Baada ya Kiapo cha Odinga: Serikali imelitangaza kundi la NRM liongozwalo na Raila Odinga kuwa la kihalifu

Baada ya Kiapo cha Odinga: Serikali imelitangaza kundi la NRM liongozwalo na Raila Odinga kuwa la kihalifu

"Sungu sungu" kumbe ni kundi la kigaidi? Sasa mbona tunawalea huku bongo?
Hao si Sungu sungu wa huko Tz. Sungu sungu na ndugu zao Chinkororo ni hatari kupindukia. Chimbuko la vikundi hivo viwili ni kaunti za Kisii na Nyamira, Kenya. Huwa wanachinjachinja 'maadui' zao na ukatili wakupitiliza, zaidi ya hata wanavochinjwa kuku wa kizungu. Kama Mungiki kabisa.
 
Sizonje anafanya yale siyo kwasababu ni mbabe lah hasha,
Kwasababu anajua Watanganyika ni waoga na rahisi sana kuwanunua na kuwagawa.
Nakuhakikishia Sizonje angekuwa ni Raisi wa nchi kama Kenya hivi asingefanya haya anayofanya hapa Tanzania.
Huu ni ukweli mchungu, Watanzania utawanyanyasa watalalamika lakini Watanyamaza wakidai wanatunza amani.

Leo Wakikuyu wakihisi Mjaluo anasahau sehemu yake katika siasa za Kenya,
Lazima damu itamwagika, yaani ni sisi wajaluo na wao Wakikuyu.
Michezo yake isingefanikiwa kabisaaa!
sasa mjinga nani mkenya au mtanzania???hivi kurumbana mnaona sifa eeehh!!
mnachokitafuta mtakipata!!
 
Sizonje anafanya yale siyo kwasababu ni mbabe lah hasha,
Kwasababu anajua Watanganyika ni waoga na rahisi sana kuwanunua na kuwagawa.
Nakuhakikishia Sizonje angekuwa ni Raisi wa nchi kama Kenya hivi asingefanya haya anayofanya hapa Tanzania.
Huu ni ukweli mchungu, Watanzania utawanyanyasa watalalamika lakini Watanyamaza wakidai wanatunza amani.

Leo Wakikuyu wakihisi Mjaluo anasahau sehemu yake katika siasa za Kenya,
Lazima damu itamwagika, yaani ni sisi wajaluo na wao Wakikuyu.
Michezo yake isingefanikiwa kabisaaa!
Mimi nahisi kinachowa cost Kenya ni UKABILA
Na sio mshikamano kwani hata hao viongozi kwa kiasi kikubwa wafuasi wao wengi kwa ukanda.

Tanzania kinacho tuunganisha ni kutokuwa na UKABILA na pia kutokuwa na udini.
Watanzania wameoleana kwa kila kabila na hata kwa kila dini
Karibia watu wengi wanamausiano ya namna moja hadi nyingine hivyo ni vigumu kuwagombanisha

LAKINI pia upinzani Tanzania ni wa kimagumashi
 
Namlaumu na namshangaa sana Kenyatta na Ruto wake kwani Mtu kama Odinga alipashwa awe ' ameshapotezwa ' siku nyingi sana Kimafia / Kijasusi ili asiwasumbue na pia iwe sehemu ya ' kuwatisha ' na ' kuwanyamazisha ' wale wengine wote wenye viherehere ( Waganda wanasema wenye lugezigezi ) ili nchi ya Kenya iwe tulivu na waendelee kuijenga Kenya yao. Kwa kuchelewa Kwao huku ' Kummaliza ' sasa Odinga atawasumbua mno na kuharibu kila mara mipango yao ya Kiuongozi / Kiutawala.

Yaani wewe dogo bwana!
Sijui una matatizo gani akilini mwako.
Wewe unadhania Kenya ni Banana Republic kama Rwanda ???
Wakikuyu na Ukabila wao woote ni watu wajanja mno hapa Afrika Mashariki.
Wanajua kabisa Siasa ya nchi yao na ndiyo maana kumdhuru Odinga inakuwa ngumu.

Mosi,
Alisahwahi kusema Henry Kissinger "When politics becomes too vicious then know that the stakes are too low: That's why University politics are too vicious because the stakes are just too low". Nadhani hapa utakuwa umeelewa kwanini wale Wakenya na Majasusi wao wenye akili kubwa kuliko wewe hawawezi kumuua Raila Odinga kirahisi rahisi tu. Tofauti na Tanzania hapa Raila mbali na kuwakilisha NASA nyuma yake ule ni msukumo mkubwa wa The Luo Elites. Nchi ikiingia kwenye machafuko haitakuwa tena NASA vs JUBILEE bali The LUO vs The KIKUYU.

