kasome katiba ya Nchi kasome katiba ya chamaMungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa...
Kuna sehemu wameandika madaraja hapo...hlf wewe uliambiwa ni kusimamia mazingira tu?uliambiwa kazi ya VP ni kujenga madaraja
Nyumbu hovyo kabisa , Mara hii Lissu kawa makamu wa rais? Wa nchi gani Tena? Kaacha urais Sasa kawa makamu, akiliza nyumbu hamjielewi Sasa mnawaza vyeo kwenye serikali ya CCM.Ngoja Mataga waje wakiwa wamenuna baada ya kuliona tu hilo jina la Lissu!! Wenyewe mpaka muda huu wanaamini ni Lissu ndiye aliyemtoa uhai mtukufu wao!!
Elitwege njoo huku utie neno! Maana muda si mrefu utakua unajipanga barabarani kumpa mkono Makamu wako Wa Rais Mh. Tundu Lissu!! [emoji56]
Akili yako fupiHatutaki watu wa kuendeleza ndoto za wafu. Twataka watu kuendeleza mahitaji ya Tanzania ya sasa na baadaye
Ili afanye lipi la msingi?Mi napendekeza Mizengo Pinda
Mbunge anaweza kuwa VP, halafu nafasi yake ya ubunge ikabaki wazi kukawa na uchaguzi mdogo!Mungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa.
Twende mbele.
Kwa nn 85% chance Mpinzani atakuwa VP?
Maridhiano na mshikamano
Neutralize hisia mbaya za chaguzi iliyopita
Umoja wa kitaifa
Amani na upendo.
Possibility:
Lissu Tundu Antipas 30%
Zitto Zuberi Kabwe 20%
Freeman Aikael Mbowe 15%
Wengine wa ccm. 35%
Collective possibility
Lissu 0.85*0.3. =25.5%
Zitto. 0.85*0.2= 17%
Mbowe. 0.85*0.15=12.75%
Ccm. 0.15*0.35=55.25%
NB: Mbunge yoyote hawezi kuwa VP, mana VP haingii bungeni hivyo wananchi watakosa uwakilishi.
Kama umesoma HKL pita ivi, usikomenti
Wewe mataga mbona unatokwa na povu kiasi hiki!!! CCM pekee ndiyo yenye haki ya kuitawala nchi hii na matope yote hayo yaliyojaa vichwani mwenu?Nyumbu hovyo kabisa , Mara hii Lissu kawa makamu wa rais? Wa nchi gani Tena? Kaacha urais Sasa kawa makamu, akiliza nyumbu hamjielewi Sasa mnawaza vyeo kwenye serikali ya CCM.
HAKUNA u VP wa kuhurumiwa Kama chadema wanataka u VP wamlete yule waliyemteuwa wakati wa uchaguzi tuone Kama kweli walikuwa tayari poyoyo yule kuwa makamu wa rais.Nilitaman sanaa, Kwaajili ya Kuleta Nchi pamoja
Kuponya hali inayoendelea.
T.Lissu apewe umakamo.
HESABU FINYU MZEEMungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa.
Twende mbele.
Kwa nn 85% chance Mpinzani atakuwa VP?
Maridhiano na mshikamano
Neutralize hisia mbaya za chaguzi iliyopita
Umoja wa kitaifa
Amani na upendo.
Possibility:
Lissu Tundu Antipas 30%
Zitto Zuberi Kabwe 20%
Freeman Aikael Mbowe 15%
Wengine wa ccm. 35%
Collective possibility
Lissu 0.85*0.3. =25.5%
Zitto. 0.85*0.2= 17%
Mbowe. 0.85*0.15=12.75%
Ccm. 0.15*0.35=55.25%
NB: Mbunge yoyote hawezi kuwa VP, mana VP haingii bungeni hivyo wananchi watakosa uwakilishi.
Kama umesoma HKL pita ivi, usikomenti
We ni duansi, bila Ujenzi kuna dunia ipi, ni wapi ambpo hapakujengwa, kma Ujenzi si kitu mbona unalala kwenye nyumba nenda ukaishi msituni basi.Wewe duanzi kweli ,kwani maisha ni ujenzi tu kana kwamba hakuna sekta zingine,zinazohitajika kuendelezwa?