NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Viva Kenya,kila taifa liangalie maslahi yake.atakae zubaa ataisoma namba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usihalalishe tukio la kuchoma moto wanyama huo ni ushetani. Bora angetaifisha kuliko kuchomaLakini mkuu watu tuliandamana mtandaoni sema tu masikio ya kufa ya awamu ya sita.Katika hii block nchi za kuwa suspicious nazo Kenya na Rwanda ,hiyo haikwepeki. Nyerere hakuwa mnoko na hata alochoma vifaranga naamini hakuwa mjinga. So I just need pop cones and watch the match na hawa watu
AiseeTaifa Gas, a Tanzanian liquefied petroleum gas (LPG) supply company led by prominent businessman Rostam Aziz, has been granted permission to establish an LPG plant in Kenya’s Export Processing Zone (EPZ), allowing the energy firm to expand its operations in East Africa.
Source:The Citizen
Magufuli nilimchukia maeneo mengi, ila kwenye kipengele cha jino kwa jino dhidi ya hawa manyang'au! Hakika nilimuunga mkono.Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.
Moja ya vitu vilivyotumika kuonesha mafanikio ya ziara hiyo ni Ujenzi wa bomba la gesi kutoka TZ kwenda KE;
waimba mapambio walisikika kila kona ya nchi wakiwaaminisha watanzania kuwa safari ilikuwa na mafanikio kwani nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi.
Baada ya ziara hiyo waimba mapambio walisikika wakisema kuwa ziara ilikuwa na mafanikio makubwa sana kwani nchi hizo mbili zimekubaliana kujenga bomba la mafuta lenye thamani ya dola bilioni 1.
kwa watu wasioelewa waliona tumeula kumbe kijana wa mjini kutoka +254 kamuingiza mkenge dada ake wa kambo😂😂😂.
Watu wenye upeo mkubwa wa uchambuzi wa mambo tulijua hapa tunepigwa lakini kutoka na nguvu kubwa ya waimba mapambio hakuna ambae angesena akaeleweka ila sasa kwa kuwa mda ni mwalimu nadhani wataelewa sasa baada ya Kenya kuzuia KPG ya Tanzania kuingia Kenya.
Baaghi ya sababu ya kuzuia gesi hiyo ya Tanzania kuingia huko ni kutaka kuteka soko la gesi la Africa Mashariki linaloshikiriwa na Tanzania.
Ili kutekeleza azma yao hiyo wameamya kuanza kujenga storage facility yao itakayoweza kutunza tani 25000 za LPG
mkandarasi kutoka Pakistan tayari kaisha pewa tenda ya ujenzi na makampuni 5 yatakayoendesha biashara hiyo tayari yamepatikana wanasubiri leseni tu.
Mama yetu kipenzi kuna jambo la kujifunza hapa
mliambiwa hawa sio watu wa kuchekea mkabisha huku mkimponda alie choma vifaranga. haya sasa bomba hakuna tena. mmebaki na MoU kabatini huku wakenya wakufaidika na yale madariki mliofanya hasa hasa upande wa work permit na Tozo.
wahuni si watu; Kenya 2: 0 Tanzania.Kazi Iendelee
kipindi cha magu hawa wakenya walikua wakileta chokochoko zako Anko ye analipiza mbona walisurrender but sahv hatuna kiongoz mwenye msimamoMoja ya vitu vilivyotumika kuonesha mafanikio ya ziara hiyo ni Ujenzi wa bomba la gesi kutoka TZ kwenda KE;
waimba mapambio walisikika kila kona ya nchi wakiwaaminisha watanzania kuwa safari ilikuwa na mafanikio kwani nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi.
Baada ya ziara hiyo waimba mapambio walisikika wakisema kuwa ziara ilikuwa na mafanikio makubwa sana kwani nchi hizo mbili zimekubaliana kujenga bomba la mafuta lenye thamani ya dola bilioni 1.
kwa watu wasioelewa waliona tumeula kumbe kijana wa mjini kutoka +254 kamuingiza mkenge dada ake wa kambo😂😂😂.
Watu wenye upeo mkubwa wa uchambuzi wa mambo tulijua hapa tunepigwa lakini kutoka na nguvu kubwa ya waimba mapambio hakuna ambae angesena akaeleweka ila sasa kwa kuwa mda ni mwalimu nadhani wataelewa sasa baada ya Kenya kuzuia KPG ya Tanzania kuingia Kenya.
Baaghi ya sababu ya kuzuia gesi hiyo ya Tanzania kuingia huko ni kutaka kuteka soko la gesi la Africa Mashariki linaloshikiriwa na Tanzania.
Ili kutekeleza azma yao hiyo wameamya kuanza kujenga storage facility yao itakayoweza kutunza tani 25000 za LPG
mkandarasi kutoka Pakistan tayari kaisha pewa tenda ya ujenzi na makampuni 5 yatakayoendesha biashara hiyo tayari yamepatikana wanasubiri leseni tu.
