kwa wakati huo waliwekeana mikataba kwamba NATO isijipanue kuelekea Mashariki/yani NATO isiongeze wanachama kuikaribia Urusi
Sasa kilichopelekea haya tuyaonayo leo kilianzia pale Marekani na washirika wake walipowapiga propaganda wananchi wa Ukraine mpaka wakaanzisha maandamano ya kupinga viongozi wenye uhusiano mzuri na Urusi, wakazidi hadi rais wao akaachia madaraka na kukimbilia Urusi kitu kilichoacha mwanya maadui wa Urusi wakaanza kuvinjari Ukraine huku wakianza kuweka mikakati ya kutaka Ukraine ijiunge nato kitu ambacho ilikuwa ni kama kucheza na moto.
Mwezi wa pili mwaka 2014 rais wa Ukraine alipopinduliwa waliingia manyang'au walioandaliwa na Marekani, mwezi mmoja mbele Marekani akawa anawamwagia hela tu ili wazidi kuwa mbali na Urusi. Serikali mjini Moscow haikuvumilia sana ikatuma jeshi wakachukua rasi ya Crimea sababu wananchi wengi wa mkoa huo hawakuwa tayari kukubali serikali mpya iliyofungamana na magharibi.
Mambo yalianza kwenda hovyohovyo nchi ikaanza kugeuzwa kama chumba cha mataifa ya magharibi wakiwa wanapanga mipango ya kuja kuisambaratisha Urusi, ila Urusi ilionya tu ikaanza kuwekeza sana kwenye jeshi sababu walishajua kitakachofuata baadae.
Mambo yakawa mabaya zaidi zelensky alipochaguliwa mwaka 2019 alianza kuwatenga na kuwatesa watu wanaoongea kirusi hasa majimbo ya donbass ambayo ndio hayo yalifanya Urusi kuanzisha oparesheni mwaka 2022.
Huyu zelensky akawa anaongea ujeuri sana juu ya Urusi huku akisema anajiunga NATO kitu ambacho Marekani na Urusi walishasainishana kwamba ni mwiko!
Kujidai kote kumbe nchi yake imejazwa silaha za kila aina na hawahawa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na wengine wengi alafu waowao wakawa ni wapambe wake hadi wakawa wanampa taarifa za kiintelijensia jinsi Urusi inavyoandaa jeshi... Wakampa kiburi kwamba wapo nyuma yake na watamfanya kuwa mwanachama wa NATO.
Kilichotokea ndio kama tunavyoona leo ndio maana nasema zelensky ni mtu wa hovyo sana sababu sio rahisi Marekani aingie vita vya moja kwa moja na Urusi kisa jimbo lililokuwa sehemu ya Urusi.
Huwezi kuwa karibu na mtu mwenye nguvu alafu uwe unaficha vibaka nyumbani kwako akuache... Lazima ubutuliwe tu
The moment Ulaya ikiamua kusimama yenyewe kiulinzi, jambo ambalo wanaliweza vizuri, Marekani itabakia kuwa nchi ya kawaida sana. Ulaya waboreshe military spending hasa kuwa na nuclear za kutosha, mchezo watakuwa wameumaliza.Trump anaweza kuungana na URUSI kwa mlango wa nyuma kuwakomoa ulaya
ni mawazo yangu lakini
Hakuna wa kuaminiana hapa duniani kuuzwa ni chapu kidogoHiya haipo,Trump atalazimika kuisaidia Ukraine ikiwa Ulaya watakuwa upende wa Ukraine.
Huo muda wa kuboresha majeshi yao haupo wanaweza kushughulikiwa nje ndani kwa kuchonganishwa na bingwa wa fitina usaThe moment Ulaya ikiamua kusimama yenyewe kiulinzi, jambo ambalo wanaliweza vizuri, Marekani itabakia kuwa nchi ya kawaida sana. Ulaya waboreshe military spending hasa kuwa na nuclear za kutosha, mchezo watakuwa wameumaliza.
Zelensky yuko sahihi.Anatetea independence and territorial integrity ya nchi yake.Wa Ukreine na ULAYA wako pamoja naye.Zelensky ndiye aliyefanya hayo since alipoingia madarakani? Naona unazidi kurudi nyuma katika historia mambo ya vita baridi huko, USSR.
Zelensky kaichokoza vipi Urusi? Halafu mbona unakuwa mchoyo mkuu hizo content si ubandike hapa tuelewe?
Kitu gani Zele kafanya ku justify full scale invasion? Yani kosa gani hilo ambalo adhabu yake ni kuvamiwa mzima?
