Baada ya kifo cha Magufuli, Wapinzani walituaminisha chuki zitaisha kumbe bado?

Baada ya kifo cha Magufuli, Wapinzani walituaminisha chuki zitaisha kumbe bado?

Wachukie tu CDM imechukiwa na wapumbavu kibao wakiongozwa na muoza zake lakini bado ipo na itaendelea kuwepo.
Sasa tunajenga ofisI kwa nguvu ya wanachama,waambie hao WCB waje wazuie kama wana mashabiki unaowasema.
Coz nyumbu ndo tabia zaoo, ebu fuatilia tabia za nyumbu ndo utaelewa kuwa n moja ya wanyama wenye IQ ndogo sanaa
 
😂😂 Na niny tusubir 2025, labda msishiriki maana sioni cdm mwenye akili wa kuingia mjengoni tuu 😂😂, mpinzan atabaki zitto na genge lake
Kwa box la kura la halali cdm wanapata kura za kumwaga, tena sio za kubembeleza. Wananchi wengi wameshajitambua na hawaendekezi siasa za kinafiki za Ccm. Ccm itaendelea kutumia vyombo vya dola kubaki madarakani.
 
Kwa box la kura la halali cdm wanapata kura za kumwaga, tena sio za kubembeleza. Wananchi wengi wameshajitambua na hawaendekezi siasa za kinafiki za Ccm. Ccm itaendelea kutumia vyombo vya dola kubaki madarakani.
According to u( ulivyokariri)
 
mwendo wa kunadilisha barakoa made in China, qid,
 
Wachukie tu CDM imechukiwa na wapumbavu kibao wakiongozwa na muoza zake lakini bado ipo na itaendelea kuwepo.
Sasa tunajenga ofisI kwa nguvu ya wanachama,waambie hao WCB waje wazuie kama wana mashabiki unaowasema.
Nyumbulization gang tu ndo mnaendekeza,ila nawasifu mma roho za korosho na visasi visoisha,yani mmejiandaa kumwaga damu ya visasi mkipata nchi
 
Issue ya mashehe wa uamsho waliingia kipindi cha Kikwete lawama zake ni mamlaka yake kutumia kama alivyofabya kwa Babu Seya family
Ndio maana nasema hakuna ambapo Magufuli anakosa lawama kila utakapogusa analawama, matatizo yote ya hii nchi yeye ndio kabeba lawama zake hata ile report ya CAG utaona kuwa ni Magufuli pekee tu ndio kawajibika kwa kila uozo uliyopo mule kwa kubeba lawama zote.

Bado najiuliza hivi hii miaka mitano nyuma kabla ya Magufuli Tanzania ilikuaje?
 
Kwa box la kura la halali cdm wanapata kura za kumwaga, tena sio za kubembeleza. Wananchi wengi wameshajitambua na hawaendekezi siasa za kinafiki za Ccm. Ccm itaendelea kutumia vyombo vya dola kubaki madarakani.
Unawazungumzia hawa wananchi waliyoenda kuvunja gate la Airport na kujazana barabarani wakitandika kanga kwenye msiba wa Magufuli? kilichofanyika hakuna ambaye alitarajia kama kungekuwa na wananchi wa kufanya vile sasa watu kama wale wasiotabirika ni ngumu pia kujua watapigia chama gani.
 
Cha ajabu sasa wamehamia kwa diamond sadala asipate kura...

Ufipa na chama chao cha saccos ni shida
 
Kudai katiba na tume huru ni kuchochea chuki?

Huwezi kunilazimisha kumpigia kura diamond kama naona mziki wake sio mzuri kushinda wa Burna Boy.
Nyimbo zake zenye vionjo vya kutiana tiana zinaakisi kabisa tabia yake ya kibeberu ya kurukia na kuzaa na kila mwanamke... Kama kioo cha jamii hafai kabisa...
 
Hata enzi ya kikwete walitukana, hawa hawana cha utaifa wala nini.

Mambo yao ni ya kichawi tu.

Mchawi hata mtu mwema yeyote kwake ni ubaya tu na ndo walivyo Chadema.
Hivi yule aliyewaita watanzania malofa pale jangwani alikuwa nani vile?
 
Back
Top Bottom