Sasa wewe mjinga
Meko msumkuma
Mkuu wa majeshi
Jaji mkuu
Jaji kiongozi
Mlipaji mkuu wa serikali
Kanda ziwa

IGP
70%mawaziri na manaibu.
Wakurugenzi
TPA
RELI
PSSSF
TAAA
NK NK NK NK NK
Rud shule ujifunze kuandika vizuri ndio uje tujadiliane.
 
Makamu wa rais hatoki ktk watu waliochaguliwa ubunge
 
Mm mbona huwa siwaoni hao wachaga waliojazana huko CRDB? Nyie mnawatambuaje?
 
Matajiri na wafanyabiashara wengi Mwanza ni toka kaskazini
Hutaki kajinyonge
 
Humjui Kimei wewe. Mpigaji sana yule na amekula sana pesa za Crdb. Kuongoza serikali sio sawa na kumanage benki
 
Hatuwezi kuwaepuka kwani katika society zao 70% wanaelimu na wanahitajika katika Nyanja mbali mbali. Ma kabila mengi wenye elimu ni 30-50% ya kabila zima.
Takwimu yako mama yangu imekaa kama ramli za mganga wa kienyeji
 
Umakamu wa wapi au wanyumbani kwako? Ile sio Sacco's tunafanya upatu , tunavyoongea hivi makamu watakuwa walishampata, sie tunatoka jasho la ufizi tu watu walisha anza kupiga kazi
 
Kwani uajua Tanzania kuna maeneo hayana lami wala umeme hadi mwaka huu?Ukiwa na akili utaelewa
 
Mbunge kuwa DP .... sidhani
 
Upo sahihi,hawa jamaa sio,,Crdb imejaa wachaga
Na ndiyo maana walioswagwa mahakamani kwa uwizi uwizi ni wachaga, na huko kanda yao pesa za bank zilikuwa zinakwapuliwa haswaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…