Kweli natamani kujua
Wewe ndio unaona ameshindwa...Zelensky ameishashindwa vita na Nchi imeshamegwa hao EU ni maboya waliomlaghai Zelensky na magobole ya misaada aibu inawakumba🤣🤣 lazima wajitoe kimasomaso sasa hivi Hangary anawacheka tu hao EU kwa kuangukia pua
Vita alianzisha nani?Russia haina capabilities wala nia ya kupigana na kuitawala Europe, hii ni propaganda kina Zelensky wanatumia kuendelea kujistify hiyo vita
Ulaya na Marekani wamegawanyika kuhusu Ukraine?Februari 28, 2025 Wakuu wa Umoja wa Ulaya wanamwambia Zelensky kwamba "hauko peke yako" baada ya kukashifiwa na Trump katika Ikulu ya White House
Wakuu wa Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen na Antonio Costa wanamhakikishia kiongozi wa Ukraine Volodymyr Zelensky uungwaji mkono usioyumba wa Ulaya baada ya mzozo wake wa ajabu na kiongozi wa Marekani Donald Trump, wakimwambia: "Kamwe hauko peke yako." "Iweni hodari, kuwa jasiri, msiwe na woga," wameandika tume ya Ulaya na marais wa baraza katika taarifa ya pamoja kwenye mitandao ya kijamii, wakimwambia Zelensky: "Tutaendelea kufanya kazi nanyi kwa ajili ya amani ya haki na ya kudumu."
you’ll never walk alone.”
February 28, 2025
EU chiefs tell Zelensky ‘you are never alone’ after he is berated by Trump at White House
EU chiefs Ursula von der Leyen and Antonio Costa assure Ukrainian leader Volodymyr Zelensky of Europe’s unwavering support after his extraordinary clash with US leader Donald Trump, telling him: “You are never alone.”
“Be strong, be brave, be fearless,” write the European commission and council presidents in a joint statement on social media, telling Zelensky: “We will continue working with you for a just and lasting peace.”
kasome mkataba walioingia 1992 nadhani. Ukraine should never join NATOHivi Ukraine aliichokoza vipi Urusi?
Wewe Bwege kweli Trump akipeleka mabomu Israel unashangllia.Februari 28, 2025 Wakuu wa Umoja wa Ulaya wanamwambia Zelensky kwamba "hauko peke yako" baada ya kukashifiwa na Trump katika Ikulu ya White House
Wakuu wa Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen na Antonio Costa wanamhakikishia kiongozi wa Ukraine Volodymyr Zelensky uungwaji mkono usioyumba wa Ulaya baada ya mzozo wake wa ajabu na kiongozi wa Marekani Donald Trump, wakimwambia: "Kamwe hauko peke yako." "Iweni hodari, kuwa jasiri, msiwe na woga," wameandika tume ya Ulaya na marais wa baraza katika taarifa ya pamoja kwenye mitandao ya kijamii, wakimwambia Zelensky: "Tutaendelea kufanya kazi nanyi kwa ajili ya amani ya haki na ya kudumu."
you’ll never walk alone.”
February 28, 2025
EU chiefs tell Zelensky ‘you are never alone’ after he is berated by Trump at White House
EU chiefs Ursula von der Leyen and Antonio Costa assure Ukrainian leader Volodymyr Zelensky of Europe’s unwavering support after his extraordinary clash with US leader Donald Trump, telling him: “You are never alone.”
“Be strong, be brave, be fearless,” write the European commission and council presidents in a joint statement on social media, telling Zelensky: “We will continue working with you for a just and lasting peace.”
Mbona hamueleweki, mara russia anapigana na nchi 32, mara anapigana peke yake🤣🤣🤣🤣,Hawana lolote wanampotosha
hao.
viinchi vingi vidogo vidogo vya ulaya masikini tuu
Wakati Russia anamchapa Zelensky hakuna hata mmoja aliyesema nywee na Putin aliwaonya aliwaambia yeyote atakayeingilia nayeye atachapwa pia!
Sasa kaka mkuu alikuwa anampa hela na vifaa, Trump kamwambia bila mabomu yetu na pesa yetu Ukraine ingekuwa under Russia in 2 weeks time
Comedian Zelensky alitakiwa awe mpole tuu, vinchi vya ulaya ni kama wale majirani umefiwa wanakupa moyo ila hawaleti hata unga wa kupika ugali
Na Trump kamwambia hizo pesa zote zilikuwa mkopo
Unadhani vikitokea vita halisi watakua pamoja? Siku ikitokea vita vya moja kwa moja haya mataifa yatagawanyika vibaya mno!The moment Ulaya ikiamua kusimama yenyewe kiulinzi, jambo ambalo wanaliweza vizuri, Marekani itabakia kuwa nchi ya kawaida sana. Ulaya waboreshe military spending hasa kuwa na nuclear za kutosha, mchezo watakuwa wameumaliza.
Trump keshaungana na Putin kwa mlango wa mbele dhidi ya EU na Ukraine siku nyingi tu kabla hata hajawa Rais. He’s a great Russian asset.Trump anaweza kuungana na URUSI kwa mlango wa nyuma kuwakomoa ulaya
ni mawazo yangu lakini