Baada ya Kenya kupiga marufuku LPG kutoka Tanzania, kuna kitu cha kujifunza kama Taifa

Nilipomsikia anasema anataka BOT waanze mchakato waku tengeneza system ya Bitcoin aka cryptocurrency for BOT. Ndipo nilipo kimbilia chooni nakusema Baba baba hivi nani tena katuloga kwani sisi Tz tumekukosa nini Baba. Mbona wenye hekima wamejifungia chooni na wenye nani ndio wapaza sauti. Yani nililia sana moyoni yani kwakweli nasali tu huku nikiimba kazi iyendelee dereva ameingia deleva yaniiiiii watu watajamba nakuchekea choo huku wakisikia kwa mbaliiiii taalaabu
 
Mbulula
 
Kiingereza kigumu andika kiswahili utaeleweka, sasa pop cones ndo nini?
Katika yoooote umeona kingereza tu mzee baba . Tatizo kubwa la mentality ya ma negro .we unaona kukosea kiingereza kuwa ni kuvunja msaafu au ?
 

Na ngonjera zote in the end unakiri Gesi toka Tz imezuiliwa. Wewe ni mbuzi, sio panya tu.
 
Huyu mama alishafeli kuanzia simu ya kwanza.

Wakenya sio wa kucheka nao.

Huyu mama hakuna anachojua, yeye anadanganywa tu na kuingizwa mikenge.

Tusubiri Madudu mengi yataonekana kadri ya muda unavyoenda.
 
Hii ni kali nadhani hizi lawama tuwatupie wasaidizi wake maana yeye kama yeye tutakuwa tunamuonea ukilinganisha na ........
 
Kifupi dunia ya sasa unapaswa kuishi mwenyewe mwenyewe na kama urafiki na mtu basi uwe wa kinafiki nafiki tu...

Kosa letu tunajifanya kuwaamini sana majirani zetu na kutela undugu wa kijamaa wakati wao walichakuwa mabepari kitambo na hawana urafiki na mtu zaidi ya maslahi tu..

Watu wabadili uelekeo, hakuna jirani wakuchekea na kila mtu anapaswa kushinda mechi zake, full stop..
 

Ungeandika kama habari tuelewe vizuri kuhusu hiyo LPG, umeandika kama una akili ya Mange Kimambi, pumbaf ww, you can't write a full story to be read, unaandika upambe na upuuzi tu.
 
Ungeandika kama habari tuelewe vizuri kuhusu hiyo LPG, umeandika kama una akili ya Mange Kimambi, pumbaf ww, you can't write a full story to be read, unaandika upambe na upuuzi tu.
Hichi ndicho tunachomaanisha pale tunaposema upeo wenu wa kuelewa na kupambanua mambo kuwa ni ndogo. Bata wewe
 
Huyu mama alishafeli kuanzia simu ya kwanza.

Wakenya sio wa kucheka nao.

Huyu mama hakuna anachojua, yeye anadanganywa tu na kuingizwa mikenge.

Tusubiri Madudu mengi yataonekana kadri ya muda unavyoenda.
Mbaya zaidi wanaharakati wote kawatia kwapani huku wajinga wakishangilia eti demokrasia
 
Mwamba alikuwa ana practice kitu kinaitwa reciprocity and retaliation; na hii hadi USA wabayo kwenye Trade Policies zao.
 
Mm furaha yangu nikuona Tanzania bila Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…