changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Tarehe 17, uwanja wa SokoineUnajua Simba SC alicheza na Mbeya City lini!? Na uwanja gani!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 17, uwanja wa SokoineUnajua Simba SC alicheza na Mbeya City lini!? Na uwanja gani!?
Hauwezi fungiwa kwa propaganda maandazi za mikia timu zote zitacheza hapo, ufungiwe kwa ajili ya mvua? Umeona pitch ile nzuri kuliko ya BunjuHii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Baada ya kazi maalum utasikia nakuambia.Hauwezi fungiwa kwa propaganda maandazi za mikia timu zote zitacheza hapo, ufungiwe kwa ajili ya mvua? Umeona pitch ile nzuri kuliko ya Bunju
Hakuna kitu kama hichoBaada ya kazi maalum utasikia nakuambia.
Nakwambia tena. Nitumie no yako ya simu nikupe za ndani kabisa.Hakuna kitu kama hicho
Kafanyeni usajili acheni kubwata Kama vile mmekatika vichwa, mmezidiwa kila kitu na yanga alafu unaleta upuuzi wako hapa, mpira ni takwimu ili ujue timu yako ikoje, yanga kawazidi magoli ya kufunga, kawazidi kwenye pasi zinazopigwa, kawazidi idadi ya wachezaji waliofunga magoli, yanga ndo timu iliyofungwa goli chache kuliko timu yoyote, yanga ndo timu yenye defence bora mpaka sasa na yenye safu nzuri ya kiungo na ushambuliaji kuliko timu yoyote ile ligi kuu, Sasa unaanzaje kufungua mdomo wako kwamba mnahujumiwa? Safu yenu ya ushambuliaji imefunga goli ngapi mpaka sasa, boko, kagere, mugalu, kibu denis,Morrison wamefunga goli ngapi mpaka sasa, muwe mnaacha utaahira!Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Subiri mwanangu ligi bado. Mbinu zenu tunazo. Ndoo tunabeba.Kafanyeni usajili acheni kubwata Kama vile mmekatika vichwa, mmezidiwa kila kitu na yanga alafu unaleta upuuzi wako hapa, mpira ni takwimu ili ujue timu yako ikoje, yanga kawazidi magoli ya kufunga, kawazidi kwenye pasi zinazopigwa, kawazidi idadi ya wachezaji waliofunga magoli, yanga ndo timu iliyofungwa goli chache kuliko timu yoyote, yanga ndo timu yenye defence bora mpaka sasa na yenye safu nzuri ya kiungo na ushambuliaji kuliko timu yoyote ile ligi kuu, Sasa unaanzaje kufungua mdomo wako kwamba mnahujumiwa? Safu yenu ya ushambuliaji imefunga goli ngapi mpaka sasa, boko, kagere, mugalu, kibu denis,Morrison wamefunga goli ngapi mpaka sasa, muwe mnaacha utaahira!
Sawa ligi bado ndo mtulie sasa sio mnaanza kujificha kwenye kichaka cha kuhujumiwa wakati ndo uwezo wa timu yenu, kila timu itavuna ilichopanda kwenye usajili usitegemee uende sambamba na aliyefanya home work yake vizuri kwenye usajili, ukipanda bangi usitegemee kuvuna mahindi brother!Subiri mwanangu ligi bado. Mbinu zenu tunazo. Ndoo tunabeba.
Nikupitie za ndani kabisa!?Kwani yanga ndo wamecheza na nyie manungu?
[emoji23][emoji23]Kwani yanga ndo wamecheza na nyie manungu?
Hiki ndio kinacho waponza mashindwa kujenga timu mnatafta sababu za uongo na kweli, huo uwanja wa mbeya Azam , Yanga , KMC wamecheza hapo wamepata matokeo nyie kila siku ni kujidekeza, game ya kagera mkasingizia mafua , Mbeya City kiwanja leo tena kiwanja mechi ya Yanga mabango ya GSM yaani ilimradi tu mpate sababu ,ina maana msimu huu ndio viwanja vimekua vibovu zamani mlikua mnacheza mechi zote taifa?Unajua kuhesabu. Hebu hesabu hapa.
View attachment 2091936
Mbona unahamisha hamisha magoli mzee.Hiki ndio kinacho waponza mashindwa kujenga timu mnatafta sababu za uongo na kweli, huo uwanja wa mbeya Azam , Yanga , KMC wamecheza hapo wamepata matokeo nyie kila siku ni kujidekeza tu mbona ina maana msimu huu ndio viwanja vimekua vibovu zamani mlikua mnacheza mechi zote taifa?
Kwan simba imecheza peke yake katika huo uwanja leo?Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Kumbe yanga walishawahi kufululiza kuchukua ubingwa mara 5 aiseeUnajua kuhesabu. Hebu hesabu hapa.
View attachment 2091936
Basi ufungiwe na ule mliopigwa kule MbeyaHii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Simba pia wamewahi. Au hujui.Kumbe yanga walishawahi kufululiza kuchukua ubingwa mara 5 aisee
Simba au makolo fcSimba pia wamewahi. Au hujui.
1976, 1977, 1978, 1979,1980.