Baada ya Kenya kupiga marufuku LPG kutoka Tanzania, kuna kitu cha kujifunza kama Taifa

Baada ya Kenya kupiga marufuku LPG kutoka Tanzania, kuna kitu cha kujifunza kama Taifa

Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.

Moja ya vitu vilivyotumika kuonesha mafanikio ya ziara hiyo ni Ujenzi wa bomba la gesi kutoka TZ kwenda KE;

waimba mapambio walisikika kila kona ya nchi wakiwaaminisha watanzania kuwa safari ilikuwa na mafanikio kwani nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi.

Baada ya ziara hiyo waimba mapambio walisikika wakisema kuwa ziara ilikuwa na mafanikio makubwa sana kwani nchi hizo mbili zimekubaliana kujenga bomba la mafuta lenye thamani ya dola bilioni 1.

kwa watu wasioelewa waliona tumeula kumbe kijana wa mjini kutoka +254 kamuingiza mkenge dada ake wa kambo😂😂😂.
Watu wenye upeo mkubwa wa uchambuzi wa mambo tulijua hapa tunepigwa lakini kutoka na nguvu kubwa ya waimba mapambio hakuna ambae angesena akaeleweka ila sasa kwa kuwa mda ni mwalimu nadhani wataelewa sasa baada ya Kenya kuzuia KPG ya Tanzania kuingia Kenya.

Baaghi ya sababu ya kuzuia gesi hiyo ya Tanzania kuingia huko ni kutaka kuteka soko la gesi la Africa Mashariki linaloshikiriwa na Tanzania.

Ili kutekeleza azma yao hiyo wameamya kuanza kujenga storage facility yao itakayoweza kutunza tani 25000 za LPG

mkandarasi kutoka Pakistan tayari kaisha pewa tenda ya ujenzi na makampuni 5 yatakayoendesha biashara hiyo tayari yamepatikana wanasubiri leseni tu.

Mama yetu kipenzi kuna jambo la kujifunza hapa
mliambiwa hawa sio watu wa kuchekea mkabisha huku mkimponda alie choma vifaranga. haya sasa bomba hakuna tena. mmebaki na MoU kabatini huku wakenya wakufaidika na yale madariki mliofanya hasa hasa upande wa work permit na Tozo.

wahuni si watu; Kenya 2: 0 Tanzania.Kazi Iendelee
Nilipomsikia anasema anataka BOT waanze mchakato waku tengeneza system ya Bitcoin aka cryptocurrency for BOT. Ndipo nilipo kimbilia chooni nakusema Baba baba hivi nani tena katuloga kwani sisi Tz tumekukosa nini Baba. Mbona wenye hekima wamejifungia chooni na wenye nani ndio wapaza sauti. Yani nililia sana moyoni yani kwakweli nasali tu huku nikiimba kazi iyendelee dereva ameingia deleva yaniiiiii watu watajamba nakuchekea choo huku wakisikia kwa mbaliiiii taalaabu
 
Nilipo sema kuna watu wakengeufu kwenye hili taifa nilimaanisha watu kama wewe. Na hili unalidhihirusha hapa kwa pumba ulizo andika.

Nikukumbushe kwamba hakuna mkataba wa LPG uliosainiwa kati ya TZ na Kenya kitu kilichosainiwa ni MoU

Sasa kama mnasaini MoU alafu mnarudi nyumbani kifua mbele kuwa mmesaini mkataba basi hii ni hasara kubwa kwa Taifa maana kuwa na mbumbumbu kama nyie.

Nikukumbushe tu kuwa MoU ni makubaliano tu ambayo yanaweza kutekelezwa ama yasitekelezwe. mbuzi wewe.

Mwisho nikushukuru kwa kukiri kuwa Kenya wamezuia gesi kutoka Tanzania.
Mbulula
 
Kiingereza kigumu andika kiswahili utaeleweka, sasa pop cones ndo nini?
Katika yoooote umeona kingereza tu mzee baba . Tatizo kubwa la mentality ya ma negro .we unaona kukosea kiingereza kuwa ni kuvunja msaafu au ?
 
