Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Mjinga sana wewe.NAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
Mjinga sana.speaker ndugai alifanya kosa la kudhani liisu kashambuliwa akaahidi matibabu alicyogundua ni uongo akamvua ubunge huoni kama speaker ndugai ni mchapa kazi aliyetetea wanyonge dhidi ya mbunge mtoro?
Wrong approach to right idea=wrong response.Dah nimegundua JF ina vilaza wengi sana hawasomi wala kusokiliza wanakimbilia Ku comment....
Watu wanachomaanisha hapa ni kuwa huyo ndugai hafai hata kuwa 'mjumbe wa nyumba 10'Dah nimegundua JF ina vilaza wengi sana hawasomi wala kusokiliza wanakimbilia Ku comment...
HAFAI HATA KIDOGONAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
Nani amekupa wazo La kujipendekeza kwa ndugai? Amekutuma?
Hakuna atakaepata raha mwaka huu
Hata nyie mataga?
Nadhan huu ni muda wa sis km memba wa JF kumpigia chapuo mmoja wetu kushika hiyo nafas ya umakamu wa rais na kwa kuzingatia haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza na kusikilizwa nadhan Bujibuji,Kimso au Hanga mmoja wapo itapendeza akishika hiyo nafas.NAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE
WibSlaaPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
R.I.P Magufuli.