Baada ya kazi maalum kuisha uwanja wa Manungu utafungiwa

Ni nini unachopinga na ni nn unakubali. UTOPOLO bhana. Ule ni uwanja au jaluba la mpunga.
 
Unaumwa wewe si bure.
 
Hawana timu hao wahuni wasikusumbue.
 
Taahira
 
Mkishindwa Jiesiemu Kapanga Matokeo, Mkishinda Mnajitapa Kikosi Kipana. Hii Nongwa Sio ya Kawaida [emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
simba ni team inayoongozwa na watu ambao hawajiamini kabisa hali inayopelekea
1)kulalamika sana
2)kutengeneza vipolo kwa namna yoyote iwayo ili wavitumie kupanga matokeo

conclusion: simba ni team mbovu kuliko maelezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…