Elimu Elimu Elimu
Ona mtoa mada alivyowachota wajinga wenzake?
Wabongo kujifanya wajuaji kumbe mambumbumbu.. Ndio waliojazana kwenye uzi huu..! Vitu kama hujui si ukae kimya kuliko kujiona unajua kwa maana utashangiliwa na wajinga wenzako wengi ila wachache wanaojua watakuona Mbumbumbu.
Kukusaidia wewe na wajinga wenzako, ule Mkataba aliosaini mama ni wa NG(Natural Gas) ya Mtwara ambayo bado haijaanza kuzalishwa.
Kenya wamezuia LPG (Liquefied Petroleum Gas) ambayo haizalishwi Tanzania bali inakuwa imported from Crude oil refineries mostly from Middle Eastern Countries. Sababu za kuzuia ni kuwa na wao wataanza kuimport kutoka hukohuko tunaponunua sisi na kuwauzia wengine East Africa kama tunavyofanya sie sasa hivi, kwa kifupi watakuwa competitor wetu kwenye LPG kama ilivyo kwenye other Petroleum products (Diesel, Petrol, Kerosene..etc).
Watanzania muache kujifanya mnajua wakati ni Mambumbumbu kichwani.
Elimu Elimu Elimu

Na ngonjera zote in the end unakiri Gesi toka Tz imezuiliwa. Wewe ni mbuzi, sio panya tu.
 
Huyu mama alishafeli kuanzia simu ya kwanza.

Wakenya sio wa kucheka nao.

Huyu mama hakuna anachojua, yeye anadanganywa tu na kuingizwa mikenge.

Tusubiri Madudu mengi yataonekana kadri ya muda unavyoenda.
 
Nilipomsikia anasema anataka BOT waanze mchakato waku tengeneza system ya Bitcoin aka cryptocurrency for BOT. Ndipo nilipo kimbilia chooni nakusema Baba baba hivi nani tena katuloga kwani sisi Tz tumekukosa nini Baba. Mbona wenye hekima wamejifungia chooni na wenye nani ndio wapaza sauti. Yani nililia sana moyoni yani kwakweli nasali tu huku nikiimba kazi iyendelee dereva ameingia deleva yaniiiiii watu watajamba nakuchekea choo huku wakisikia kwa mbaliiiii taalaabu
Hii ni kali nadhani hizi lawama tuwatupie wasaidizi wake maana yeye kama yeye tutakuwa tunamuonea ukilinganisha na ........
 
Kifupi dunia ya sasa unapaswa kuishi mwenyewe mwenyewe na kama urafiki na mtu basi uwe wa kinafiki nafiki tu...

Kosa letu tunajifanya kuwaamini sana majirani zetu na kutela undugu wa kijamaa wakati wao walichakuwa mabepari kitambo na hawana urafiki na mtu zaidi ya maslahi tu..

Watu wabadili uelekeo, hakuna jirani wakuchekea na kila mtu anapaswa kushinda mechi zake, full stop..
 
Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.

Moja ya vitu vilivyotumika kuonesha mafanikio ya ziara hiyo ni Ujenzi wa bomba la gesi kutoka TZ kwenda KE;

waimba mapambio walisikika kila kona ya nchi wakiwaaminisha watanzania kuwa safari ilikuwa na mafanikio kwani nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi.

Baada ya ziara hiyo waimba mapambio walisikika wakisema kuwa ziara ilikuwa na mafanikio makubwa sana kwani nchi hizo mbili zimekubaliana kujenga bomba la mafuta lenye thamani ya dola bilioni 1.

kwa watu wasioelewa waliona tumeula kumbe kijana wa mjini kutoka +254 kamuingiza mkenge dada ake wa kambo😂😂😂.
Watu wenye upeo mkubwa wa uchambuzi wa mambo tulijua hapa tunepigwa lakini kutoka na nguvu kubwa ya waimba mapambio hakuna ambae angesena akaeleweka ila sasa kwa kuwa mda ni mwalimu nadhani wataelewa sasa baada ya Kenya kuzuia KPG ya Tanzania kuingia Kenya.

Baaghi ya sababu ya kuzuia gesi hiyo ya Tanzania kuingia huko ni kutaka kuteka soko la gesi la Africa Mashariki linaloshikiriwa na Tanzania.

