Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenge huyu huyu au kuna Chenge mwingine 😂😂😂Hamezi kupewa Muislam umakamu labda awekwe kwenye baraza la mama samia na hiyo ni kama Diwani atamtaka lakini VP ni Chenge
Mkuu, umemtukana Mzee Kikwete.1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais
2. Butiku
3. Kimei
4. Kinana
5. Warioba
6. Prof Muhongo
7. Makinda
7. Mwamunyange
8. Lissu
9. Chikawe
10. Mwandosya
Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri
From katibu mkuu wa chama,na kuwa katibu mkuu ofisi ya Raisi halafu makamu wa Raisi ndani ya mwezi mmoja! Naona kama ni ndoto vile. Na kama ni kweli kuna pesa ilivutwa inahitaji uchunguzi kwanza kabla ya uteuzi. Anayepashwa kuapishwa kwanza ndiyo angeendelea halafu huko kwingine watulie wasifanye papara. Makamu wa CCM si yupo? Anafanya nini?Hapo ni Bashiru tu.
Unawashwa makalio we bwege? Unatafuta mabwana humu JF?Hapo ni Bashiru tu.
Hauko 'siriaz' ndugu..
Kwenye shamba la karanga.Hivi Polepole kwa ule unafiki wake wa kiwango cha lami atajificha wapi
1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais
2. Butiku
3. Kimei
4. Kinana
5. Warioba
6. Prof Muhongo
7. Makinda
7. Mwamunyange
8. Lissu
9. Chikawe
10. Mwandosya
Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri
Wazo lako liko sawa,ila haukuzingatia yafuatayo:Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.
Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Hamna mtu hapo!NAPE MNAUYE, DR KIMEI OR, BETTER STILL, MAKONGORO NYERERE FOR VP!
PERIOD!
😎😎😎😎😎😎😎!
Hapo una-assume Majaliwa anabaki kuwa Waziri Mkuu? utashangazwaKigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Khaa watu mna roho ngumu.Paul Makonda,
huyu huyu nae mjua mtu jeuri na mwenye majivuno. Hujamjua vuzuri yule baba anatumia nguvu nyingi sana kupambana. Nasikitika samweli sitta angefaa au jaji augostino ramadhan.Tena saaaana. He's very diplomatic
Halafu hili lake halitafutika hata baada ya miaka inayokuja sababu aliongea uongo mkuu mbele ya Taifa.Majaliwa muongo muongo... Tena mbela ya taifa bora angekaaga kimya ....
HAFAI