Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Jinsia itatusaidia nini watanzania? sisi tunataka maendeleo na siyo jinsia, hata wakiwa wanawake wote muhimu walete maendeleo na siyo maigizo na jinsia, kuongoza nchi siyo sawa na kuongoza kikoba.Kuna kila dalili awamu hii pia makamu wa Rais akawa mwanamama (bahati iliyoje?). Kuanzia asubuhi nilipofungulia vyombo kadhaa vya habari kufuatilia yanayoendelea nimesikia wanazuoni, wachambuzi nk wakilitajana jina la Dk Asha Rose Migiro kama VP ajaye.
Itakuwa ni nafasi kubwa sana katika kuelekea usawa wa kijinsia na kuwapa wanawake mamlaka makubwa wanawake nchini.
Kila la kheri mama zetu
AnastahiliSasa hapo ndipo Lukuvi anapopenya kirahisiiii
Usawa wa kitu gani? sisi tunataka mtu yoyote hata kama hana jinsia lakini awe mchapakazihaiwezekan hata kama samia atamchagua bungen hatumpitishi lazima kuwe na usawa
Mbona marais waliopita na makamu wao walikuwa wanaume, huo ndio usawa?haiwezekan hata kama samia atamchagua bungen hatumpitishi lazima kuwe na usawa
Naye siku sio nyingi utamsikia anapumulia mashine.apimwe afya kwanza tumechokaKwa kuwa miradi mingi ya Magufuli asilimia 90 ilikuwa ni ya Ujenzi (Construction) ni vizuri ikamilishwe ili kutimiza hiyo ndoto yake, mtu pekee ambaye siyo mwana siasa na ambaye anaishi ndoto ya Magufuli ni huyu Mfugale, abustiwe tu kidogo na CHEO cha Umakamu Wa Rai's, na KAZI za Magufuli zitaisha, ana Siri zote za mambo ya Ujenzi na kile Magu allkuwa akikihitaji, mama Samia usilete makamu wa Rai's mwana siasa, Achana nao, leta jembe linalomuishi Magu na Kukamilisha ndoto zake, nawakilisha...
nch inajengwa na sheria na taratibu na si mfugale. Bunge linaamua n miradi gani ijengwe na si mfugale au maguufuli, huo ulikuwa ni udikiteta. acha mawazo ya kitotoKwa kuwa miradi mingi ya Magufuli asilimia 90 ilikuwa ni ya Ujenzi (Construction) ni vizuri ikamilishwe ili kutimiza hiyo ndoto yake, mtu pekee ambaye siyo mwana siasa na ambaye anaishi ndoto ya Magufuli ni huyu Mfugale, abustiwe tu kidogo na CHEO cha Umakamu Wa Rai's, na KAZI za Magufuli zitaisha, ana Siri zote za mambo ya Ujenzi na kile Magu allkuwa akikihitaji, mama Samia usilete makamu wa Rai's mwana siasa, Achana nao, leta jembe linalomuishi Magu na Kukamilisha ndoto zake, nawakilisha...
Sheria bila usimamizi ndo zilitufikisha hapa tuliponch inajengwa na sheria na taratibu na si mfugale. Bunge linaamua n miradi gani ijengwe na si mfugale au maguufuli, huo ulikuwa ni udikiteta. acha mawazo ya kitoto
Siri za Kamisheni zao au siri za JiziKwa kuwa miradi mingi ya Magufuli asilimia 90 ilikuwa ni ya Ujenzi (Construction) ni vizuri ikamilishwe ili kutimiza hiyo ndoto yake, mtu pekee ambaye siyo mwana siasa na ambaye anaishi ndoto ya Magufuli ni huyu Mfugale, abustiwe tu kidogo na CHEO cha Umakamu Wa Rai's, na KAZI za Magufuli zitaisha, ana Siri zote za mambo ya Ujenzi na kile Magu allkuwa akikihitaji, mama Samia usilete makamu wa Rai's mwana siasa, Achana nao, leta jembe linalomuishi Magu na Kukamilisha ndoto zake, nawakilisha...