UbiUnajua kuhesabu. Hebu hesabu hapa.
View attachment 2091936
Hoja yako ni viwanja vibovu au ni idadi ya ubingwa? kua specificMbona unahamisha hamisha magoli mzee.
Umesema yanga anamakombe 27 nimekupa hapa uhesabu
View attachment 2092127
Naongelea Simba SC. mbona hujiamini mwanangu!? Au mwiko nyuma unasumbua!?Simba au makolo fc
Sasa wewe na Yanga nani mwenye akili!?Mwaka 98 na 92 nilikuwepo uwanjan mechi za mwisho yanga za kuchukua ubingwa mbona sioni hapa..kuna missing years hapa
Ubi
Wewe ulikuja na hoja hiyo. Je, umeitupa tena baada ya kujiona kuwa unafanya ujinga!?Hoja yako ni viwanja vibovu au ni idadi ya ubingwa? kua specific
Ukiona mtu ananza matusi katika utani ujue ana maumivu makali sana uwenda ya Manungu au SokoineNaongelea Simba SC. mbona hujiamini mwanangu!? Au mwiko nyuma unasumbua!?
Huu ndio ubingwa wako mwaka huu pambana
Timu yako mbovu, mnakosa penalty mnalaumu GSMWewe ulikuja na hoja hiyo. Je, umeitupa tena baada ya kujiona kuwa unafanya ujinga!?
TANZANIA PREMIER LEAGUE WASHINDI MARA 27, unajifanya hujui kusoma [emoji2][emoji2]
Kolo linajitoa fahamu
C tuliambiwa yule kocha wenu mspain aliwafundisha simba kucheza mpira mpaka kwenye maji , ndio maana mlishinda mechi ya shirikisho taifa uwanja ukiwa umejaa maji, kulikoni tena Leo puvu mkuuSimba hawakifanya mazozezi kwenye uwanja. Unajua sababu!?
Mara 22 mzee ndio maana mnahaha kwa sasa. Hesabu hapauyu jama hamnazo yanga ni mshindi mara27
Ikionekana una kasoro utafungiwa na kufanyiwa marekebisho km ilivyokua kwa Sokoine Mbeya, Jamhuri Morogoro, Mabatini Mlandizi, Ushirika Moshi na vingine vingiHii kazi maalum ya kuihujumu simba inafanywa waziwazi kabisa.
Mchezo wa mbeya city dhidi ya simba ulijaa hujuma nyingi. Yanga watafanya kila aina ya michezo michafu ili simba isichukue ubingwa wake wa 23. Yanga sasa yupo na 22 sawa na simba.
Za ndani kabisa, uwanja wa Manungu utafungiwa. Hujuma hizo tunaziona wazi wazi.
Hebu tuma picha tuone mwanangu. Mzee wa mwiko nyuma.Ikionekana una kasoro utafungiwa na kufanyiwa marekebisho km ilivyokua kwa Sokoine Mbeya, Jamhuri Morogoro, Mabatini Mlandizi, Ushirika Moshi na vingine vingi
So acha kupanic ovyo juzi Ruvu Shooting kacheza pale Sokoine na Mbeya City uwanja ulikua na maji hadi mpira haudundi ila hawajalia lia hujuma km wewe hapo
Mechi za mzunguko wa kwanza bado hazijaisha kifupi ligi bado ushaanza kelele hujiamini km vile unajisaidia kichakani
La 4 Mkuu.Mbande FC ipo ligi daraja la ngapi!?
Haujafungiwa Nelson Mandela Sumbawanga ndo ufungiwe Manungu wenye pitch nzuri isipokuwa hali ya hewa? Hebu muwe natafuta sababu za kueleweka basi? Umewaona walipochezea Azam Jana?Baada ya kazi maalum utasikia nakuambia.
Hii picha unakufariji sana mpka msimu huu uishe utakua usha i post mara mia mbiliMara 22 mzee ndio maana mnahaha kwa sasa. Hesabu hapa
View attachment 2092246