Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Daaa Mkuu kama ulienda shule basi wazazi wako walitupa pesa jalalani au Walimu wako walipata taabu kukuelimisha au hukuwahi kuhudhuria shule kabisa!

Ndugai huyu alietaka walimu tuongeze we masomo ya kusoma au kuna mwingine anatoka Chato?

Muda mwingine tufikirie kwa kufikiria kwa kichwa na sio TUMBO na MATTER CALL[B/]
 
Hekima gani? ni hekima kusema mwalimu mmoja afundishe masomo matano?? Ndugai ni silly person wala hastahili hizo sifa
 
NAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE

HAFAI HATA KIDOGO
 
NAWAHAKIKISHIA HUYU MZEE NDUGAI NI MTU MUADILIFU A MAN OF HIS WORDS,MZALENDO,SIO FISADI, MTENDA HAKI ANAYEFATA SHERIA .
MUNGU MBARIKI SANA HUU MZEEE ANAFAA KABISA KUPATA U MAKAMU WA RAIS HUYU NEXT SHUJAA WA AFRICA.KIPENZI CHA WANYONGE

Nadhan huu ni muda wa sis km memba wa JF kumpigia chapuo mmoja wetu kushika hiyo nafas ya umakamu wa rais na kwa kuzingatia haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza na kusikilizwa nadhan Bujibuji,Kimso au Hanga mmoja wapo itapendeza akishika hiyo nafas.
 
Wazanzibar kwa uadilifu wako vizuri, hata VP akitoka visiwani siyo vibaya, yote ni Tanzania.Tuachane na hawa wanaojiita wana mtandao tutarudi tena kwenye zama zileeee,Watz wengi memory ni 50MB wameshasahau tayari😁😁
 
Ndugai atakufa kwa Corona kwa sababu ameichezea sana katiba.Mark these words!
 
Dr,Slaah
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

R.I.P Magufuli.
WibSlaa
 
Kuna kila dalili kuwa makamo wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania atatokea mkoani Kilimanjaro

Stay turned
 
Back
Top Bottom