Uchaguzi 2020 Baada ya kauli ya Mwigulu Nchemba kuhusu kuficha takwimu za maambukizi ya COVID-19, Kitila Mkumbo asema kauli hiyo ni ya mtu mjinga

Uchaguzi 2020 Baada ya kauli ya Mwigulu Nchemba kuhusu kuficha takwimu za maambukizi ya COVID-19, Kitila Mkumbo asema kauli hiyo ni ya mtu mjinga

Kauli ya Mwigulu kwa kweli ni ya Kijinga

Nakwambia CCM ina majitu mapumbafu HAKUNA mfanowe!!!
Kiukweli CCM Ni chama ambacho kumejengwa kwene msingi wa Propaganda na Uongo mwingi Sana...!!
Hiki Ni kitu Kiko ndani ya Mafisi wengi wa CCM...na ndo maana ukiangalia hata taarifa za Serikali ya CCM kuhusu Corona Virus zimejaa uongo mwingi kuliko Uhalisia wa Hali ilivyo on the ground!!! Shame on you CCM Rulers!
 
nadhani mwigulu hajaeleweka ila ana hoja nzuri,nilichomuelewa ni kwamba anahisi walioambukizwa ni wengi hivo anaona ni bora tutangaze vifo na waliopona kutokana na kwamba hatupimi watu wote
naweza nisiwe sahihi lakini kwa nilichoelewq
Huo ndio ujinga wenyewe anaosemwa kuwa nao Mwigulu.
Maana karibu kila mtu mwenye akili timamu anajua Visa vya Corona ni vingi kuliko vilivyotangazwa, sasa mtu anayekuja hadharani na kusema tuvifiche visa vya Corona (wakati hata sasa vimefichwa) ana maana gani?
 
Mpaka sasa bado siamini kama kweli Mwigulu katamka hayo maneno. Nasubiri akanushe au asema alinukuliwa vibaya!
 
Akina Mwigulu ni Political Opportunists ambao kigezo kikuu kilichowafikisha hapo walipo ni tabia yao ya kuwanyanyasa wapinzani ktk nchi ambayo wapinzani wanaonekana kama "Anathema".

Katika nchi ambayo Political Godfather ndio anaweza akakupaisha au akazima kabisa nyota yako ni rahisi sana kwa watu sampuli ya Mwigulu kuwa wengi tu na weird reasoning zao hizo.

The likes of Mwigulu are the product of the bad political system we have and much as it continues to exist we must look forward to having an endless breed of them. God forbids.
 
Mwigulu kweli ni mjinga,kuficha taarifa ya maabukizi ni sawa na mauaji.
Mtu kwenye eneo lako ukijua kuna mgonjwa tahadhari huongezeka.
Mkumbo yupo Sahihi
 
Kuandika kitu katikati ya mistari isiyoweza kuonekana na majority ndicho kilichomponza Mwigulu..Kimsingi hata huyu Kitila kamuelewa sana Mwigulu lakini anatumia udhaifu wa majority kukosa uwezo wa kusoma katikati ya mistari kupata political mileage...

Ukisoma jumbe za January Makamba na ya Mwigulu,zote zinatoa ujumbe unaofanana..basi tu watu hawapendi kufikiria wanachokisoma..wao wanasoma wanachokifikiria!Hii inafanya hata jumbe za pasco mayalla nyingi anazoziandika kuonekana ni nyepesi na za kujikomba...kwa mujibu wa "vichwa" vya kwenye mitandao vya Siku hizi.Vichwa maji vimetapakaa sana nyakati hizi..!
 
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa transparency kwenye utoaji wa takwimu za maambukizi ya virusi vya korona Tanzania.

Tukumbuke watu hawa wawili (mmoja akiwa ni kipenzi cha baba huku mwingine ni "outcast") wanatajwa kuwania jimbo moja la ubunge huko mkoani Singida.

Movie imefika patamu, baki hapo hapo usiondoke kwenye screen.


Tuache hizi siasa za majitaka. Tafadhali sana
Karibu tena Jf, member mwenzetu Prof. Kitila Mkumbo, we missed you a lot!

P
 
Back
Top Bottom