Habari Mbaya kwa makamanda!Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable source) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamin
Polepole yupo vizuri. Si tumo humu.Hebu mtulie basi..
Hii mi nchi sio kile chama cha kijani!
Polepole hatoshi hata kwa kijiko
Alivyo muongeaji sasa ikulu si itakua fujoWanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania...
NitazimiaWanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania...
Ataongea na vyombo vya habari kila sikuAlivyo muongeaji sasa ikulu si itakua fujo
Chakubanga?Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania...
Alikuwa na skendo ya ufisadi huyo mwiziIMMANUEL NCHIMBI ANGEFAA SANA
Mkuu sasa ikitokea utajificha wapi. Pole pole ni mtu mwadilifu sana hamumjui tu.Eti very very reliable sources. Hizi story za vijiweni ziacheni hukohuko
Haa😂😁Kaa na mavi yako nyumbani