Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaonekana mzee umechezewa sanaenzi za nchi kuchezewa zisharejea
watu walewale walioshindwa mchwa wapigaji. bora nchi hii iendeshwe na jeshi la wananchi mpaka wanasiasa hasa hawa wa ccm watie akili.Martin shigela?
Simchukii, ila hatufai kama taifa ndio maana tulisha mtema kitambo na nafasi yake kuzibwa barabara! Tabia yake ya kupenyeza siri za taifa katika majukwaa yasiyolasmi na kwa zito pamoja na kuidharirisha nchi yetu kamwe hatutakuja kuipuuzia! Kilichomfanya asiwemo kwenye serikali yetu hii hata sasa bado kipo!Hivi wewe unamchukia kafanya Baya Lipi, Hebu tuongee ukweli kabisaa
Majaliwa anaweza akawepo pia, matamanio yangu ni kumuona rc wa simiyu akiwa katika nafasi mbili za juu za nchi yaani VP na PMKwahiyo Kassim majaliwa ampishe huyu?
Hana tabia hiyo kabisa,Simchukii, ila hatufai kama taifa ndio maana tulisha mtema kitambo na nafasi yake kuzibwa barabara! Tabia yake ya kupenyeza siri za taifa katika majukwaa yasiyolasmi na kwa zito pamoja na kuidharirisha nchi yetu kamwe hatutakuja kuipuuzia! Kilichomfanya asiwemo kwenye serikali yetu hii hata sasa bado kipo!
Tz tupo zaidi ya 60m who is Assad by the way! Hebu jifunzeni kutafuta maisha kwanjia zingine halali siyo kuwaza tu kupiga madeals na kutuibia!
Picha hio chief.Picha
Sisi tunamfahamu, na mengine mengi ambayo tunayahifadhi kwa wakati muafaka! Huyo Assad hatufai, labda kama wanataka kucheza kidali po!Hana tabia hiyo kabisa,
Yote kwa yote Mtaka kwa sasa hawezi kupata nafasi yoyote katika hizo mbili za VP na PM kwa mujibu wa katiba. Ni matamanio hewa. Kivipi?Majaliwa anaweza akawepo pia, matamanio yangu ni kumuona rc wa simiyu akiwa katika nafasi mbili za juu za nchi yaani VP na PM
Mkuu hususan jamaa wa Simiyu. Anaweza.Mungu tisaodie iwe hivyo.
Na asiwe tunda la mtandao kwa namna yoyote ile
Pia asiwe mpenda sifa awe mchapakazi kimya kimya.
Hivi rc s wa Tanga na wa Simiyu hawatajwi?
Mtaka ni mbunge wa jimbo gani? Kwenye uwaziri mkuu sahau kabisaMajaliwa anaweza akawepo pia, matamanio yangu ni kumuona rc wa simiyu akiwa katika nafasi mbili za juu za nchi yaani VP na PM