Mama yetu kipenzi kuna jambo la kujifunza hapa
mliambiwa hawa sio watu wa kuchekea mkabisha huku mkimponda alie choma vifaranga. haya sasa bomba hakuna tena. mmebaki na MoU kabatini huku wakenya wakufaidika na yale madariki mliofanya hasa hasa upande wa work permit na Tozo.
wahuni si watu; Kenya 2: 0 Tanzania.Kazi Iendelee
Kiingereza kigumu andika kiswahili utaeleweka, sasa pop cones ndo nini?Lakini mkuu watu tuliandamana mtandaoni sema tu masikio ya kufa ya awamu ya sita.Katika hii block nchi za kuwa suspicious nazo Kenya na Rwanda ,hiyo haikwepeki. Nyerere hakuwa mnoko na hata alochoma vifaranga naamini hakuwa mjinga. So I just need pop cones and watch the match na hawa watu
Lete source kamili ya taarifa zako wewe ambaye sio mjuajiElimu Elimu Elimu
Ona mtoa mada alivyowachota wajinga wenzake?
Wabongo kujifanya wajuaji kumbe mambumbumbu.. Ndio waliojazana kwenye uzi huu..! Vitu kama hujui si ukae kimya kuliko kujiona unajua kwa maana utashangiliwa na wajinga wenzako wengi ila wachache wanaojua watakuona Mbumbumbu.
Kukusaidia wewe na wajinga wenzako, ule Mkataba aliosaini mama ni wa NG(Natural Gas) ya Mtwara ambayo bado haijaanza kuzalishwa.
Kenya wamezuia LPG (Liquefied Petroleum Gas) ambayo haizalishwi Tanzania bali inakuwa imported from Crude oil refineries mostly from Middle Eastern Countries. Sababu za kuzuia ni kuwa na wao wataanza kuimport kutoka hukohuko tunaponunua sisi na kuwauzia wengine East Africa kama tunavyofanya sie sasa hivi, kwa kifupi watakuwa competitor wetu kwenye LPG kama ilivyo kwenye other Petroleum products (Diesel, Petrol, Kerosene..etc).
Watanzania muache kujifanya mnajua wakati ni Mambumbumbu kichwani.
Elimu Elimu Elimu
Licha ya hayo yote,...kafwa.Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.
kipindi cha magu hawa wakenya walikua wakileta chokochoko zako Anko ye analipiza mbona walisurrender but sahv hatuna kiongoz mwenye msimamo
Laana hiyo ikutafune wewe na ukoo wetu.
Magufuli hawezi kunilaani mimi yeye hakuwa mzazi wangu wala Mungu.
Kwa kweli tuvute tu popcon; maana maamuzi mengi sasa hivi yanafanywa kwa mihemukoLakini mkuu watu tuliandamana mtandaoni sema tu masikio ya kufa ya awamu ya sita.Katika hii block nchi za kuwa suspicious nazo Kenya na Rwanda ,hiyo haikwepeki. Nyerere hakuwa mnoko na hata alochoma vifaranga naamini hakuwa mjinga. So I just need pop cones and watch the match na hawa watu
Hii kweli kabisa na hili linadhirishwa na wanasiasa wao waliokimbia nchi hatukusikia wakizunguka dinia kuomba Kenya iwekewe vikwazo kama walivyofanya wachumis tumbo wa hapa kwetu.Kenyans are very smart people. They know how to separate politics & state. Ila sisi ujinga wetu wakutoa kila mtu CCM ndo unatufikisha huku.
Fuatia kwenye coments huko juuLeta source ya taarifa yako
Kbsa hakujali hata maembe na nyanya ziliozeana pale horohoro jamaa aliwavimbia haswa Kenyan people are definitely undifine peopleMagufuli nilimchukia maeneo mengi, ila kwenye kipengele cha jino kwa jino dhidi ya hawa manyang'au! Hakika nilimuunga mkono.
Maana aliyanyoosha kisawasawa kwa kujibu mashambulizi, mpaka yaliufyata yenyewe.
Nilipo sema kuna watu wakengeufu kwenye hili taifa nilimaanisha watu kama wewe. Na hili unalidhihirusha hapa kwa pumba ulizo andika.Elimu Elimu Elimu
Ona mtoa mada alivyowachota wajinga wenzake?
Wabongo kujifanya wajuaji kumbe mambumbumbu.. Ndio waliojazana kwenye uzi huu..! Vitu kama hujui si ukae kimya kuliko kujiona unajua kwa maana utashangiliwa na wajinga wenzako wengi ila wachache wanaojua watakuona Mbumbumbu.
Kukusaidia wewe na wajinga wenzako, ule Mkataba aliosaini mama ni wa NG(Natural Gas) ya Mtwara ambayo bado haijaanza kuzalishwa.
Kenya wamezuia LPG (Liquefied Petroleum Gas) ambayo haizalishwi Tanzania bali inakuwa imported from Crude oil refineries mostly from Middle Eastern Countries. Sababu za kuzuia ni kuwa na wao wataanza kuimport kutoka hukohuko tunaponunua sisi na kuwauzia wengine East Africa kama tunavyofanya sie sasa hivi, kwa kifupi watakuwa competitor wetu kwenye LPG kama ilivyo kwenye other Petroleum products (Diesel, Petrol, Kerosene..etc).
Watanzania muache kujifanya mnajua wakati ni Mambumbumbu kichwani.
Jumlisha na saikolojia za viongozi wetu wengi wanashindwa kung'amua ulaghai wakati wa mazungumzo na wenzao wa nje.Umesema kweli kabisa. Intellijensia yetu bado sana
Tatizo unakuta mtu yuko kwenye mkutano huku anawaza atanufaika vipi na hapo ndipo umakini wao unapo poteleaJumlisha na saikolojia za viongozi wetu wengi wanashindwa kung'amua ulaghai wakati wa mazungumzo na wenzao wa nje.