Baada ya Kifo cha Dkt. Magufuli, Jerry Muro ahofia kunyang'anywa cheo chake

Baada ya Kifo cha Dkt. Magufuli, Jerry Muro ahofia kunyang'anywa cheo chake

Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Marehemu alimtaka jamaa akamkataa.
 
Tatizo la Paschal ni popo.
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
 
Paskali alianza vibaya japo baadaye aliunga juhudi mkono, aliuliza maswali yasiyopendwa ikulu na akapewa tafsiri ya jina lake kwamba ni njaa.
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
 
Bahati mbaya hajamalizia kipindi kilichobaki cha utawala wake, hatuwezi juwa kama angefanya hivyo kama alivyomteua mtoto wa dada hazina.
Kauli yake ina maana kwamba angeweza kumteua msukuma akawa msemaji wa rais. Lakini hakujali kabila la msemaji wake akamweka mtu kwa sifa na siyo kabila.
 
Back
Top Bottom