Ili kutekeleza azma yao hiyo wameamya kuanza kujenga storage facility yao itakayoweza kutunza tani 25000 za LPG

mkandarasi kutoka Pakistan tayari kaisha pewa tenda ya ujenzi na makampuni 5 yatakayoendesha biashara hiyo tayari yamepatikana wanasubiri leseni tu.

Mama yetu kipenzi kuna jambo la kujifunza hapa
mliambiwa hawa sio watu wa kuchekea mkabisha huku mkimponda alie choma vifaranga. haya sasa bomba hakuna tena. mmebaki na MoU kabatini huku wakenya wakufaidika na yale madariki mliofanya hasa hasa upande wa work permit na Tozo.

wahuni si watu; Kenya 2: 0 Tanzania.Kazi Iendelee

Ungeandika kama habari tuelewe vizuri kuhusu hiyo LPG, umeandika kama una akili ya Mange Kimambi, pumbaf ww, you can't write a full story to be read, unaandika upambe na upuuzi tu.
 
Ungeandika kama habari tuelewe vizuri kuhusu hiyo LPG, umeandika kama una akili ya Mange Kimambi, pumbaf ww, you can't write a full story to be read, unaandika upambe na upuuzi tu.
Hichi ndicho tunachomaanisha pale tunaposema upeo wenu wa kuelewa na kupambanua mambo kuwa ni ndogo. Bata wewe
 
Huyu mama alishafeli kuanzia simu ya kwanza.

Wakenya sio wa kucheka nao.

Huyu mama hakuna anachojua, yeye anadanganywa tu na kuingizwa mikenge.

Tusubiri Madudu mengi yataonekana kadri ya muda unavyoenda.
Mbaya zaidi wanaharakati wote kawatia kwapani huku wajinga wakishangilia eti demokrasia
 
Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.

kipindi cha magu hawa wakenya walikua wakileta chokochoko zako Anko ye analipiza mbona walisurrender but sahv hatuna kiongoz mwenye msimamo
Mwamba alikuwa ana practice kitu kinaitwa reciprocity and retaliation; na hii hadi USA wabayo kwenye Trade Policies zao.
 
Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.

Moja ya vitu vilivyotumika kuonesha mafanikio ya ziara hiyo ni Ujenzi wa bomba la gesi kutoka TZ kwenda KE;

waimba mapambio walisikika kila kona ya nchi wakiwaaminisha watanzania kuwa safari ilikuwa na mafanikio kwani nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi.

Baada ya ziara hiyo waimba mapambio walisikika wakisema kuwa ziara ilikuwa na mafanikio makubwa sana kwani nchi hizo mbili zimekubaliana kujenga bomba la mafuta lenye thamani ya dola bilioni 1.

kwa watu wasioelewa waliona tumeula kumbe kijana wa mjini kutoka +254 kamuingiza mkenge dada ake wa kambo[emoji23][emoji23][emoji23].
Watu wenye upeo mkubwa wa uchambuzi wa mambo tulijua hapa tunepigwa lakini kutoka na nguvu kubwa ya waimba mapambio hakuna ambae angesena akaeleweka ila sasa kwa kuwa mda ni mwalimu nadhani wataelewa sasa baada ya Kenya kuzuia KPG ya Tanzania kuingia Kenya.

Baaghi ya sababu ya kuzuia gesi hiyo ya Tanzania kuingia huko ni kutaka kuteka soko la gesi la Africa Mashariki linaloshikiriwa na Tanzania.

Ili kutekeleza azma yao hiyo wameamya kuanza kujenga storage facility yao itakayoweza kutunza tani 25000 za LPG

mkandarasi kutoka Pakistan tayari kaisha pewa tenda ya ujenzi na makampuni 5 yatakayoendesha biashara hiyo tayari yamepatikana wanasubiri leseni tu.

Mama yetu kipenzi kuna jambo la kujifunza hapa
mliambiwa hawa sio watu wa kuchekea mkabisha huku mkimponda alie choma vifaranga. haya sasa bomba hakuna tena. mmebaki na MoU kabatini huku wakenya wakufaidika na yale madariki mliofanya hasa hasa upande wa work permit na Tozo.

wahuni si watu; Kenya 2: 0 Tanzania.Kazi Iendelee
Mm furaha yangu nikuona Tanzania bila Jiwe
 
Back
Top Bottom