Pili,
Uchumi wa Kenya Siyo kama Tanzania ambako ni (Half Command Economy, half Market Economy)
Kenya tayari ni Market Economy ambako uchumi hutegemea sana watu binafsi, soko la ndani na ushindani.
Nchi ile tayari imeingia kwenye kima cha kati cha Uchumi na vurugu zikitokea ina maana lazima kutatokea Economic Shock: Nchi itapunguza kiwango cha Uzalishaji, Soko la ndani litaharibika kwasababu uchumi uko mikononi mwa watu binafsi, uwekezaji kutoka nje na usafirishaji wa bidhaa kwenda nje utapungua hivyo itakuwa ngumu sana kwa Kenya kurudisha Uchumi wake juu bila kuongeza deni la taifa. Kitu kibaya sana kimkakati kwa nchi inayoendelea, hivyo Raisi Kenyatta hawezi kufanya upumbavu kwasababu The Stakes are just too high!

Tanzania Uchumi wake nusu ni Market Economy na nusu ni Command Economy,
Serikali ndiyo Mfanya Biashara Mkuu, na kipindi hiki cha Raisi Magufuli tunarudishwa tena kwenye Command Economy.
Huku tukishuhudia Sekta Binafsi zikifia kifo cha Mende: Nchi kama hii haina cha kupoteza kwasababu hakuna Interest Groups au Lobbying Groups ambazo zinaweza kuzuia Serikali isifanye Ujinga. Tena wananchi wengi ni masikini na hawajasoma (The Stakes are too low) na hata vurugu zikitokea zaidi ya kufa watu tu hakutakuwa na kingine cha kutishia Watanzania kwasababu wengi wetu tunaishi Below the poverty line tangia Uhuru.

Tofauti na Kenya,
Tanzania kwasababu ni Command Economy inaweza kurudisha juu haraka sana hata baada ya machafuko.
Tunaweza kufanya Ubinafsishaji (Privatization of major means of production) na kuruhu uwekezaji kwa kiwango kikubwa.
Raisi Mkapa alifanya sana hivi na Uchumi ulikuwa juu sana kwa muda mfupi; Raisi Kikwete alifanya hivi japo walishindwa kusimamia. Ndugu zetu Kenya hawawezi kufanya haya kwasababu nchi iliuzwa na Mzee Jomo Kenyatta tangia siku wanapata Uhuru.

Tatu.
Kenya wamevuka sana huu ulimwengu wa mawazo ya kitoto ambayo yametuganda sisi Watanzania tunaojihisi tuna akili.
Wao Uchumi ndiyo lugha ya kwanza kabla ya chochote kile. Tanzanian Government Trust in Guns and Swords, Kenyan Government Trust in Dollars and speaks one language called Economy. When they do diplomacy the do it for the sake of Economy, When they wage War they do it for the sake of Economy, When they do Humanitarian Interventions its all for the sake of Economy, When they do partisan Elections its all for the sake of Economy, and when they extend a hand of friendship its all for the sake of the Economy. And not this political expediency themed in our clumsy political arena. See the difference ??? I know it's hard to chew this up but its a painful truth. Kenya is few steps ahead of us.

NB: If its all about assassinating Raila Odinga or refraining from assassinating him, its all done in the name of Kenya's Economy. But here, here its different people kill, torture and do all kind of lackadaisical stuff for political expediency.

Nne,
Wakenya hawajiangalii tu wao katika kufanya maamuzi.
Nchi yao imekuwa mbele kiuchumi kwa muda mrefu sana kwenye huu ukanda wa Maziwa makuu.
Tangia aingie Raisi Jakaya Mrisho Kikwete nafasi yao imeonekana kutetereshwa na huyu Raisi Magufuli kupitia Uganda na Rwanda ameonekana kutishia kabisa ustawi wa Kenya kiuchumi. Leo hii wakimuua Raila Odinga hata Kimafia unadhani vurugu za Wajaluo na Wakikuyu zitaiacha nchi ile Salama ??? Zikitokea vurugu mle kwanza shughuli nyingi za Kiuchumi kama Kilimo na Utalii vitahamia Tanzania. Wawekezaji wengi wanaweza kuvutwa na Tanzania kama ilivyokuwa kwenye bomba la mafuta wakasingizia usalama. Sasa kama Kenya akiijiingiza kwenye vurugu basi itakula kwake tuu.

Tano,
Unasahau The ICC (International Criminal Court) Factor,
Raisi Uhuru Kenyatta na Makamu wake Bwana Rutto walishaonje joto ya jiwe kule The Hague.
Hivi unategemea kweli kama wataenda mara ya pili kwa kusababisha haya mauji watapona kweli ???
Hata Raisi Magufuli na jehuri yake akipelekwa kule hata wiki tu akirudi hapa atakuwa na roho nzuri kuliko Nabii Mussa.

NB: Angalia kule Sudan Raisi Omar Al Bashir siku hizi anafanya umafia kwa akili sana,
Tangu ilivyotangazwa kwamba yeye ni Indictable na kunusurika kudakwa kule Afrika kusini anaogopa balaa.
Sasa Wakikuyu wana akili sana, wameshajua kwamba wanamulikwa na Raila Odinga anafanya maksudi akijua kabisa dunia inaiangalia Kenya kwa jicho la tatu... (Hawewezi kudiriki hata kumgusa) unaweza ukawa ndiyo mwanzo wa shida tena kwa Raisi Kenyatta.

