Baada ya Kenya kuzuia gesi kutoka Tanzania, bei zapanda, wengi warudi kutumia mkaa na mafuta ya taa!

Baada ya Kenya kuzuia gesi kutoka Tanzania, bei zapanda, wengi warudi kutumia mkaa na mafuta ya taa!

Wewe acha porojo my friend kwenye budget juzi serikali imetenga fedha kugharamia usambazaji wa gas majumbani kwenye mikoa kama mitatu.

Yaani gas inasambazwa kwenye mindombinu kama ya maji hauhitaji gas cylinders kama kibebeo ni kwamba kunajengwa gas pipes around the streets inakua plugged in your inlet yako unafungiwa na meter so unakua unalipia gas kwa mwezi kama maji.

Hiyo itakua ni pilot program lakini lengo ni kufanya hivyo nchi nzima so usifananishe gas manufacturing ya Tanzania na Kenyan
Well, that is impressive....
 
Ndio, mimi nimechukulia mwezi uliopita. Halafu nimegundua kenya vitu bei juu sana. Kale ka mtungi ka 13kg ni kadogo kweli lakini bei yao ikojuu sana. Halafu eti jamaa hawa wanaleta nyodo kweli.
Kule kumiliki mtungi wa gesi ni luxury.
 
Hongera serikali yetu kwa jambo hilo la kishujaaa....hivi waswahili wanatoa wapi lpg na hawana refinery, isiwe wanatuwekea ushuzi wao humo ndo maana mitungi inatulipukia ovyo hovyo! Funga na kampaka kabisa...[emoji3] [emoji3] [emoji109]
 
Kwa kujitetea wakenya mnaongoza.Kenya has a long way msipobadilika juzi Uhuru kazindua kiwanda feki cha beer kisumu. Kiwanda hakuna lakini mtu anazindua
Tatizo la wengi hapa ni kuwa hamjui kusoma ujumbe na kuelewa kilichoandikwa. Hamjui tofauti kati you reporting na analysis.

1. Tunaambiwa kuwa bei ya 13KG gas imepanda kutoka KES 2,112 hadi KES 2,227. Sasa mtu mwenye anaweza kuafford 13KG gas atashindwa kweli kulipa an extra 100 shillings. Ukiwauliza watu wa nairobi watakuambi 100 bob ndio increase in fare wakati ambampo kuna mvua au foleni. Sasa ni upumbavu mtupu kusema kuwa huyu mtu ataelekea kutumia mafuta ya taa au makaa kwasababu 13KG gas imepanda kiasi hiki.

2. Consumption increase ya 33% ilitokana na removal of VAT kwasababu ya govt policy wala si uagizaji kutoka TZ.

3. Matumizi ya gesi iliongezeka kwa kiwango cha asilimia mbili. Kwa hivyo, haiwezi ikawa kuwa wata wanrudi kutumia makaa ilhali consumtion inaongezeka.



Kile kinachopigwa vita na serikali ya Kenya si uagizaji wa gesi kutoka TZ, bali wizi unaofanywa na wafanyibiashara waovu wanaopenda kufaidika kupitia short cut. Tatizo ni kuwa Namanga border post hakuna facilities za kuinspect quality inayoagizwa.

Ninavyosoma mitandaoni ni kuwa Tanzania pia inaimport Gas. Sijui ni kwanini sasa tuimport kutoka TZ gas ilhali wao wenyewe wanaimport. Kwa wale wenye uelewa zaidi kuhusu jambo hili, mnifahamishe.
 
Uzuri gesi na ngano yetu tunauza sana Uganda na Rwanda kuliko Kenya.
 
Nilipenda Magufuli alipo mwambia Jacob Zuma waongeze vikao vyao vya SADC kukutana, amesha ons EA kuna wanafiki wengi sana. Mijizi Mungu kutoka Kenya lazima tuiweke ndani. Nasikia jamaa alikuwa akimtumia Magufuli email Magufuli zakumshauli lakini kashika nakuweka ndani. Hawa ndo rafiki zake Moi na Uhuru.
downloadfile-33.jpeg
 
The Government’s decision to block the entry of Liquefied Petroleum Gas (LPG) through the Namanga border point has weeded out unscrupulous suppliers, leading to tight supply and higher prices. The latest Petroleum Products Consumption Report covering three months to March shows consumption of cooking gas grew by just two per cent to 17,393 metric tonnes, as more consumers fell back on kerosene. The pace is slow compared to last year when in the nine months to September, consumption rose by 33 per cent as consumers warmed up to the decision by the Government to zero-rate the commodity.

