Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaaliwa, anaweza kukaimu (kuziba pengo) nafasi ya Makamu wa Raisi.
 
Yupo mtu Kutoka Mji kasoro Bahari.
Chumaaa Prof. Paramagamba Kabudi.[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Akichaguliwa makamba umeme bwawan tusahau ingekuwa majaliwa ingekuwa poa sana
 
1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais

2. Butiku

3. Kimei

4. Kinana

5. Warioba

6. Prof Muhongo

7. Makinda

7. Mwamunyange

8. Lissu

9. Chikawe

10. Mwandosya

Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri
Mkuu, umemtukana Mzee Kikwete.
 
Hapo ni Bashiru tu.
From katibu mkuu wa chama,na kuwa katibu mkuu ofisi ya Raisi halafu makamu wa Raisi ndani ya mwezi mmoja! Naona kama ni ndoto vile. Na kama ni kweli kuna pesa ilivutwa inahitaji uchunguzi kwanza kabla ya uteuzi. Anayepashwa kuapishwa kwanza ndiyo angeendelea halafu huko kwingine watulie wasifanye papara. Makamu wa CCM si yupo? Anafanya nini?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais

2. Butiku

3. Kimei

4. Kinana

5. Warioba

6. Prof Muhongo

7. Makinda

7. Mwamunyange

8. Lissu

9. Chikawe

10. Mwandosya

Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri

Hii list naomba kuwaondoa wafuatao

1. Kikwete na Mwandosya. Hawa umri umeenda kidogo na pia JK hawez kutoka kwenye urais kua umakamu tena, ila wanatakiwa wawe washauri wa karibu sana wa Mama na wengine ambao hawatachaguliwa kutokea kwenye list yako kama yupo kwenye hio list ambaye atachaguliwa.

Naomba kuongeza mmoja, hua anajielewa sana.

1. Profesa Mbarawa.
 
Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.

Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Wazo lako liko sawa,ila haukuzingatia yafuatayo:
1.Gharama.
2.Nafasi ya kutekeleza.
3.Maslahi ya Chama kimoja kimoja.
NB: Kifo si nafasi ya kujinufaishia
R.I.P Magufuli,JP
 
Sidhani kama watapenda kutoa mtu nje ya waliokuwa kwenye mchujo wa 2015.. 'Possibility' kubwa ni January Makamba kama VP.. na pia huenda ushawishi wa JK ukasaidia pia kwani ndiyo mwenye nguvu kwenye Kamati ya Marais Wastaafu..
 
Back
Top Bottom