Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pasco aliuliza swali gumu Sana kwa mhNdo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayoofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Mama D my sweet pretty bunny jisokeze karibu yangu upate pole ya kipeke the greatest comfort of allMuone!!!
Kwanza hata pole ya unafki hujanipa😐😐😐
Jiwe ndio alikua mkabila namba moja mpaka kwenye kampeni za uchaguzi alikua anazungumza kisukumaMawazo ya kijinga kabisa...karne ya 21 unazungumzia ukabila!
washa VPN twitter hyoHaifungukiii
Unampa MUSHI pesa una wamini akina Mushi!Jiwe ndio alikua mkabila namba moja mpaka kwenye kampeni za uchaguzi alikua anazungumza kisukuma
Rejea ule mkutano Kati ya Rais (Hayati Magufuli) na waandishi wa Hayati, yale maseali aliyouliza Mayala na tafsiri ya neno Mayala kwa mujibu wa Magufuli, utaelewa tu.Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Huo ukabila mbona unahubiliwa na wachaga tu?Ukabila ulioteshwa kwa speed ya kibunga Mama la Mama mheshimiwa Rais asipo dhibiti Tanzania tunaenda kuwa na ukabila mbaya sana unao ratibiwa na Gwajima na kundi lake ukweli lazima usemwe na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu! Au nina sema uwongo jamani?
Hasa anapoukumbuka mshahara wa Mkurugenzi wa mawasiliano Simba SC Dr Haji Manara ambaye anapokea tsh 15 million per month!Bado watu mna mawazo ya ukabila
Ova
Maneno ya Jerry Muro yanathibitisha kwamba Magufuli alikuwa ni mbaguzi na mkabila.
"Na huu ndio ukweri"Ukabila ulioteshwa kwa speed ya kibunga Mama la Mama mheshimiwa Rais asipo dhibiti Tanzania tunaenda kuwa na ukabila mbaya sana unao ratibiwa na Gwajima na kundi lake ukweli lazima usemwe na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu! Au nina sema uwongo jamani?
Kauli yake ina maana kwamba angeweza kumteua msukuma akawa msemaji wa rais. Lakini hakujali kabila la msemaji wake akamweka mtu kwa sifa na siyo kabila.Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma[emoji41][emoji41][emoji41]
Acha mambo ya kizamani buana
Siku lazimishi kabila langu (....) mke wangu msukumaHuo ukabila mbona unahubiliwa na wachaga tu?
wachaga kwa nini mnawachukia sana wasukuma?
Jerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!
Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!