During the quarter under review, average LPG price was Sh2,112 for a 13kg cylinder, but this has since jumped to Sh2,277.48, according to Kenya National Bureau of Statistics end of May data.

Speaking to The Standard yesterday, Petroleum Institute of East Africa (PIEA) Chairman Powell Maimba said the decision by the Government to close other border outlets had caused shortage in the market.

“The directive by Government that marketers cannot bring in gas through any other border apart from Mombasa meant that businesses had to restructure to see how to get products through Mombasa only,” he said. ALSO READ: Government to distribute gas cylinders to poor families in a multi-billion project Mr Maimba told The Standard on phone the decision also meant small distributors as well as illegal re-fillers who depended on borders like Namanga had to close shop.

The decision was taken to weed out traders who were evading import taxes and, therefore, pricing the commodity cheaply. “Quality checks were also not being observed and such players could easily sneak in substandard LPG,” said Mr Maimba.

“Only Mombasa Port offers quality checks on LPG.” He explained that the section of the market, which was benefiting from illegally refilled gas cylinders, had been affected and had, therefore, to fall back to using kerosene, whose consumption jumped by nine per cent to 142,646 cubic metres during the period under review.

Some vessels loaded with LPG could bypass Mombasa and discharge their cargo in Tanzania ports from where it was loaded to tracks and sneaked into Kenya via Namanga. palushula@standardmedia.co.ke
Read more at: Cooking gas consumption slows on tighter supply and high prices
Poor Kenya!!
 
Kwa sasa magufuli hadi wataalamu wakushauliana nae kuhusu miradi mikubwa anawachukua kutoka Ethiopia. Ethiopia ndowatu wetu wakushauliana nao ndani ya EA sio Kenya tena. Anajua niwanafiki hawachelewi kukuzunguka. Lamsingi tusonge mbele, Magufuli kajipanga. Anajua anachofanya
IMG_20170628_224834.jpg
IMG_20170628_224820.jpg
 

Attachments

  • IMG_20170628_224807.jpg
    IMG_20170628_224807.jpg
    70.9 KB · Views: 30
Bila bidhaa zetu na za Wachina mtaishi vipi nyie makanjanja wa Dar.
Vipi bei ya unga hapo Nairobi? Juzi niliona RC wa Kilimanjaro akizuia malori zaidi ya 20 yaliyokuwa na mahindi kupeleka Kenya. Aisee Magufuli waonee huruma majirani utawaua.
 
Vipi bei ya unga hapo Nairobi? Juzi niliona RC wa Kilimanjaro akizuia malori zaidi ya 20 yaliyokuwa na mahindi kupeleka Kenya. Aisee Magufuli waonee huruma majirani utawaua.

Jana tumeshusha tani 42,000 za mahindi pale Mombasa, tumenunua kutoka kwengine. Tumewaambia siku nyingi humu kwamba hamtupei mahindi bure, tunanunua kwa hela zetu ambazo tunazo nyingi.
Nyie ndio maana mpo maskini miaka yote, mnafanya biashara kwa wivu na majungu, sasa mnajidanganya kwamba mkigoma kutuuzia mahindi ndio mtakua mumetukwamisha, mnakosa kuelewa hiyo ni biashara na kuna mataifa mengi yaliyo tayari kufanya hiyo biashara.

Miafrika tumerogwa, yaani mwenyewe upo maskini halafu una bidhaa za kuuza lakini unabana kisa umkwamishe jirani. Ndio maana mnaliwa migodini, maana mzungu anakuja kiaina na kuchuma tu tena anawachanganya kwenye mikataba maana hata Kingereza hamkijui na mna uvivu wa kusoma.

[VIDEO] No need to panic, Bett tells Kenyans as 42,000 MTs of maize imported
 
Jana tumeshusha tani 42,000 za mahindi pale Mombasa, tumenunua kutoka kwengine. Tumewaambia siku nyingi humu kwamba hamtupei mahindi bure, tunanunua kwa hela zetu ambazo tunazo nyingi.
Nyie ndio maana mpo maskini miaka yote, mnafanya biashara kwa wivu na majungu, sasa mnajidanganya kwamba mkigoma kutuuzia mahindi ndio mtakua mumetukwamisha, mnakosa kuelewa hiyo ni biashara na kuna mataifa mengi yaliyo tayari kufanya hiyo biashara.

Miafrika tumerogwa, yaani mwenyewe upo maskini halafu una bidhaa za kuuza lakini unabana kisa umkwamishe jirani. Ndio maana mnaliwa migodini, maana mzungu anakuja kiaina na kuchuma tu tena anawachanganya kwenye mikataba maana hata Kingereza hamkijui na mna uvivu wa kusoma.