Sita,
Hapa Afrika Mashariki hakujawahi tokea Raisi Mbabe kama Daniel Arap Moi.
Arap Moi's tactics make Kagame na Magufuli look like Kindergarten Babies.
Alimwaga damu bila kuficha, alikuwa na misimamo mikali na alikuwa ana akili sana.
Lakini katika kuua kwake kote kule hakuzuia mabadiliko nchini Kenya,..mara KANU hiyo ikafa kifo cha mende.
Mtu yeyote mwenye akili ni lazima ajue kwamba "Nothing can ever stop changes within a society, you may try to delay it but it will come back knocking at your doorstep" and Smart governments do not avoid changes but they invented STRATEGIC PLANNING so as to adjust themselves to the coming changes which are brought under the umbrella of time. Huwezi kuzuia mabadiliko kwa kuua kimafia ndugu yangu; haijawahi tokea na haiji tokea zaidi zaidi mtayachelewesha tu lakini yatakuja.

NB: Watanzania ni lazima tujifunze kuangalia mambo katika Uzito wake,
Raisi Kenyatta kumwacha Raila Odinga kufanya haya ni kwamba There is more to this than what meets the eye.
Too much stakes,.... Kenya has just hit The Fork on the Road!
 
I don't like Uhuru ila kwa move hii jamaa amecheza. Bila hata kujeruhi wananchi wake amefanikiwa kumtia Raila kambani.
Alitanda askari jana, kisha akawatoa na Raila akajaa na kujiona mjanja, kumbe kuna Strartegic Plan nyuma ya ile move.

Strategist wa Uhuru (kama sio Uhuru mwenyewe) ana akili sana. Hakika Kenya imebarikiwa...
Hata tz imebarikiwa sana
 
Huyu jamaa aisee ataleta shida sana Kenya.. Baba yake alikufa huku akiutaka uraisi bila ya mafanikio.. Sasa naona mtoto ameamua liwalo na liwe, baada ya kuona ameshaukosa uraisi rasmi..
Atamfwata babayake bilahata ...
 
Mimi nahisi kinachowa cost Kenya ni UKABILA
Na sio mshikamano kwani hata hao viongozi kwa kiasi kikubwa wafuasi wao wengi kwa ukanda.

Tanzania kinacho tuunganisha ni kutokuwa na UKABILA na pia kutokuwa na udini.
Watanzania wameoleana kwa kila kabila na hata kwa kila dini
Karibia watu wengi wanamausiano ya namna moja hadi nyingine hivyo ni vigumu kuwagombanisha

LAKINI pia upinzani Tanzania ni wa kimagumashi
Ukabila, ukanda, uvyama katuletea Sizonje
 
Raila ni kalio sana, huyo jamaa hana tofauti na Lowassa. Wanakaa kufikiria watu wanawataka ila ukweli kua wana washabiki wachache kulinganisha na upande wa pili. Yeye kakataa marudio ya uchaguzi mwenyewe sasa hivi anakuja kujifanya rais, kachaguliwa na nani? Anastahili kufungwa jela huyu mzee
 
Hiyo haya ya mwisho ndio majibu ya kwanini Tanganyika sio Tanzania haiwezekani kufanyika yaliyofanyika Kenya leo au yaliyofanyika mara ya mwisho Kibaki alipotangazwa kuwa raisi awamu ya pili.

Huku Tanganyika hakuna sana siasa za ukabila isipokuwa kuna kabila fulani chache zimeanza kuhamasisha siasa za kikabila na kikanda, na bahati mbaya hata ndani ya hizo kabila kuna busara ya Mungu miongoni mwao ambao hawashabikii sana siasa za namna hiyo. Maana napo wanajikuta wanabaguana sisi wakatoliki na wale walutheri n.k.

Bahati mbaya zaidi bado hizo kabila zilizojiunga zina watu wachache kwa ujumla wao hivyo kura hazitoshi.

Na huku Tanzania bado madaraja ya watu kutokana na kipato bado sio makubwa sana kama Kenya kwenye ubepari.

Huku hata masikini anamiliki aridhi na hakuna anae kosa mahali pa kulima sababu yeye masikini. Huku kama haulimi ni uvivu wako tu.

Huku tatizo la ukosefu wa ajira sio kubwa kama Kenya.

Huku ukifanya vurugu ukafungwa au kuumizwa au kuuwawa una cha kupoteza zaidi, lakini kule wengi wa vijana ambao ndio wafanya fujo na wanaojitoa muhanga hawana cha kupoteza wengi wamekata tamaa.

Babu Odinga hana cha kupoteza(umri haumruhusu kugombea uchaguzi ujao) kuliko mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka na ndio maana hakutokea kuapishwa kama Odinga.
Well said
 
Raila ni kalio sana, huyo jamaa hana tofauti na Lowassa. Wanakaa kufikiria watu wanawataka ila ukweli kua wana washabiki wachache kulinganisha na upande wa pili. Yyee kakataa marueio mwenyewe sasa hivi anakuja kujifanya rais, kachaguliwa na nani? Anastahili kufungwa jela huyu mzee
True
 
Back
Top Bottom