Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Unamshangaa MATAGA mwenzako?Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma[emoji41][emoji41][emoji41]
Acha mambo ya kizamani buana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamshangaa MATAGA mwenzako?Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma[emoji41][emoji41][emoji41]
Acha mambo ya kizamani buana
Marehemu alimtaka jamaa akamkataa.Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Duu mama kubwa maneno hayo!Tatizo la Paschal ni popo.
Mtafuta wengiKama kweli Muro kaongea maneno haya na afutwe kazi haraka sana..
Rudini Vijijini mkavae "katambuga" kuliko kukaa Mjini na IQ zenu hafifuHuo ukabila mbona unahubiliwa na wachaga tu?
wachaga kwa nini mnawachukia sana wasukuma?
Sio mnyama wala ndege, Mzee alikuwa anataka mwanamume kama unataka cheo usifu na kuabudu mfululizo ndio akufikirie. PASCO alianza vibaya kuja kuanzia kusifu CV ilishachafuka akawa anatwanga Maji kwenye kinu.Duu mama kubwa maneno hayo!
Okwasha VPN twitter hyo
Wakati si milele.. Mungu ametendaUkabila ulioteshwa kwa speed ya kibunga Mama la Mama mheshimiwa Rais asipo dhibiti Tanzania tunaenda kuwa na ukabila mbaya sana unao ratibiwa na Gwajima na kundi lake ukweli lazima usemwe na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu! Au nina sema uwongo jamani?
Nakushangaa wewe mjukuu wa king leopoldUnamshangaa MATAGA mwenzako?
Hivi unafahamu hawa watu walivyochanganyikiwa ?Kama kweli Muro kaongea maneno haya na afutwe kazi haraka sana..
Kweli !Kashindwa tu kusema wachaga akazuga wamachame.
Hivi ile issue yake ya nyara iliishia wapi?Kashindwa tu kusema wachaga akazuga wamachame.
🤣Sijaskia, weka kivingine
🤣Mama D my sweet pretty bunny jisokeze karibu yangu upate pole ya kipeke the greatest comfort of all
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Kauli yake ina maana kwamba angeweza kumteua msukuma akawa msemaji wa rais. Lakini hakujali kabila la msemaji wake akamweka mtu kwa sifa na siyo kabila.