[VIDEO] No need to panic, Bett tells Kenyans as 42,000 MTs of maize imported
Mngenunua kutoka Tanzania gharama ingepungua .hata hivyo serikali yetu inataka wafanyabiashara kuuza unga badala ya mahindi. Si kwamba tumezuia kwa nia ovu mkuu.
 
Lakini ujue gas mnayonunua 45000 Tanzania inauzwa 21000

Kwanini Nyinyi mnauza cheaper kutushinda ilhali sote tunaimport? Ukumbuke hata huku Kenya, Kuna maduka yanayouza gesi kwa bei Rahisi kushinda 2,000. Lakini gesi hizo hazikai. Kuna ukarabati mwingi sana ambao hufanywa na haya makampuni ndiposa mie hupenda kununua kutoka kwa makampuni Kama Total na Kenol. Bei zao ziko juu lakini ni kitu quality
 
Kwa sasa magufuli hadi wataalamu wakushauliana nae kuhusu miradi mikubwa anawachukua kutoka Ethiopia. Ethiopia ndowatu wetu wakushauliana nao ndani ya EA sio Kenya tena. Anajua niwanafiki hawachelewi kukuzunguka. Lamsingi tusonge mbele, Magufuli kajipanga. Anajua anachofanyaView attachment 533221 View attachment 533219
Leo Norway minister of foreign affairs amefika state house kuonana na Rais tayari kwa utekelezaji wa stigliers gorge hydropower plant more than 2100 khwz to be produced from the dam
 
Tatizo lenu mnapenda kuishi kiujanjanja na ndio maana mnaliwa hata migodini, hamna siku mnakubali kufuata utaratibu uliowekwa. Juzi gesi ya kimagendo kutokea kwenu imelipuka ndani ya nyumba halafu tatizo uongozi kwenu hawajui kushinikiza ubora, sasa wanashangaa wakati sisi tukizingatia.

Bora tutumie mkaa na tuwe na uhakika wa usalama kuliko kuruhusu huo ukajanja wenu kutudhuru. Mkifuata taratibu na kuzingatia usalama kwa kuhakikisha ubora hatuna shida nanyi, tena sisi ni soko kubwa sana kwenu maana hela tunazo. La sivyo hiyo gesi mtaikula nyie.
Wewe kweli bure, unadhan mna effect yoyote mkikataa kufanya biashara na sisi? Kumbe na wewe ni maskini wa kufikiri hivyo? Hiyo gas iliyolipuka kama ni fake, kwa nin isingelipuka wakati inasafirishwa? Ujinga wenu na utawatafuna mpaka vinyeo pumbavu nyie
 
The Government’s decision to block the entry of Liquefied Petroleum Gas (LPG) through the Namanga border point has weeded out unscrupulous suppliers, leading to tight supply and higher prices. The latest Petroleum Products Consumption Report covering three months to March shows consumption of cooking gas grew by just two per cent to 17,393 metric tonnes, as more consumers fell back on kerosene. The pace is slow compared to last year when in the nine months to September, consumption rose by 33 per cent as consumers warmed up to the decision by the Government to zero-rate the commodity.

During the quarter under review, average LPG price was Sh2,112 for a 13kg cylinder, but this has since jumped to Sh2,277.48, according to Kenya National Bureau of Statistics end of May data.

Speaking to The Standard yesterday, Petroleum Institute of East Africa (PIEA) Chairman Powell Maimba said the decision by the Government to close other border outlets had caused shortage in the market.

“The directive by Government that marketers cannot bring in gas through any other border apart from Mombasa meant that businesses had to restructure to see how to get products through Mombasa only,” he said. ALSO READ: Government to distribute gas cylinders to poor families in a multi-billion project Mr Maimba told The Standard on phone the decision also meant small distributors as well as illegal re-fillers who depended on borders like Namanga had to close shop.

The decision was taken to weed out traders who were evading import taxes and, therefore, pricing the commodity cheaply. “Quality checks were also not being observed and such players could easily sneak in substandard LPG,” said Mr Maimba.

“Only Mombasa Port offers quality checks on LPG.” He explained that the section of the market, which was benefiting from illegally refilled gas cylinders, had been affected and had, therefore, to fall back to using kerosene, whose consumption jumped by nine per cent to 142,646 cubic metres during the period under review.

Some vessels loaded with LPG could bypass Mombasa and discharge their cargo in Tanzania ports from where it was loaded to tracks and sneaked into Kenya via Namanga. palushula@standardmedia.co.ke
Read more at: Cooking gas consumption slows on tighter supply and high prices

Kisasi cha kuzuia mahindi, mi naona njia bora tuwapelekee sembe na si mahindi
 
Back
Top Bottom