Baada ya Kifo cha Dkt. Magufuli, Jerry Muro ahofia kunyang'anywa cheo chake

Baada ya Kifo cha Dkt. Magufuli, Jerry Muro ahofia kunyang'anywa cheo chake

Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayoofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Pasco aliuliza swali gumu Sana kwa mh
Japo alijibiwa lakini maelezo hayakujitosheleza hata mkuu mwenyewe aliona kwamba Pasco kamtoa nockout
Sasa ile ndiyo nadhani ilikuwa changamoto
Aliishia kupewa tafsiri ya jina lake aangaike nayo
 
Hana akili Wachagha wenzake wanapigana na biashara yeye analilia teuzi,baba yake akamuulize mama yake vizuri hiyo siyo damu ya kichagha huyo mamluki huyo
 
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Rejea ule mkutano Kati ya Rais (Hayati Magufuli) na waandishi wa Hayati, yale maseali aliyouliza Mayala na tafsiri ya neno Mayala kwa mujibu wa Magufuli, utaelewa tu.
 
Ukabila ulioteshwa kwa speed ya kibunga Mama la Mama mheshimiwa Rais asipo dhibiti Tanzania tunaenda kuwa na ukabila mbaya sana unao ratibiwa na Gwajima na kundi lake ukweli lazima usemwe na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu! Au nina sema uwongo jamani?
Huo ukabila mbona unahubiliwa na wachaga tu?
wachaga kwa nini mnawachukia sana wasukuma?
 
Anajijua kuwa alibebwa ndio maana hajiamini.
Akatafute kazi nyingine hata ya kufagia choo pale Lumumba.
 
Ukabila ulioteshwa kwa speed ya kibunga Mama la Mama mheshimiwa Rais asipo dhibiti Tanzania tunaenda kuwa na ukabila mbaya sana unao ratibiwa na Gwajima na kundi lake ukweli lazima usemwe na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu! Au nina sema uwongo jamani?
"Na huu ndio ukweri"
 
Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma[emoji41][emoji41][emoji41]
Acha mambo ya kizamani buana
Kauli yake ina maana kwamba angeweza kumteua msukuma akawa msemaji wa rais. Lakini hakujali kabila la msemaji wake akamweka mtu kwa sifa na siyo kabila.
 
Jerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!

Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!


Tuliiweka mapema sana ikahamishiwa jukwaa la Picha !
 
Back
Top Bottom