Dickson Edwin Mgaya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 513
- 1,422
Atafute kitambulisho cha mjasiriamali aanze kuuza maji mbezi stand kimeshaumana tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya si maneno yangu msikilize mwenyewe:Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma😎😎😎
Acha mambo ya kizamani buana
Bibie upo? Nataka baada ya maombolezo kuisha, ukanitambulishe kwa Polepole ili anipe kadi ya chama. Nina jambo langu siku za baadae! Hivyo nataka nichukue kadi ya chama mapema.Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma😎😎😎
Acha mambo ya kizamani buana
Haya si maneno yangu msikilize mwenyewe:
MATAGA mnawaza UCCMHivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma[emoji41][emoji41][emoji41]
Acha mambo ya kizamani buana
Muone!!!Bibie upo? Nataka baada ya maombolezo kuisha, ukanitambulishe kwa Polepole ili anipe kadi ya chama. Nina jambo langu siku za baadae! Hivyo nataka nichukue kadi ya chama mapema.
Mimeweka hapo kweny uzi rudia tena.Sijaskia, weka kivingine
Wanasema kila Zama na kitabu chake Sasa n kitabu cha SULUHU TU n mwendo wakusuluhishana pale palipo kuwa na mkwamo hasa maeneo hayaHaya si maneno yangu msikilize mwenyewe:
HaifungukiiiMimeweka hapo kweny uzi rudia tena.
Mimi simo mwambie akusikie Pascal MayallaNdo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayoofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Oh pole sina ujuzi zaidi ya huo!Haifungukiii