Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #61
Oh!! Basi sawa. Umeeleweka mwanangu.La 4 Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh!! Basi sawa. Umeeleweka mwanangu.La 4 Mkuu.
Wewe inakufariji au unakukera!?Hii picha unakufariji sana mpka msimu huu uishe utakua usha i post mara mia mbili
kwani hujuma inachagua wa kumhujumu.Makolo leo hii ndo wakusema wanahujumiwa. 😂😅
Sema ndugu zenu wenyewe ndo wanawamaliza, mbinu zenu zote zishajulikana. Hauna pa kutokea.
Ni nini unachopinga na ni nn unakubali. UTOPOLO bhana. Ule ni uwanja au jaluba la mpunga.Mchezo wa Mbeya city vs Simba ni hujuma zipi unazosemea? Ni kadi nyekundu, penati na kuchezwa mpira dakika 98 au ni zipi? Kama ni hali ya uwanja mbona Azam kachezea uwanja huo huo na kashinda dhidi ya Mbeya kwanza? Na uwanja aliochezea leo Azam dhidi ya Prisons ni mbaya kuliko hata wa Manungu lakini Azam kashinda goli nne.
Ukilinganisha uwanja wa Jamuhuri Morogoro na wa Manungu, wa Manungu ni mzuri kwenye pitch kuliko wa jamuhuri tatizo ni hali ya mvua ndio uliopelekea pitch kuwa vile. Uwanja wa jamuhuri una vipara kibao na mabonde kibao.
Embu msaidie wewe mleta mada, tutajie ni hujuma zipi Simba ilifanyiwa kwenye mchezo wa Mbeya city huko Sokoine?Ni nini unachopinga na ni nn unakubali. UTOPOLO bhana. Ule ni uwanja au jaluba la mpunga.
Unaumwa wewe si bure.Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Hawana timu hao wahuni wasikusumbue.Kafanyeni usajili acheni kubwata Kama vile mmekatika vichwa, mmezidiwa kila kitu na yanga alafu unaleta upuuzi wako hapa, mpira ni takwimu ili ujue timu yako ikoje, yanga kawazidi magoli ya kufunga, kawazwaidi kwenye pasi zinazopigwa, kawazidi idadi ya wachezaji waliofunga magoli, yanga ndo timu iliyofungwa goli chache kuliko timu yoyote, yanga ndo timu yenye defence bora mpaka sasa na yenye safu nzuri ya kiungo na ushambuliaji kuliko timu yoyote ile ligi kuu, Sasa unaanzaje kufungua mdomo wako kwamba mnahujumiwa? Safu yenu ya ushambuliaji imefunga goli ngapi mpaka sasa, boko, kagere, mugalu, kibu denis,Morrison wamefunga goli ngapi mpaka sasa, muwe mnaacha utaahira!
Wanatapatapa hao.Embu msaidie wewe mleta mada, tutajie ni hujuma zipi Simba ilifanyiwa kwenye mchezo wa Mbeya city huko Sokoine?
TaahiraHii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Picha uliyoweka umeisoma vizuri? Maandishi yaliyopo kwenye picha yanapingana na wewe, maana inaonyesha kichwa cha Habari: WASHINDI MARA 27.Unajua kuhesabu. Hebu hesabu hapa.
View attachment 2091936
Yanga kachukua mara 27 acha stori za kwenye vijiwe vya ghahawa
Records zipo tangu Manara mikia FCWewe ni mmoja wa mliodanganywa na manara?
Mkishindwa Jiesiemu Kapanga Matokeo, Mkishinda Mnajitapa Kikosi Kipana. Hii Nongwa Sio ya Kawaida [emoji38][emoji38]Hii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Kuimba kupokezana mkuuMakolo leo hii ndo wakusema wanahujumiwa. 😂😅
Sema ndugu zenu wenyewe ndo wanawamaliza, mbinu zenu zote zishajulikana. Hauna pa kutokea.
Yanga hajawahi kuchukua ubingwa miaka yote Simba ndio bingwa , richa ya kuhujumiwa mwaka huu ni bado atakua bingwa kua na Aman sasa.Wewe inakufariji au unakukera!?View attachment 2092443