Baada ya kazi maalum kuisha uwanja wa Manungu utafungiwa

Baada ya kazi maalum kuisha uwanja wa Manungu utafungiwa

Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.

Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.

Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Hauwezi fungiwa kwa propaganda maandazi za mikia timu zote zitacheza hapo, ufungiwe kwa ajili ya mvua? Umeona pitch ile nzuri kuliko ya Bunju
 
Hauwezi fungiwa kwa propaganda maandazi za mikia timu zote zitacheza hapo, ufungiwe kwa ajili ya mvua? Umeona pitch ile nzuri kuliko ya Bunju
Baada ya kazi maalum utasikia nakuambia.
 
Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.

Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.

Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Kafanyeni usajili acheni kubwata Kama vile mmekatika vichwa, mmezidiwa kila kitu na yanga alafu unaleta upuuzi wako hapa, mpira ni takwimu ili ujue timu yako ikoje, yanga kawazidi magoli ya kufunga, kawazidi kwenye pasi zinazopigwa, kawazidi idadi ya wachezaji waliofunga magoli, yanga ndo timu iliyofungwa goli chache kuliko timu yoyote, yanga ndo timu yenye defence bora mpaka sasa na yenye safu nzuri ya kiungo na ushambuliaji kuliko timu yoyote ile ligi kuu, Sasa unaanzaje kufungua mdomo wako kwamba mnahujumiwa? Safu yenu ya ushambuliaji imefunga goli ngapi mpaka sasa, boko, kagere, mugalu, kibu denis,Morrison wamefunga goli ngapi mpaka sasa, muwe mnaacha utaahira!
 
Kafanyeni usajili acheni kubwata Kama vile mmekatika vichwa, mmezidiwa kila kitu na yanga alafu unaleta upuuzi wako hapa, mpira ni takwimu ili ujue timu yako ikoje, yanga kawazidi magoli ya kufunga, kawazidi kwenye pasi zinazopigwa, kawazidi idadi ya wachezaji waliofunga magoli, yanga ndo timu iliyofungwa goli chache kuliko timu yoyote, yanga ndo timu yenye defence bora mpaka sasa na yenye safu nzuri ya kiungo na ushambuliaji kuliko timu yoyote ile ligi kuu, Sasa unaanzaje kufungua mdomo wako kwamba mnahujumiwa? Safu yenu ya ushambuliaji imefunga goli ngapi mpaka sasa, boko, kagere, mugalu, kibu denis,Morrison wamefunga goli ngapi mpaka sasa, muwe mnaacha utaahira!
Subiri mwanangu ligi bado. Mbinu zenu tunazo. Ndoo tunabeba.
 
Subiri mwanangu ligi bado. Mbinu zenu tunazo. Ndoo tunabeba.
Sawa ligi bado ndo mtulie sasa sio mnaanza kujificha kwenye kichaka cha kuhujumiwa wakati ndo uwezo wa timu yenu, kila timu itavuna ilichopanda kwenye usajili usitegemee uende sambamba na aliyefanya home work yake vizuri kwenye usajili, ukipanda bangi usitegemee kuvuna mahindi brother!
 
Unajua kuhesabu. Hebu hesabu hapa.
View attachment 2091936
Hiki ndio kinacho waponza mashindwa kujenga timu mnatafta sababu za uongo na kweli, huo uwanja wa mbeya Azam , Yanga , KMC wamecheza hapo wamepata matokeo nyie kila siku ni kujidekeza, game ya kagera mkasingizia mafua , Mbeya City kiwanja leo tena kiwanja mechi ya Yanga mabango ya GSM yaani ilimradi tu mpate sababu ,ina maana msimu huu ndio viwanja vimekua vibovu zamani mlikua mnacheza mechi zote taifa?
 
Hiki ndio kinacho waponza mashindwa kujenga timu mnatafta sababu za uongo na kweli, huo uwanja wa mbeya Azam , Yanga , KMC wamecheza hapo wamepata matokeo nyie kila siku ni kujidekeza tu mbona ina maana msimu huu ndio viwanja vimekua vibovu zamani mlikua mnacheza mechi zote taifa?
Mbona unahamisha hamisha magoli mzee.

Umesema yanga anamakombe 27 nimekupa hapa uhesabu
Screenshot_20220115-185247.png
 
Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.

Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.

Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Kwan simba imecheza peke yake katika huo uwanja leo?
 
Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.

Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.

Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Basi ufungiwe na ule mliopigwa kule Mbeya
 
Back
Top Bottom